jamani watanzania shambulieni nafasi za masomo nchi ya Mauritius kila mwaka huwa wanatoa kwa nchi zote za Afrika, hii haina masharti mengi siyo lazima uwe umefuzu mtihani wa lugha, ni uhakika hii kupata
unachotakiwa kufanya nikuomba nafasi katika chuo chochote cha serikali cha nchi hiyo ya Mauritius, ukipata acknolgment letter kutoka chuo husika kuna fomu utaipeleka wizara ya mambo ya nje utaonana na mkurugunzi msaidizi wa mambo ya nje anaitwa Ms Mwakiwago anakusainia na kukupitisha hapo then yeye atatuma huko kwenye nchi husika haina complicated inshi nyingi sana.
Mwisho wa maombi ni tarehe 31 mwezi huu
mara nyingi hizi nafasi kwa Tanzania huwa zinarudi bila watu kuomba tafafadhali changamkia hii nafasi
Mshirikishe hata jirani yako aombe iyo lazima uwe wewe, nimesikia malalamiko eti humu kuna roho za korosho
http://ministry-education.govmu.org...Documents/tertiary/2017/Application Form .pdf
google Mauritius scholarship 2017 utaziona na vyuo vya serikali vipo ni vinne tu
Utakuwa unalipiwa garama za chuo ambzo ni takiribani sh MUR 100,000 ambazo ni sawasawa na Tzs milioni sita na nusu na ushee,
na pesa ya matumizi kila mwezi MUR 8,300 sawasawa na LAki 5 na ushee
ni kiinchi kidogo lakini uchumi wake ni mkubwa sana kipo kisiwani
Nauli utajilipia ya kwenda daraja la Economy ukifika huko utaonyesha ticketi yako na kurudishiwa pesa yote uliyotumia kwa nauli
PM HAZIRUHUSIWI