Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Indonesia inazalisha vitu vingi sana. Kuna viwanda vya magari, vitu vya umeme mpaka vyakula, vifaa vya kijeshi na kadhalika.

Ni nchi yenye uchumi mkubwa kuliko wote kusini mashariki mwa Asia, kupita hata Singapore. (1 trillion $ economy).

Fursa nzuri ni kununua madawa, huko ni rahisi kuliko India. Pia magari mepya ya Kijapani ni $10,000 tu, minivan Toyota. Wanasuka kila kitu wenyewe.

Vyakula ni rahisi na kuna viwanda vikubwa sana vya nguo, hasa za Kiislamu.

Viza pia haina usumbufu, unapewa bure uwanjani, siku 30.
 
Indonesia inazalisha vitu vingi sana. Kuna viwanda vya magari, vitu vya umeme mkapa, vyakula, vifaa vya kijeshi na kadhalika.

Ni nchi yenye uchumi mkubwa kuliko wote kusini mashariki mwa Asia, kupita hata Singapore. (1 trillion $ economy).

Fursa nzuri ni kununua madawa, huko ni rahisi kuliko India. Pia magari mepya ya Kijapani ni $10,000 tu, minivan Toyota. Wanasuka kila kitu wenyewe.

Vyakula ni rahisi na kuna viwanda vikubwa sana vya nguo, hasa za Kiislamu.

Viza pia haina usumbufu, unapewa bure uwanjani, siku 30.
Nakusudia kwenda huko kimasomo Sikh za karibuni, ni vitu gani naweza kufanya nikifika ili pamoja na masomo, nitengeneze pesa!?
 
Indonesia inazalisha vitu vingi sana. Kuna viwanda vya magari, vitu vya umeme mkapa, vyakula, vifaa vya kijeshi na kadhalika.

Ni nchi yenye uchumi mkubwa kuliko wote kusini mashariki mwa Asia, kupita hata Singapore. (1 trillion $ economy).

Fursa nzuri ni kununua madawa, huko ni rahisi kuliko India. Pia magari mepya ya Kijapani ni $10,000 tu, minivan Toyota. Wanasuka kila kitu wenyewe.

Vyakula ni rahisi na kuna viwanda vikubwa sana vya nguo, hasa za Kiislamu.

Viza pia haina usumbufu, unapewa bure uwanjani, siku 30.
Anayeishi japan Tokyo anisaidie nataka jilipulia uko
 
Jamanii kuna Dada mmoja Wa Marekani Alikuja Bongo alikuwa Anafanya Research....sasa mm nilikuwa nae japo si sanaaaa....ila eneo alilokuwa anafanyia research anavoondoka aliniachia Email yake na Alikuwa Mwaka wa mwisho ni Medical Doctor! Sasa nilimtumia Email kumuomba Anitafutie Scholarship au Sponsorship....Jana Kaijibu Email yangu kaomba msamaha kwa kuchelewa kuijibu na Anasema analikuwa ana Ifikiria kwa mda mrefu sana

Akasema yeye hajaaanza bado kutengeneza hela zake na itamchukua miezi kadhaa lakini akaomba nimtumie gharama za Ada kuishi na mimi naweza kutoa kiasi gani ili aangalie kiasi gani nahitaji .....mm nimemjibu jana Usiku kuwa kwa mwaka mzima.....Ada na malazi nahitaji Dollar za kimarekeni 4,912 na kwa mwaka mm naweza kuchangia Dollar za kimarekani 1,000 so nahitaji dollar 3912 kwa mwaka....

Sasa ndio nasubiri majibu Jamani je Niwe na Matumaini kiasi hicho cha pesa kwa mwaka au nimesema hela kubwa sanaa kwa mwaka siwezi pewa kabisaa nishaurini hapa!
Nisaidie email yake ili anijuze yanayojili uko
 
Tengeneza barua mwenyewe kamanda, hii bongo usiogope kabisa, kaa chini andika barua yako, tena ukiweza shuka ngeli ngumu kwelikweli hawataisoma. Ukishindwa ingia google andika sample invitation letter, utapata kila kitu. Jiongeze
Nahitaji kutimkia Japan ushauri kwa maisha ya japan pako vp
 
Jamanii kuna Dada mmoja Wa Marekani Alikuja Bongo alikuwa Anafanya Research....sasa mm nilikuwa nae japo si sanaaaa....ila eneo alilokuwa anafanyia research anavoondoka aliniachia Email yake na Alikuwa Mwaka wa mwisho ni Medical Doctor! Sasa nilimtumia Email kumuomba Anitafutie Scholarship au Sponsorship....Jana Kaijibu Email yangu kaomba msamaha kwa kuchelewa kuijibu na Anasema analikuwa ana Ifikiria kwa mda mrefu sana

Akasema yeye hajaaanza bado kutengeneza hela zake na itamchukua miezi kadhaa lakini akaomba nimtumie gharama za Ada kuishi na mimi naweza kutoa kiasi gani ili aangalie kiasi gani nahitaji .....mm nimemjibu jana Usiku kuwa kwa mwaka mzima.....Ada na malazi nahitaji Dollar za kimarekeni 4,912 na kwa mwaka mm naweza kuchangia Dollar za kimarekani 1,000 so nahitaji dollar 3912 kwa mwaka....

Sasa ndio nasubiri majibu Jamani je Niwe na Matumaini kiasi hicho cha pesa kwa mwaka au nimesema hela kubwa sanaa kwa mwaka siwezi pewa kabisaa nishaurini hapa!
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi
 
18765883_252786135200417_4275589097203221327_n.jpg
 
Hapa lazima apigwe mtu, [HASHTAG]#brittanica[/HASHTAG] in New style.... [HASHTAG]#daby[/HASHTAG] njoo ufute watu machozi watalizwa tena
 
Hapa lazima apigwe mtu, [HASHTAG]#brittanica[/HASHTAG] in New style.... [HASHTAG]#daby[/HASHTAG] njoo ufute watu machozi watalizwa tena
Mose sio humu ni uzi mwingine niliokurushia link yake. Nafikiri uliupata lakini pia humu wanatakiwa kuwa makini zaidi.
 
Haya wadau leteni feedback basi!

Hakuna yeyote aliyekanyaga Windhoek hadi muda huu?
 
Back
Top Bottom