Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

WAKUU,

NAONA KAMA KWENDA NCHI ZA MAGHARIBI NI NGUMU SANA KWA SISI TUSIOKUWA NA MTU WA KUTUPA MWALIKO.

SASA MIMI NATAKA NIANZE KUPATA UZOEFU KWA NCHI ZA BARA LETU KWANZA,
KISHA NIPATE ROOM YA KUIBUKIA HUKO MAGHARIBI.
-----------
KWA SASA NAFIKIRIA KUJILIPUA BOTSWANA NA NAMIBIA,
NA SHUGHULI NAYOFIKIRIA KWENDA KUIANZA NI UMACHINGA.

NAWEZAJE ILI KUPATA MAKAZI JAPO YA GHARAMA YA CHINI IKIWA SINA NDUGU NCHI HIZO?
 
Naomba kukuuliza kwenye ku register Nimeona wanahitaji 29$kwa single applicant and 39 double applicants, Umeiona hii,
Km Umeiona umewatumia Kwa Njia gani,,
Asante.
 
Naomba kukuuliza kwenye ku register Nimeona wanahitaji 29$kwa single applicant and 39 double applicants, Umeiona hii,
Km Umeiona umewatumia Kwa Njia gani,,
Asante.
Tayari nimewatumia $ 29 kwa atm visa card
 
Huu uzi mkali sana..najifunza mengi..Unajua mi niko Kijijin sikuwa na hata ndoto yeyote..nilijua kazi yangu inanitosha..lakin uzi umeniamsha Ari..sasa nawaza niingie chuo(collage)nisome diploma ya Clinical medicine then nijiripue nikasome ughaibun..MD nataka nikasomee nje naomba ushaur wakuu..vip inawezekana.
 
Nmeshauliza snaa nchi ya botswana lakin sijapata mrejesho mpka leo
 
Mkuu Kelvin
Hizo tovuti za mashirika ya ndege bei zao NI ghali. www.cheapOair.com Toka Dar to Malta
Bei zao NI powa kabisa Egyptair $745,Turkish
$793 and Ethiopia $868.
Inategemea inaondoka Na kurudi lini.

Mkuu Barikiwa sana. jana sehemu zote nilizozunguka, nafuu yangu niliikuta Turkish walinambia 810 usd, kwa tar 30 april. Thanks alot Mkuu, am on that web site now
 
Mkuu hio njia ya Belize ni nzuri na nyepesi sana kwani ni hela yako tu, but baada ya kuingia USA utawaambiaje maafisa wa uhamiaji ? hapo hakuna hatari ya kurudishwa? au njia hio ni halali ???
 
What's more special in what's up group than this forum? Sijaona umuhimu wa kuhamishia mambo huko?? Ni kujitenga kusikokuwa na tija .

Sio kila member anataka kujulikana ama mawasiliano yake kuwa wazi kwa sababu mbali mbali ikiwepo usalama binafsi.

Kuna mengi yanawezekana kusemwa hapa kwa jukwaa kuliko uko what's up.

Sitegemei matokeo mazuri zaidi kupitia kwa group la whatsup tofauti na hapa kwa huu uzi. Mkiwa kwa group ni members waliojiunga tu ndio mnaoshea lakini hapa yeyote anaweza kuchangia mada kwa muda atakaoona unafaa yeye kufanya hivyo.

Haiwezekani members wote wenye uhitaji huo wa kwenda nje na kupata taarifa wakajiunga.

Group la what's up linaweza kuanzishwa kwa jambo fulani linalohusisha watu wachache tu....pia sio lazima kwani pm inaweza kutumika kufanya hayo yote na sio kama ilivyo apa kwa huu uzi.

Ni mtazamo wangu tu nakubali kupingwa na kukosolewa kwa manufaa ya wengi.

Huu Uzi una viewers zaidi ya 2K then mnafungua group ambalo maximum no ni 256 kwa nini msi share hayo mambo apa kwa huu uzi ili watu wengi zaidi wafaidike????[emoji290] [emoji289] [emoji288]
 
Kutaka kujuana kwa majina halisi na kutoana hofu.
 
Usijali nilidhani alinimaanisha mm sababu nishawahi kutoa mawili matatu juu ya SA nishaishi sana hapo cape town nikianza kigumu location Phillipi baadae Kensington na bellivile, kuna haja sasa ya kuchange Id ili kuzuia mgongano
Samahani segitoo we upo wapi kwa sasa?
Mana nshaninganya huu urapa ni noooma!!!
Ila mi nilikuwa nawasiliana na segito wa karenga ndo alisema yupo SA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…