Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Na kumbuku karibia Scandinavia yote ubalozi ni mmoja hapo bongo
 
Hata nilivykua Dubai nilikua najitambulisha kama mkenya, maana kule wakenya wanawafahamu sijui walikua wanawauzia chai/kahawa Dubai miaka hiyo, so at least wanaelewa ila wengi ukiwatajia Tanzania hawaelewi
 

haki ya MAMA naapa usije ukategema TZ hii upate vyeo vya juu, angalia Tu utaona, hii nchi ina LAANA, na kinachoifanya ibaki na AMANI ni WALOKOLE wanaolia mchana na usiku makanisani mwao, maana kipindi cha ibrahimu wangekuepo watakatifu 2 tu nchi isingechomwa, sasa hawa wote waende wapi
 
Sio kweli mpk ufuate utaratibu wao,na mtu ukipata residence hapa sweden huwezi kutamani kuhamia Denmark maana upatikanaji wa kazi Kati ya Denmark na sweden hapa ni easy mkuu
Ninawajua wemgi tu waloanzia Sweden baada ya kupata kibali wakahamia DK....
 
Hata nilivykua Dubai nilikua najitambulisha kama mkenya, maana kule wakenya wanawafahamu sijui walikua wanawauzia chai/kahawa Dubai miaka hiyo, so at least wanaelewa ila wengi ukiwatajia Tanzania hawaelewi
Ahahahah binamu why hukumpaisha ngosha bhn
 
Kazi zilizopo huko nyingi ni za Mikono na chache za kutumia akili.
Mkuu kwa uzoefu wako ni wapi pazuri kuishi kwa inchi za European nijilipue tafadhari msaada wako ?
 
Hata nilivykua Dubai nilikua najitambulisha kama mkenya, maana kule wakenya wanawafahamu sijui walikua wanawauzia chai/kahawa Dubai miaka hiyo, so at least wanaelewa ila wengi ukiwatajia Tanzania hawaelewi
Aisee kuna jamaa yangu mmoja aliniambia ukiwaambia unatoka na tanzania, na hili wakuelewe basi itabidi uwape lecture haswaa.... Na sijui utatumia reference gani maana mlima kilimanjaro wanafahamu unapatikana kenya.
 
Katika nchi za scandinavia Sweden bado sheria zao za kupata uraia sio ngumu ingawa wameanza na wao kuweka vikwako, ikiwemo kutotoa uraia wa kudumu kama kipindi cha nyuma
Yeah Sweden ndo wamelegeza kidogo ila DK na Norway wamekaza sana!!
 
Aisee kuna jamaa yangu mmoja aliniambia ukiwaambia unatoka na tanzania, na hili wakuelewe basi itabidi uwape lecture haswaa.... Na sijui utatumia reference gani maana mlima kilimanjaro wanafahamu unapatikana kenya.
Wakenya ni wepesi na wako wamoja sana ndio maana identity yso ni rahisi kujulikana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…