Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu sasa unamsaidia mtu aende invisible? Mm nimeishi Australia Gold Coast jimbo la Ql mbona sio ishu? Kutaja unaishi wapi ni ishu mkuu?
Samahani kama nimekukwaza ila naomba uheshimu pia maamuzi yangu.
Niexpose hapa nipo wapi wakati jina nimeficha ili iwaje? Ww unaona vzr kutumia true identity fine lkn Mimi Mara zote naficha.
Nivosema msaada sikumaanisha ntasema hapa, ningeshaandika Uzi wa kuomba najua wadau wapo ila nimejiwekea malengo mwakani nisaidie watu 7 maana naona watz tupo nyuma nadhan wengi hatuna taarifa kulinganisha na mataifa mengine.Mungu anisaidie.
 
Aiseee sawa, na hivi kuna watu wasiojulikana basi. Ila mm hata siogopi, najua hakuna wa kunifanya kitu ingawa situmii id inayoendana na jina langu but at least ukisema uko somewhere inavuta attention. Kuna nchi za kifala kama Estonia, Wales, Romani, Ireland.............kama ndio mtu anakua huko na anasema amshauri mtu kwenda ni bora abaki Bongo tu
 
[emoji3] [emoji3]
Mtu asiyejulikana.

Mtu kabla ya kuomba huwa anainterest na anakopenda kwenda.
Mimi niliomba Norway, Australia, UK, Japan na China.

Kila mtu atapambana na hali yake kama ataona hapafai
Mimi nimeona mataifa mengine wanavyotoka watz tupo 3 tu Chuo Chenyr foreigners zaid ya 360.
Haya ndugu yang
 

Mmh waTz hatuna shida! Tunapambana
 
Mkuu hizo nchi za kifala watu wengi tungependa kwenda
Tupe muongozo basi.
 
Bosi Msigwa, kwa uzoefu wako ungetushauri tujaribu kwenda kusoma nchi zipi?

Mimi nimesomea Australia na Japan, naona kote kuzuri ila kwa nyongeza ni kua nchi zote za ulimwengu wa 1 ziko vzr i.e Marekani, Germany, Oz, ingawa haziwezi kua 100% matching..
 
Hizo nchi za Scandinavia thamani ya pesa zao zipoje?
 
Mimi nimesomea Australia na Japan, naona kote kuzuri ila kwa nyongeza ni kua nchi zote za ulimwengu wa 1 ziko vzr i.e Marekani, Germany, Oz, ingawa haziwezi kua 100% matching..
Nchi za Scandinavia wanatumia pesa gani,Dora,euro,au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…