Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

ULAYA KUTAMU πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ hii nchi tutakaobaki ni wachache maana nipo hapa na mzee mmoja miaka takriban 50 na ushee nimemdokezea mikakati yangu ya kulowea majuu nae eti anasema yupo ladhi aitelekeze familia yake nae akajilipue majuu nimecheka kweli kumbe upepo wa JPM si wa kitoto eee.
 
Mkuu hiyo 1.3m bora uitafute bongo tu maana hiyo ni around dollar 650 kwa mwezi hapo kutoboa ni kazi ndio maana wasomi wa china wanarudi bongo wakiwa hoi kiuchumi.
Sasa kwa hizi kaz rfk angu, upo busy asubuh mpk usiku, huna extra duty,huna semina n.k unaambiwa hapa kazi tu, mshahara kidogo.
Biashara zinakufa tu,bila uangalizi na mwaka huu nimepata hasara kweny kilimo, ni heri kupumzika tu huko, vile mshahara ntaacha unaflow then ntadunduliza.
 

Ulaya kutamu ukienda bado ukiwa kijana kama 22-24 hivi na huna majukumu mengi.

Ukitulia unapiga kazi miaka 10 maximum na mambo yote yanakuwa mswano.
 
Dubai umeisahau.... Ni nchi iliyobeba wakuja wengi sana!!
Aaaah I have been there, kwanza wakati nasafiri nilipanda KQ, nikajua nitapanda na washua full waarabu au wazungu, waah nikakutana na ma house girl na ma house boy yani nilichoka kwa kweli watu washamba aiseeh, Dubai ina wakimbizi wa nchi nyingi sana duniani, watu wamejazana hatari
 
Ila kama hujawahi kutoka kabisa nje ya nchi nashauri msikimbilie ulaya, kwa kuanzia tu South Africa panatosha, hii kwa wale ambao hawana ndugu wala marafiki yani wanajilipua, ila kwa wenzangu na Mimi wenye kaka na wajomba huko ulaya for them it's safe

Wabongo tuache ushamba tusafiri tujionee maajabu ya ulimwengu, you can't just live and die in Africa
 
Mkuu inategemea unataka kwenda inchi gani kujilipua...zipo inchi zipo ulaya lakini utatamani ubaki Africa..sasa wewe nidokeze unataka uende inchi gani?

Ulaya ulaya tu n sio afrika wakati mnalia ukamee huku dawa hakuna n maslhi duni
 

Dubai kuna matifa zaidi ya 200
 
But nasikia kuna baadhi ya nchi waafrika wanafanywa makafara? Hii imekaaje?
 
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ Mkuu hapo kwenye lugha wengi ni taabu ndo hapo mtu anashindwa kujieleza anasokwa rumande ndugu wanajua Abdalah yupo ulaya kumbe unayee ndoo..
By the way shujaa hakati tamaa japo changamoto ni nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…