Siasa Basi
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 1,493
- 4,281
Huyu segito rapa kanichanganya, nimemfuata pm nikashukuru kwa moyo wake kujitolea kwetu, kumbe sio segito wa kalenga.mimi niliona na nilikujibu au ni Segito gani unayemmaanisha wewe Shyshii
ingia website ya etihad, emirate, turkirsh na qutar (hizo ni airways) zote, go and return. nimeona turk bei yao ipo poa kdg. ni pm mkuu
Umetisha,Mm nataka kujua nauli ya kutoka bongo hadi malta
Ntumie bro, tu share mambo mazuriMkuu naomba nipe contacts za huyu jamaa
Kwa urahisi wa kuangalia nauri za ndege za bei ya chini kabisa download app inaitwa Cheapest flightingia website ya etihad, emirate, turkirsh na qutar (hizo ni airways) zote, go and return. nimeona turk bei yao ipo poa kdg. ni pm mkuu
Ingia playstore download app inaitwa Cheapest flight, hapo utaona nauri za ndege zote za bei ya chini kuliko zoteMm nataka kujua nauli ya kutoka bongo hadi malta
Ingia playstore download app inaitwa Cheapest flight, hapo utaona nauri za ndege zote za bei ya chini kuliko zote
ingia website ya etihad, emirate, turkirsh na qutar (hizo ni airways) zote, go and return. nimeona turk bei yao ipo poa kdg. ni pm mkuu
Wakuu mm tayari nimejisajiri Workaway.info ili nipate host nikamfanyie kazi ya kujitolea sasa naombeni ushauri host wengi wanapenda / wanavutiwa na volunteer wa mda mrefu au mfupi?? pia nikimpata atanitumia mwaliko ili kupata visa? au visa ntaomba mwnywe bila mwaliko? na kama visa naomba mwnywe ntaomba visa gani, vistors, working visa ??????
Kwa wanaotaka japan, wenye ujuzi kidogo wa kilimo na hata wasiokuwa nao. Naona huyu host anaweza kukaa na mtu kwa muda mrefu sana.
Help on a fruit farm in Minami Alps, Yamanashi Prefecture in Japan - workaway.info
Ni mawazo yangu jamani... Naombe tuangalie njia zingine
Usijali nilidhani alinimaanisha mm sababu nishawahi kutoa mawili matatu juu ya SA nishaishi sana hapo cape town nikianza kigumu location Phillipi baadae Kensington na bellivile, kuna haja sasa ya kuchange Id ili kuzuia mgonganonadhani alimaanisha Segito mimi huyu doooh hili kasheshe ka majina sasa
usijali rapa wanguUsijali nilidhani alinimaanisha mm sababu nishawahi kutoa mawili matatu juu ya SA nishaishi sana hapo cape town nikianza kigumu location Phillipi baadae Kensington na bellivile, kuna haja sasa ya kuchange Id ili kuzuia mgongano
Sidhahahahaaa hata mimi nilishangaa kama wewe ila nimezoea.eti segito rapa
Tena kwa zaidi ya miaka miwili hapo lowa na acacia kwenye flat za karibu na station lakini baadae ilibidi nihame si kwa bunduki zilekama ulishaishi Phillipi shkamoo sana mkuu