Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu Kaveli nakusalimu popote pale ulipo.

Bruh don't cry you gotta keep yo head...



Hahaha mkuu Lizarazu, naam. Ahsante kwa salaamu.

Nakusalimu pia. Natumai uko poa na mishe zinasonga.

Uzi huu umekuwa very useful. Nafurahi kuona wadau wanaendelea kushea fursa na kupeana madini.

Siredi hii idumu.

-Kaveli-
 
MREJESHO...
Ulifikia wapi mkuu..!?
 
Do not seduce yourself to temporary person, as you may aware that people doesn't have much time to remember that feeling which you were shared nimejoin JF kukwambia tu mkuu you can take it or leave it.
We bwana mbona ulikuja kuwavurugia watu maisha..!?
Nini tatizo..!?
Bro stop na habari hii, utakuja kujishushia heshima huko ulipo trust me mimi yameshanikuta wabongo si watu utakuja juta kwa kile unachotaka kufanya ...
 
Mkuu Izzo kidogo nina idea kuhusu hizo issue ya za occupational health and safety coz nipo kwenye kampuni inayotarajia kupata ISO AND OH&S CERTIFICATION, so huwa nahudhuria mafunzo hayo pia nina degree.
Mkuu...
Toa idea yako tafadhali..!
 
Mkuu...
Mbona haukutoa muongozo hapa kuhusu hii kozi..!?
 
Afadhali ya nyie mnavyakuuza, wengine wapo matopeni na hizo simu za misaada ndio kama mafuriko. Mtu akifika tarehe 5 ya mwanzo wa mwezi amebakiza elfu 10 mfukoni.

Mungu hebu tusaidie manake moyo wakusaidia tunao lakini kipato hakitoshi na watu hawaelewi kabisa.
 
Gpa sio shida sana kaka. Competition ni kubwa mno. Mm nina 3.6 second class upper division. Nshakosa mara kibao
 
Mkuu scholarship za Japan zinatolewa Kwa wenye advanced degree kutokana Na Tokyo40.Naomba kukosolewa kama nimekosea.Kuhusu "recommendation letter" unaipata toka kwa Mwalimu wako anaye kujua vizuri.Scholarship nyingi unaweza kujiandikisha Hata kama bado unasoma UDSM.
Kila la kheri mkuu
 
hahahaaaaa
nimekudaka leoooooo
 
Reactions: SDG
Kwa Mara nyingine tena
Schoralship za kusoma nchini ufaransa zipo wazi kabisa kwa walio na sifa
Ni masters na PhD
Usizidi miaka 36
Nauli utapewa
Pesa Ya matumizi utapata
Mwisho wa maombi ni Tarehe 25/5/2017
Nikutuma tu kwa email
Tembelea tovuti ya ubalozi wa ufaransa hapa nchini
Tafadhali wenye sifa naomba zisikose mtu hizi nafasi...!!
Asanteni
 
Ukitegemea uende nje kwa Scholarships ni probability kabisa, tusiwe wavivu kutafutanjia nyingine, mfno mimi naomba kazi mbali mbali nje, cheti cha lugha kimekua kikwazo kwangu
 
Mkuu nimejaribu lakini

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Ukitegemea uende nje kwa Scholarships ni probability kabisa, tusiwe wavivu kutafutanjia nyingine, mfno mimi naomba kazi mbali mbali nje, cheti cha lugha kimekua kikwazo kwangu
Mkuu unavyo sema "cheti cha Lugha" funguka zaidi
Ni Lugha gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…