Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Nahitaji sana msaada wako,nahitaji kwenda nje kusoma eitha kwa scholarship au kwa kujilipia kama kuna uwezekano wa kusoma huku ukifanya kazi zisizohitaji utaalamu.
 
Mkuu Dilekeni, kusema ukweli mimi binafsi bado sija-make any progress so far in this regard.

Natumai wadau wengine weshafanikiwa ama wanaendelea kufanya progress.

-Kaveli-
shukran kwa mrejesho mate tupo pamoja. Tusubiri michango ya members wengine
 
nina mpango wa kutengeneza safari lkn nimeambiwa kuna visa ya itary na france na mi tagert yangu ni kuingia ugermany au uk
 
Mkuu kaveli
Kajaribu bahati yako kwenda nchi za kiarabu
Hao jamaa sio feki.
Kampuni inaitwa competitive manpower Int'L
Simu 0654 .360.571 na 0752.56.4154
Kila la kheri

Mkuu wangu mgogoone , thanks for sharing such info. Nitafanya follow-up on that. Stay always blessed.

-Kaveli-
 
Mkuu kaveli
Kajaribu bahati yako kwenda nchi za kiarabu
Hao jamaa sio feki.
Kampuni inaitwa competitive manpower Int'L
Simu 0654 .360.571 na 0752.56.4154
Kila la kheri


Mkuu mgogoone , nimecheki website ya hao 'Competitive Manpower International' Welcome to Competitive Manpower International................... ... naona ni kampuni kubwa ya kimataifa.

Ni Recruitment Agency yenye branches kwenye nchi nne: KENYA (Headquarter), Tanzania, Uganda, na Uarabuni.




Kwa branch ya Tanzania, contacts/simu ni hizo hapo nilizoweka mabano mekundu... kwa mujibu wa website yao.

Kuhusu kazi, website inasema there is NO job openings kwa sasa !



Nitaendelea kufanya follow-ups from time to time. Cheers mkuu.


-Kaveli-
 
Mkuu kaveli nenda ofisi zao ziko mwembechai
Watakupa application na maelezo kuhusu hizo kazi
Wadogo zangu na marafiki walikwenda hapo wakachukua hizo application na mambo yao yanaenda vizuri.
Kila la kheri
 
Mkuu kaveli nenda ofisi zao ziko mwembechai
Watakupa application na maelezo kuhusu hizo kazi
Wadogo zangu na marafiki walikwenda hapo wakachukua hizo application na mambo yao yanaenda vizuri.
Kila la kheri

Oh shukrani sana chief. Nitaenda hapo mwembechai. Ubarikiwe mkuu. Tupo pamoja.

-Kaveli-
 
Mkuu hizo Nordic Countries ndio zipi? Msamiati umenichanganya kidogo!
 
Thanks for this thread man
 
mkuu nauli toka hapa hadi japan shiling ngap
 
Reactions: D23
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…