Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

 
Nakusudia kwenda huko kimasomo Sikh za karibuni, ni vitu gani naweza kufanya nikifika ili pamoja na masomo, nitengeneze pesa!?
 
Anayeishi japan Tokyo anisaidie nataka jilipulia uko
 
Nisaidie email yake ili anijuze yanayojili uko
 
Tengeneza barua mwenyewe kamanda, hii bongo usiogope kabisa, kaa chini andika barua yako, tena ukiweza shuka ngeli ngumu kwelikweli hawataisoma. Ukishindwa ingia google andika sample invitation letter, utapata kila kitu. Jiongeze
Nahitaji kutimkia Japan ushauri kwa maisha ya japan pako vp
 
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi
 
Hapa lazima apigwe mtu, [HASHTAG]#brittanica[/HASHTAG] in New style.... [HASHTAG]#daby[/HASHTAG] njoo ufute watu machozi watalizwa tena
 
Hapa lazima apigwe mtu, [HASHTAG]#brittanica[/HASHTAG] in New style.... [HASHTAG]#daby[/HASHTAG] njoo ufute watu machozi watalizwa tena
Mose sio humu ni uzi mwingine niliokurushia link yake. Nafikiri uliupata lakini pia humu wanatakiwa kuwa makini zaidi.
 
Haya wadau leteni feedback basi!

Hakuna yeyote aliyekanyaga Windhoek hadi muda huu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…