Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

[emoji121]
MKUU,

MADINI KAMA HAYA ND'O NAYATAFUTA KUTWA KUCHA HAYA.

NGOJA NIANZE TARATIBU.
 
Mkuu inategemea unataka kwenda inchi gani kujilipua...zipo inchi zipo ulaya lakini utatamani ubaki Africa..sasa wewe nidokeze unataka uende inchi gani?
Mkuu kama upo vizuri komaa hapa hapa bongo,nenda morogoro kanunue shamba kubwa tu then fanya mambo uone lazima utatoboa mkuu.
 

Ina wezekana maana waha wengi wamejisajili ili kupata huduma kama wanazopatiwa wakimbizi... kila kitu for free even majiko ya gas wao ni kuishi tu bila kufanya kazi... kwakuwa hawatakiwi kufanyakazi wanatakiwa kuhudumiwa...
 
Habari wakuu, naomba kufaham njia rahisi (cheap) ya kusafiri kwenda Sweden. Natarajia kusafiri mwezi august ila nataka kubana sana bujeti yangu.

Natanguliza shukrani

cc: lusungo, izzo, Richards, na wengineo wote
 
Habari wakuu, naomba kufaham njia rahisi (cheap) ya kusafiri kwenda Sweden. Natarajia kusafiri mwezi august ila nataka kubana sana bujeti yangu.

Natanguliza shukrani

cc: lusungo, izzo, Richards, na wengineo wote

visa unayo?
 
kama ni ya EU is very simple b
ndio iko tayari
ook flight by KLM mpaka amsterdam then panda Treni ya umeme ni karibu na more cheaper au angalia alternatives zote kwenda straight mpaka stolkhom au kushukia amsterdam
 
Wanaothubutu naomba watupe MREJESHO ili kutoa hamasa kwa wengine!!
Hii itasaidia sana
 
Mm hapa nichek kwa email mtamadunsanaa@gmail.com namba ya simu 0692637111
 
Mkuu Bruce Lee
Kwanza pole Na Ubaguzi ulio kutana nao huko Caribbean.Ubaguzi tunao Hapa Hapa Bongo.Tukianza Na uhamiaji yetu sio wote wanawanyanyasa watu Wanao toka nchi za kiafrika.Fikiria wewe ndio Mnaigeria umetuwa Dareslam unafikiria utapewa (red carpet?).
Mwanzilishi wa uzi huu kafungua ili kutoa mwanga kwa Watu wanao taka kwenda nje.Kaandika maoni yake Na Kwa mtu yeyeto anaye taka kuchangia.Hamna mtu alielazimishwa kuchangia wala kukubali maoni yake.
Milango mingi imefunguliwa Ktk huu uzi.Kuanzia vyuo vikuu duniani,kupata passport,namna ya kwenda kuomba visa balozi mbali mbali,Kuhusu Japan,Malta,SA,EU,USA Na nchi nyingi tu. Tovuti za kujifunza Lugha za nje.
Siwezi kuviorodhesha vyote.Kwa kifupi watu wengi wanaelewa changamoto za nchi za nje :Ubaguzi,kudharauliwa,utumwa pamoja Na yote hayo wengi wanataka kujionea kama yalivyo kukuta wewe,
Muhimu NI kutoka BONGO Hata ukirudi akili Na fursa zitafunguka.Kabla ya wewe kwenda Ughaibuni ungeyajuaje mambo yote uliyo ya eleza? Umethubutu kwenda nje ya Tanzania.
Hongera sanaaaaa tu Kwa Lusungo,Richard,Izzo,Tokyo 40,Segito wa kalenga,Chillah,Isanga family,BAK,na wachangiaji wote ambao sikuwataja Kwa majina Na bila ya kukusahau Wewe Bruce Lee.
Mubarikiwe Wote.
 
nipe mm iyo fursa hakika sitachezea namba yangu hii hapa 0692637111 email mtamadunsanaa@gmail.com
 
Naomba unisaidie juu ya hilo nataman sana kutoka bongo na ntafanya kujituma niendako tatizo lipo tu kwenye nauli bas
 

exposure nilioipata ndio imenifanya kua mbunifu zaidi na kuziona fursa zaidi zilizopo hapa nyumbani na sasa nachokifanya ni kutumia rasilimali zilizopo nchini na kujenga strong financial base halafu huko hua naenda kutembea na kujifunza zaidi, karibu saana mkuu waweza tembelea website yangu caanansupplies.co.tz tuongee zaidi na kupeana fursa zipo nyingi sana. hakuna kitu kizuri kama unaenda nje ku relux kuliko kwenda ku unga unga vi dei waka ili usurvive.
karibuni wote
 
Good
 
Mkuu ww upo Gaborone au umeishi huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…