izzo
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,812
- 6,409
NimeshazipataNashindwa ku attach PM
Niliweke hapa namba zao na address zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NimeshazipataNashindwa ku attach PM
Niliweke hapa namba zao na address zao?
Simple work with it bro... usikwame jamaa... akupe andiko la kuombea visa tu uanze mchakato alafu akutumie hiyo tkt... kama kuna wengine wakukupa ushauri bt mwambie akupe hiyo doc ili ikusapotu katk kuomba visa mzee...Mrejesho wapendwa
Nilipo tumbo la kuendesha limenipata,ananitaka niwe New Zealand tarehe 30 mwezi huu
Anasema mimi nishulikie visa kuhusu travel ticket ni yeye ushauri please
Izzo njoo huku
Msala!!!!!! Msala gani kwa maangalizo niliyoyatoa wakati naweka tangazo bado unasema ni msala duhBora ufanye hivyo mkuu huu msala uepuke kihivyooo
vitu kama hivi ndio mjinga mmoja anakuja kutupinga na uzi huu... chamsingi kabla haujasepa mlio njee mpeni msasa jamaa ajue kuishi na watasha hasije akaaribu Tanzania ikashindwa aminika... maana tupo ktk mpango kabambe wa kuisafisha kimataifa...Mwambie akutumie invitation letter, then ukienda Migration fasta wanakupa Passport( kama huna) then unafanya maswala ya visa ubalozini, easy unang'oa,,,, kama nitakuwa nimekosea wakuu watakuja kunicorect
Ahsante mkuu, ila cha msingi ulitoa angalizo mapema kabisa.Kwenye Group hakuna Scammers hata kidogo narudia tena hakuna scammers hata kido ila aliyeleta Tangazo hilo yuko AU si NZ na wakati analiweka alisema kwamba bado ajali verify alisema mapema kabisa na mm wakati naliweka hapa nikaweka angalizo tena kuwa kusitoke hata shiling 100 kila kitu afanye mwenyewe
Nimemwabia huyo dada anitumie mawasiliano waliyomtumia then mm najua ntafanya nini lakini bdo ajanitumia
Mkuu izzo a nataka mawasiliano na wewe embu mdikilize haraka kwanzaYeah thanks
Mkuu hao watu huwa nakutana nao sana hata kwenye kuomba scholarship, na wengine wa Nigeria kuhusu cjui kafiwa na wazazi wote so hakunipa shida
Ila Kingine they are so fasta km haupo makini unaliwa kweli ila ukisoma email na ukiconnect dots unajua kabisa hapa ni uongo
Walinipigia nikaanza kumuuliza huyo agent wacha aanze kujikanyaga
Nikabaki nacheka tuu
Ila sijakata tamaa nita apply tena na tena
Mkuu Izzoo c wahao walioonekana ni matapeli kwa dada yetu?Msala!!!!!! Msala gani kwa maangalizo niliyoyatoa wakati naweka tangazo bado unasema ni msala duh
Hapa najua akifanya kazi kwa ufasaha na muajiri akipenda kazi yake hatashindwa kumuendeleza kimasomo... wazungu sio kama [HASHTAG]#brita[/HASHTAG]....Hongera sana Shyshii kwa kufanikiwa kupata mwajiri nchini New Zealand.
Ni matumaini yangu kwamba utakwenda kufurahia kazi yako mpya na kupata nafasi ya kujifunza kutoka majuu.
Mwanzoni upata changamoto kutoka kwa wazazi na watoto lakini ni hatua za mwanzo za kuzoeana na kujengeana uaminifu.
Kumbuka hiyo ndiyo nafasi ya pekee kwa wewe kuweza kuelekea kupata viza ya kudumu nchini humo, hivyo itumie ipasavyo.
Pia ukumbuke kutafuta chuo usome kozi yoyote ambayo itakupa mwanya na njia pana ya kupata kazi zingine khasa baada ya kupata "permanent residence".
Good luck.
JF raha sana... tunapenda namna hii... wageni walikuwa wanasema sisi wakarimu ila tulikuwa hatukubali maana tunaona jinsi watu wakifanyiana mtimanyongo... ila leo naona tumekuwa wajamaa mzeeePitia hapa kuona fomu ya kuomba viza ya kazi inahitaji nini.
https://www.immigration.govt.nz/documents/forms-and-guides/inz1015.pdf
Mkuu una vibrate na kitu kidoogo hicho! Mbona sio big deal, uzuri kwamba uzi uko open sana kwa kila hatua, hiyo ni faida moja wapo.Daby
Dr Adam
Lusango
Kirikou
Shyshi
Stunner
Compact
Dr adam
Wiseboy
Mriko
DONT EXPECT TOO MUCH ILA NIMEVUNJIKA MOYO SANA KUONA SCREENSHOT ZA DADA SHYSHI YAANI HAWA JAMAA WANALETA MAZINGIRA YA UTAPELI WANAPOELEKEA ILA KWAKUWA IZZO KASEMA PESA ISITOLEWE NA SISI TUMSHAURI VIZURI NA KUMSIHI KABISA ASITOBOKE MFUKONI.
lastly naimani mpaka sasa tumejifunza kitu. Tumepata elimu kwa mambo ambayo tumechangia naimani kila mtu sasa anayo ABC ya njia za kutumika kufanikisha malengo binafsi kwa kwenye Nia ya kisaidia naomba wasichoke watusaidie tu na wale ambao malengo yao ni kututapeli wajue kabisa hapa haitawezekana na pili hatuna pesa za kutapeliwa tunajielewa na tunajitambua tunataka nini..
MWISHO INAKATISHA TAMAA ILA WAKUU TUPAMBANE, TUJIONGEZE KWA ABC TULIZOZIPATA THEN MAJILIWA MUNGU YUPO NASI.
Shyshi naaisitiza pesa usitoe Dada yangu, mkuu Izzo ameonya.
Nukuu kutoka kwa posti ya Izzo" HIZI NAFASI ALISEMA AMEZIPATA KWENYE GROUP LA WHATSAP"
SASA INAWEZEKANA HAPO KUNA SCAMMERS. UWEZEKANO UPO LAKINI TUSIJUDGE .....ILA UWEZEKANO NI MKUBWA
Mwenyewe napata wasiwasi ila amesema alhamisi atanitumia mkataba wa kazi
It's hard to tell who has your back, from who has it long enough just to stab you in it.... izzo tunataka majibu ya hili hahahahahahahahahaha now u gat my pointJamani eeeh nahisi ni matapeli
Nawatumieni email sasa hivi ya uongo balaah
Mkuu kwani akiweka mkataba hapa jf kuna mtu atamwibia mkataba wake?Hongera sanaaaaa tu.Tafadhali usianike mkataba jukwaani.waPM Izzo,Lusungo Na wahusika ili kukuondolea mtihani.
Nishatulia hapa mkuu...nimepiga kama glass tatu za maji baridi naona vibration zimekataa, asee kama una hasira au umekwazika embu kunywa hata glass mbili za maji.Mkuu una vibrate na kitu kidoogo hicho! Mbona sio big deal, uzuri kwamba uzi uko open sana kwa kila hatua, hiyo ni faida moja wapo.
Mkuu kwani akiweka mkataba hapa jf kuna mtu atamwibia mkataba wake?
Hapa najua akifanya kazi kwa ufasaha na muajiri akipenda kazi yake hatashindwa kumuendeleza kimasomo... wazungu sio kama [HASHTAG]#brita[/HASHTAG]....
Yap yap comrade, naamini pia mkuuDaby
Dr Adam
Lusango
Kirikou
Shyshi
Stunner
Compact
Dr adam
Wiseboy
Mriko
DONT EXPECT TOO MUCH ILA NIMEVUNJIKA MOYO SANA KUONA SCREENSHOT ZA DADA SHYSHI YAANI HAWA JAMAA WANALETA MAZINGIRA YA UTAPELI WANAPOELEKEA ILA KWAKUWA IZZO KASEMA PESA ISITOLEWE NA SISI TUMSHAURI VIZURI NA KUMSIHI KABISA ASITOBOKE MFUKONI.
lastly naimani mpaka sasa tumejifunza kitu. Tumepata elimu kwa mambo ambayo tumechangia naimani kila mtu sasa anayo ABC ya njia za kutumika kufanikisha malengo binafsi kwa kwenye Nia ya kisaidia naomba wasichoke watusaidie tu na wale ambao malengo yao ni kututapeli wajue kabisa hapa haitawezekana na pili hatuna pesa za kutapeliwa tunajielewa na tunajitambua tunataka nini..
MWISHO INAKATISHA TAMAA ILA WAKUU TUPAMBANE, TUJIONGEZE KWA ABC TULIZOZIPATA THEN MAJILIWA MUNGU YUPO NASI.
Shyshi naaisitiza pesa usitoe Dada yangu, mkuu Izzo ameonya.
Nukuu kutoka kwa posti ya Izzo" HIZI NAFASI ALISEMA AMEZIPATA KWENYE GROUP LA WHATSAP"
SASA INAWEZEKANA HAPO KUNA SCAMMERS. UWEZEKANO UPO LAKINI TUSIJUDGE .....ILA UWEZEKANO NI MKUBWA
Mkuu kwani akiweka mkataba hapa jf kuna mtu atamwibia mkataba wake?
Kabisa mkuu.Hawezi kuweka mkataba hapa JF kwani ni kati yake yeye na mwajiri wake.
Cha msingi ni kuwa makini na wale waajiri watarajiwa na khasa kutoka Afrika magharibi ambao wanaweza kujiweka mtandaoni kama vile ni "genuine case" kumbe ni "scam".
Hata kama ni mzungu pia ni muhimu kuwa makini katika "stage" zote.
Unapoanza "Process" nzima ya viza na ubalozi ndiyo unakuwa angalau una uhakika wa huyo mtu.