Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
ULAYA KUTAMU 🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂 hii nchi tutakaobaki ni wachache maana nipo hapa na mzee mmoja miaka takriban 50 na ushee nimemdokezea mikakati yangu ya kulowea majuu nae eti anasema yupo ladhi aitelekeze familia yake nae akajilipue majuu nimecheka kweli kumbe upepo wa JPM si wa kitoto eee.