Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ziko fresh sana nimezicheki mkuu.. Ila ni kwa undergraduate!
 
Kwa hyo ukipata admission form cha chuo, ndio utaijaza uipeleke pale wizarani au pamoja na Ile fomu ya schorship una ambatanisha.
 
Kwa hyo ukipata admission form cha chuo, ndio utaijaza uipeleke pale wizarani au pamoja na Ile fomu ya schorship una ambatanisha.
Baada Ya kupata admission
Unajaza hiyo fomu Ya schoralship unapeleka Wizarani pamoja na admission letter ukiwa pamoja na certified copy ya vyeti vyako kikiwamo na cha kuzaliwa...!!
 
Mauritius..!?
 
Baada Ya kupata admission
Unajaza hiyo fomu Ya schoralship unapeleka Wizarani pamoja na admission letter ukiwa pamoja na certified copy ya vyeti vyako kikiwamo na cha kuzaliwa...!!
Mkuu...
Nataka nijaribu bahati yangu kwenye zile scholarship zinazotolewa na JAPAN...
Niko hapa UDSM nachukua bachelor ya uchumi..!
Swali langu,kwenye education background nijaze na UDSM..?
Pia issue ya recommendation letter,ni nani anaweza kuniandikia hii..!?
Je,niko sahihi kuomba scholarship hizi wakati huo huo niko UDSM..?
NAOMBA KUTOLEWA UJINGA KATIKA MASWALI HAYA
Cc
izzo
lusungo
Tokyo40
Lizarazu
mgogoone
 

Mkuu mwenyewe nataka nianze kufanya japo kwa dogo. Wewe unajifanyia je umezaliwa kuanzia 1996?

Ok hiyo recomme.. andikiwa na mkuu wa shule/academic master wa shule uliyomaliza advance au diploma itakuwa nzuri zaidi.

Background : kwani umemaliza! maana tunajaza background kwa uthibitisho wa cheti ulichonacho. Kama unacheti cha kuthibitisha background jaz.
 
Mashimba Son samahani ninaswali.
Katika kupitia hii form ya scholarship za Japan nimekutana na issue ya TOEFL na IELTS na katika maelezo yao naona lugha ya kufundishia ni Japan na hakuna sehemu waliyosema lazima uwe na hizo mambo. Je kwa ufahamu wako kwa mtu ambaye hajafanya hii mitihani ata qualify kuendelea kuapply. Au nikiacha wazi haina neno.
 
Mazakafaaaa...!
😀 😀 😀 😀
Kaka Daby nilikua sijaona hapo kwenye age requirement..!
Ila hayo maswali ni vyema yakajibiwa,ili yawasaidie wengine..!
 
Anaqualify kuomba kaka...
Ila atakapoenda Japan atasoma LUGHA mwaka mzima..!
 
unamaliza lini maana unatakiwa kuanza masomo japan mwezi wa nne, kama unamaliza kabla ya mda huo jaza
 
DABY lugha siyo kigezo jaza hayo mengine maana masomo yatafundishwa kwa kijapani
halafu kingine pale ulipoikuta fomu ya undergraduate kuna link za makosa amayo watu hufanya wakiomba pia naomba uyapitie mfano tu fomu haitakiwi ijazwe na mkono n.k
Yes nimeiona aseeh..

Ngoja nijaribu kujaza kwa umakini kabisa. Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…