Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ukiachana na migodini, kuna fursa zipi kule bondeni umeziona
Kule bondeni fursa nilizoziona kwanza ni biashara ndogondogo ni rahisi kufanya kama kuuza mabegi soksi nk pia wageni wengi wanafanya biashara za barber shop, kazi za mahotelini hasa upishi wanalipa vizuri na kazi za dox kwenye meli zinazofanyiwa marekebisho niliona wabongo wengi wakifanya kazi huko upande wa safety kama firefighter but hazilipi vizuri labda upate kwenye meli za uvuvi mnaweza kukaa hata mwezi huko baharini na wakirudi huwa wanalipwa vizuri na kuna wenzetu kama warundi wakongo wao naona wanafanya sana kazi za ulinzi
 
Daby
Dr Adam
Lusango
Kirikou
Shyshi
Stunner
Compact
Dr adam
Wiseboy
Mriko



DONT EXPECT TOO MUCH ILA NIMEVUNJIKA MOYO SANA KUONA SCREENSHOT ZA DADA SHYSHI YAANI HAWA JAMAA WANALETA MAZINGIRA YA UTAPELI WANAPOELEKEA ILA KWAKUWA IZZO KASEMA PESA ISITOLEWE NA SISI TUMSHAURI VIZURI NA KUMSIHI KABISA ASITOBOKE MFUKONI.



lastly naimani mpaka sasa tumejifunza kitu. Tumepata elimu kwa mambo ambayo tumechangia naimani kila mtu sasa anayo ABC ya njia za kutumika kufanikisha malengo binafsi kwa kwenye Nia ya kisaidia naomba wasichoke watusaidie tu na wale ambao malengo yao ni kututapeli wajue kabisa hapa haitawezekana na pili hatuna pesa za kutapeliwa tunajielewa na tunajitambua tunataka nini..



MWISHO INAKATISHA TAMAA ILA WAKUU TUPAMBANE, TUJIONGEZE KWA ABC TULIZOZIPATA THEN MAJILIWA MUNGU YUPO NASI.



Shyshi naaisitiza pesa usitoe Dada yangu, mkuu Izzo ameonya.


Nukuu kutoka kwa posti ya Izzo" HIZI NAFASI ALISEMA AMEZIPATA KWENYE GROUP LA WHATSAP"
SASA INAWEZEKANA HAPO KUNA SCAMMERS. UWEZEKANO UPO LAKINI TUSIJUDGE .....ILA UWEZEKANO NI MKUBWA
Yeah thanks
Mkuu hao watu huwa nakutana nao sana hata kwenye kuomba scholarship, na wengine wa Nigeria kuhusu cjui kafiwa na wazazi wote so hakunipa shida
Ila Kingine they are so fasta km haupo makini unaliwa kweli ila ukisoma email na ukiconnect dots unajua kabisa hapa ni uongo
Walinipigia nikaanza kumuuliza huyo agent wacha aanze kujikanyaga
Nikabaki nacheka tuu
Ila sijakata tamaa nita apply tena na tena
 
Mrejesho wapendwa
Nilipo tumbo la kuendesha limenipata,ananitaka niwe New Zealand tarehe 30 mwezi huu
Anasema mimi nishulikie visa kuhusu travel ticket ni yeye ushauri please
Izzo njoo huku
Kila la kheri malkia wa Nguvu Mungu akufanyie wepesi hapo mwambie mama akutumie barua ya mwaliko uende nayo ubalozini utapata viza faster
 
Kule bondeni fursa nilizoziona kwanza ni biashara ndogondogo ni rahisi kufanya kama kuuza mabegi soksi nk pia wageni wengi wanafanya biashara za barber shop, kazi za mahotelini hasa upishi wanalipa vizuri na kazi za dox kwenye meli zinazofanyiwa marekebisho niliona wabongo wengi wakifanya kazi huko upande wa safety kama firefighter but hazilipi vizuri labda upate kwenye meli za uvuvi mnaweza kukaa hata mwezi huko baharini na wakirudi huwa wanalipwa vizuri na kuna wenzetu kama warundi wakongo wao naona wanafanya sana kazi za ulinzi
Ulisbaoata habar za Botswana Segitoo?
 
Yeah thanks
Mkuu hao watu huwa nakutana nao sana hata kwenye kuomba scholarship, na wengine wa Nigeria kuhusu cjui kafiwa na wazazi wote so hakunipa shida
Ila Kingine they are so fasta km haupo makini unaliwa kweli ila ukisoma email na ukiconnect dots unajua kabisa hapa ni uongo
Walinipigia nikaanza kumuuliza huyo agent wacha aanze kujikanyaga
Nikabaki nacheka tuu
Ila sijakata tamaa nita apply tena na tena

Kitu cha kujifunza tu, ni ngumu kwa mtu kupata kazi majuu ambayo sio ya kitaalamu kama haishi nchi hiyo husika. Kuna wageni wengi katika nchi hizo ambao hawana kazi na wana vibali tayari. Njia ya kutumia kupata kazi kama haupo majuu tayari ni mission impossible. Kuna kazi chache za msimu kama za kuchuma matunda majira ya joto amabazo unaweza kubahatisha kuzipata majuu huku ukiwa nchi ningine.

Angalau watu wa Asia hasa Wahindi wanaweza kupata kazi za kitaalamu majuu wakiwa India hasa za IT. Kwa Afrika labda uwe unafanya kazi na kampuni ya Wazungu Afrika upate transfer ya kwenda majuu. Nchi nyingi za majuu zinathamini elimu zao tu.

Njia za moja kwa moja kuja majuu ni masomo na ndoa.
 
Hakika mkuu naanza kuamini kwann watanzania hatupeani sapoti kumbe ni choyo na roho ya Kwanini.

Nliwahi kuona one family, jamaa ndie ana uwezo kwenye family yao sasa unaambiwa hataki kuwainua wengine ili wainuke maana wakiinuka lazima atapata watu wa level yake
Huyu jamaa namfananisha na wanyang'anyi waliosemwa katika hizi picha wanapenda kunyonya jasho la mtu...

STEPHEN AKHWARI: Wagiriki wampa Scania mbili mpya, waziri ampora
tyt.JPG
nmn.JPG
 
View attachment 484370 View attachment 484367
Nimeona hili Tangazo limekuja juzi kuna jamaa wa AU alilituma but alituambia tuwe makini kwani ya yeye bado ajaliverify so alitoa angalizo na mm pia nilitoa angalizo kuwa usitoe hela yeyote kila kitu ashugulikie mwenyewe

JANA nilikuwa nawasiliana na Agent mmoja yuko Ujerumani nadhani nitatembelea office yake wiki hii yeye anafanya kazi na kampuni za ujenzi za Ujerumani na Canada mara nying anafanya na Wahindi na wapakistan wanatakiwa watu 50 kwa Project za Canada na Ujerumani So nikamshawishi kufanya kazi na Waafrica japo alikuwa na wasiwasi wa utendaji kazi wa Waafrica lakini tulielewana na kupanga ahadi ya kukutana ofisini kwake so nitakwenda kumtembelea maana vitu vingine tumekuwa waoga sana kujihushisha navyo hasa hapa jukwaani tunakijuta tunajiuliza mara mbili mbili
Bora ufanye hivyo mkuu huu msala uepuke kihivyooo
 
View attachment 484370 View attachment 484367
Nimeona hili Tangazo limekuja juzi kuna jamaa wa AU alilituma but alituambia tuwe makini kwani ya yeye bado ajaliverify so alitoa angalizo na mm pia nilitoa angalizo kuwa usitoe hela yeyote kila kitu ashugulikie mwenyewe

JANA nilikuwa nawasiliana na Agent mmoja yuko Ujerumani nadhani nitatembelea office yake wiki hii yeye anafanya kazi na kampuni za ujenzi za Ujerumani na Canada mara nying anafanya na Wahindi na wapakistan wanatakiwa watu 50 kwa Project za Canada na Ujerumani So nikamshawishi kufanya kazi na Waafrica japo alikuwa na wasiwasi wa utendaji kazi wa Waafrica lakini tulielewana na kupanga ahadi ya kukutana ofisini kwake so nitakwenda kumtembelea maana vitu vingine tumekuwa waoga sana kujihushisha navyo hasa hapa jukwaani tunakijuta tunajiuliza mara mbili mbili
Shukrani sana Mkuu Izzo. Najua ulimwenguni utapeli umejaa mno. Hivyo sio tatizo kabisa kukumbana nao na kuwaepuka. Asante kwa angalizo lako toka mwanzo. Tunasubiri zaidi toka Germany.
 
Yeah thanks
Mkuu hao watu huwa nakutana nao sana hata kwenye kuomba scholarship, na wengine wa Nigeria kuhusu cjui kafiwa na wazazi wote so hakunipa shida
Ila Kingine they are so fasta km haupo makini unaliwa kweli ila ukisoma email na ukiconnect dots unajua kabisa hapa ni uongo
Walinipigia nikaanza kumuuliza huyo agent wacha aanze kujikanyaga
Nikabaki nacheka tuu
Ila sijakata tamaa nita apply tena na tena
Kuwa na aman, hapa ndio kwaanza safari inaanza. Nia tunayo uwezo tunao tutafanikiwa tuu.
 
Nimeshawasiliana nae,kasema ana watoto wawili kwangu haina shida
So nimetuma scanned passport na CV yngu so nasubiri kuckia kutoka kwake
Thanks izzo maisha popote,Yes nina degree lakini ramani hazisomi ngoja nijitoe muhanga mimi.
Nilikuwa na mimi nimcheki ila kwasababu umeshalianzisha ebu endelea nalo tusije zibiana nafasi hizi maana chache... labda ukishindwa tuambie wengine tufungue mawasiliano nae pia... ila nakutakia kila la kheri katika kufanikisha hili mkuu...
 
Daby
Dr Adam
Lusango
Kirikou
Shyshi
Stunner
Compact
Dr adam
Wiseboy
Mriko



DONT EXPECT TOO MUCH ILA NIMEVUNJIKA MOYO SANA KUONA SCREENSHOT ZA DADA SHYSHI YAANI HAWA JAMAA WANALETA MAZINGIRA YA UTAPELI WANAPOELEKEA ILA KWAKUWA IZZO KASEMA PESA ISITOLEWE NA SISI TUMSHAURI VIZURI NA KUMSIHI KABISA ASITOBOKE MFUKONI.



lastly naimani mpaka sasa tumejifunza kitu. Tumepata elimu kwa mambo ambayo tumechangia naimani kila mtu sasa anayo ABC ya njia za kutumika kufanikisha malengo binafsi kwa kwenye Nia ya kisaidia naomba wasichoke watusaidie tu na wale ambao malengo yao ni kututapeli wajue kabisa hapa haitawezekana na pili hatuna pesa za kutapeliwa tunajielewa na tunajitambua tunataka nini..



MWISHO INAKATISHA TAMAA ILA WAKUU TUPAMBANE, TUJIONGEZE KWA ABC TULIZOZIPATA THEN MAJILIWA MUNGU YUPO NASI.



Shyshi naaisitiza pesa usitoe Dada yangu, mkuu Izzo ameonya.


Nukuu kutoka kwa posti ya Izzo" HIZI NAFASI ALISEMA AMEZIPATA KWENYE GROUP LA WHATSAP"
SASA INAWEZEKANA HAPO KUNA SCAMMERS. UWEZEKANO UPO LAKINI TUSIJUDGE .....ILA UWEZEKANO NI MKUBWA
Umesema kweli Mkuu Money9. Ila hupaswi wala hatupaswi kukata tamaa. Wajua matapeli, wapo kila kona. Kikubwa, tunapaswa kupashana habari kwa lolote linalotokea, ili kupata ushauri na uchunguzi zaidi. MATAPELI WAPO, ILA WASIKUKATISHE NA KUKUZUIA KUSONGA MBELE.
 
Kwenye Group hakuna Scammers hata kidogo narudia tena hakuna scammers hata kido ila aliyeleta Tangazo hilo yuko AU si NZ na wakati analiweka alisema kwamba bado ajali verify alisema mapema kabisa na mm wakati naliweka hapa nikaweka angalizo tena kuwa kusitoke hata shiling 100 kila kitu afanye mwenyewe

Nimemwabia huyo dada anitumie mawasiliano waliyomtumia then mm najua ntafanya nini lakini bdo ajanitumia
Nashindwa ku attach PM
Niliweke hapa namba zao na address zao?
 
Nina diploma ya biomedical engineering nchi gani naweza kupata kazi kiurahisi?
Moja ya kozi ambayo naikubali kwa sasa mkuu kama unataka utoboe fasta..nenda kapige degree pale MUK (Makerere university) au chuo chochote hapa africa ni miaka 3 tu then omba sponsership utokomea ughaibuni hasa Austaria,canada,US,Sweden,Dernmark na uhakika miaka miwili miwili tu utakuwa uko mbali sana kwanza ni moja ya faculty yenye salary ya maana sana kwa nchi nilizo kutajia.
Vinginevyo tafuta uwezekano wowote ilimradi ufike kwenye moja ya nchi hizo halafu ujiendeleze elimu yako ya BIO ukiwa kwenye nchi husika yani kosa tu upate ajira na ukawa uko vizuri practicaly yaani Uwe na uwezo wa kuisambalatisha MRI,X-ray machine,Utrasound machine,Pulseoxymeter n.k na mzungu akakwamini mkuu naimani utafurahia elimu yako.
Nakutakia kila lakheri mkuu kuna jamaa angu yupo RUSSIA anamalizia masomo mwaka huu hiyohiyo BIO ananiambia kama alichelewa vile.
 
Back
Top Bottom