Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu lusungo nitumie mwaliko basi na mimi nijilipue!! Shule ishaisha huku!
tatzo katika mualiko ukijilipua yeye anakuwa hatiani... yeye umuombe tu akutafutie huo mualiko uende upate job hata ya kijungu jiko... umtolee kiwingu na familia yake...
 
Inategemea nchi gani unataka kwenda Ila Kwa Europe njia rahisi ni
unaweza kuapply viza ya Spain au Portugal (tourist visa)kupata kwake unaambatanisha barua ya kuonyesha kama umeajiriwa (unaweza ipata popote), hotel booking online incase haina invitation letter(booking ni bure), booking ya ticket ya ndege #bure#, ukipata unaweza safiri nchi zote za ulaya (Schengen) kasoro U.K
so unaweza amua kubaki au kwenda nchi nyingine unayotaka
Incase hujafanikiwa kupata visa pia kuna njia ya Georgia hii nchi haina visa na Tanzania unaweza ingia then ukachukua train mpaka Romania ambako ni karibu na Italy ukapiga mchongo wa kuingia italy ili uweze kwenda Germany or France or Swiss nk.
sema kuna shida moja tuna ambiana kuwa hizo nchi ni masikini alafu wabaguzi kinyama... hapo kuanzia georgia, spain, portugal na waitaly japo hta wajerumani nao ni wabaguzi kimtindo...

hivyo kuingia ktk nchi zao bila kuwa na mwenyeji si una weza ingia choo cha kike mzee... au kuna kona zipi zina saidia kuingia na kuepuka baadhi ya maeneo ya nchi husika... ambayo ni hatarishi
 
Kwa Japan, njia rahisi ni kwa ndoa. Watu hawaoani huku wala kuzaliana. Wanigeria wanaoa kila siku na Wajapani.

Kwa kusoma hapa, mpaka uletwe na serikali. Scholarship wanatoa kuanzia Ph.D level.

Unaweza kuja kwa kusoma Kijapani. Naifahamu shule moja ya lugha, gharama ni $1000 kwa mwezi. Wachina wanakuja hivo na kutafuta maisha wakiingia. Pia, viza hazina tabu za kuishi. Unaweza kusoma hapo kwa $500, na $500 unalipa chumba katika dorm yao. Pia, viza yako ya mwaka unaruhusiwa kufanya kazi na shule ina contact na makampuni. Baada ya hapo, akili kichwani.

Maisha ya Japan sio ghali kama unavyosoma katika magazeti. Unaweza kula kwa $10 kwa siku na kushiba. Kazi zipo nyingi tu, viwandani wanatafuta wafanyakazi, Wajapani hawazitaki na hawataki kuzaa. Kama ukitaka, nimeweka link ya vyumba vya kulala vya $500 kwa mwezi kutoka kwa agent. Unaishi kigeto, katika chumba kimoja, katikati ya jiji la Tokyo. Mgeni yoyote anakaribishwa.

Shule ya Kijapani: 東京近郊埼玉県さいたま市の日本語学校

Chumba Tokyo: www.realestate.co.jp
 
5f08bbc2e71c0490259e2dc83f82b92a.jpg


Ongeza muda wa maongezi kwa ku 'scan' vocha. Inapatikana Google play store Vocha Master – Applications Android sur Google Play
 
Huu uzi umenifundisha na kunipa uelewa wa mambo mengi sana na kuna watu humu kwenye thread hi wameni-inspire sana!!!!Big Up japo nmeanza progress lakini still bado nahitaji madini mingine...
 
sema kuna shida moja tuna ambiana kuwa hizo nchi ni masikini alafu wabaguzi kinyama... hapo kuanzia georgia, spain, portugal na waitaly japo hta wajerumani nao ni wabaguzi kimtindo...

hivyo kuingia ktk nchi zao bila kuwa na mwenyeji si una weza ingia choo cha kike mzee... au kuna kona zipi zina saidia kuingia na kuepuka baadhi ya maeneo ya nchi husika... ambayo ni hatarishi
sema kuna shida moja tuna ambiana kuwa hizo nchi ni masikini alafu wabaguzi kinyama... hapo kuanzia georgia, spain, portugal na waitaly japo hta wajerumani nao ni wabaguzi kimtindo...

hivyo kuingia ktk nchi zao bila kuwa na mwenyeji si una weza ingia choo cha kike mzee... au kuna kona zipi zina saidia kuingia na kuepuka baadhi ya maeneo ya nchi husika... ambayo ni hatarishi
Hizo nchi nilizotaja ni njia za kuingilia Europe mfano Viza ya Spain inakuruhusu kusafiri nchi zote za ulaya the same way na Portugal na nimezitaja hizo sababu ya urais wa kuipata hiyo Viza sababu nchi nyingine zote za western ni ngumu kupata visa ni vilevile Spain sio maskini kama unavyodhani kuna life Pale Kama ukitaka kulikita kuhusu Georgia hiyo pia ni njia ya kukwepa ugumu wa visa kuhusu kukosa mwenyeji hiyo isikutishe kuna namba za kupiga then unapata malazi bure na chakula hiyo system iko kwenye kila nchi ya ulaya
 
Hizo nchi nilizotaja ni njia za kuingilia Europe mfano Viza ya Spain inakuruhusu kusafiri nchi zote za ulaya the same way na Portugal na nimezitaja hizo sababu ya urais wa kuipata hiyo Viza sababu nchi nyingine zote za western ni ngumu kupata visa ni vilevile Spain sio maskini kama unavyodhani kuna life Pale Kama ukitaka kulikita kuhusu Georgia hiyo pia ni njia ya kukwepa ugumu wa visa kuhusu kukosa mwenyeji hiyo isikutishe kuna namba za kupiga then unapata malazi bure na chakula hiyo system iko kwenye kila nchi ya ulaya
hayo malazi na chakula kwa muda gani mkuu...?
 
Asee hii thread imeni motivate sana...Vipi kuhusu Australia wakuu...nikitaka kuapply postgraduate degree then naweza kupata PERMANENT stay kweli?
 
Nakumbuka wakati nafuatilia passport kuna afisa mmoja akaniuliza kwa dharau kwamba unataka passport ya nini!? Na unataka kwenda nchi gani!? Nikamjibu naenda kuolewa na bibi mmoja pamoja na biashara, wote ofisini wakaagua kicheko. Tanzania kuna baadhi wanafikiri kupata passport hadi wazazi wako ni mawaziri.
hahaaaaaa
 
Mkuu vipi harakati zako ulifanikiwa?

Mkuu, inshort harakati zangu za kutafuta sponsor wa kunisomesha bachelor degree zilikwama. Dizaini nikapagawa, lakini siku-lose control of the situation. Life sucks! Na umri nao hausubiri... gadem!
Nikakata shauri... nilikimbie jiji la Dar for a moment, nijaribu kwenda kusaka riziki kwenye ardhi nyingine. Now nipo Mwanza since two weeks back... hustling from the scratch.
Nimejiattach kwa mshkaji wangu (homeboy) kwenye bizna yake ya mkaa... tunafuata mkaa interior kabisa (remote areas) kupeleka mwanza mjini.
Ni harakati ngumu sana with a lot of risks za kukamatwa by maliasili. Jamaa hana leseni, so bizna inaendeshwa kimagumashi. Ni kawaida kabisa kusafirisha usiku kucha kukwepa maliasili.
It's a week now tumeweka kambi kwenye kijiji fulani, aisee the whole village kaya zote hazina vyoo! Watu wote ni kujisaidia vichakani. Hakuna duka wala mgahawa. Hahahaa really it's a horrible & hectic life-experience but it builds me stronger!
So far, that's the latest ground kuhusu harakati zangu za kimaisha. Now nipo Mwanza for sometime, trying to carry-on the struggle in the sunny Africa!
However, ndoto yangu ya kusoma bachelor degree still remains intact... ipo siku tu things will eventually unfold na nitatimba class. Always in hope-mode. Thanks mkuu lusungo for asking. Pia nitamtafuta kiongozi wangu Lizarazu anipe ramani za rockcity.
Much respect to y'all brothers in this thread. We are soldiers of the same struggle!

-Kaveli-
 
Mkuu, inshort harakati zangu za kutafuta sponsor wa kunisomesha bachelor degree zilikwama. Dizaini nikapagawa, lakini siku-lose control of the situation. Life sucks! Na umri nao hausubiri... gadem!
Nikakata shauri... nilikimbie jiji la Dar for a moment, nijaribu kwenda kusaka riziki kwenye ardhi nyingine. Now nipo Mwanza since two weeks back... hustling from the scratch.
Nimejiattach kwa mshkaji wangu (homeboy) kwenye bizna yake ya mkaa... tunafuata mkaa interior kabisa (remote areas) kupeleka mwanza mjini.
Ni harakati ngumu sana with a lot of risks za kukamatwa by maliasili. Jamaa hana leseni, so bizna inaendeshwa kimagumashi. Ni kawaida kabisa kusafirisha usiku kucha kukwepa maliasili.
It's a week now tumeweka kambi kwenye kijiji fulani, aisee the whole village kaya zote hazina vyoo! Watu wote ni kujisaidia vichakani. Hakuna duka wala mgahawa. Hahahaa really it's a horrible & hectic life-experience but it builds me stronger!
So far, that's the latest ground kuhusu harakati zangu za kimaisha. Now nipo Mwanza for sometime, trying to carry-on the struggle in the sunny Africa!
However, ndoto yangu ya kusoma bachelor degree still remains intact... ipo siku tu things will eventually unfold na nitatimba class. Always in hope-mode. Thanks mkuu lusungo for asking. Pia nitamtafuta kiongozi wangu Lizarazu anipe ramani za rockcity.
Much respect to y'all brothers in this thread. We are soldiers of the same struggle!

-Kaveli-
okay safi sana nimefarijika kusikia hivyo mkuu. Mungu akutetee katika mapambano yako.
Nimecheka sana hapo kwenye vyoo hivi wasukuma mpaka leo huo utamaduni wa kubeba majembe hawajaacha?
 
Kweli kila mtu na ndoto zake kila mtu na malengo yake . Kiukweli mimi Ktk kitu kimenishinda ni kukaa mbali na Tanzania hadi kuna jamaa zangu hunishangaa.

Nimeshasafiri US walinipa Visa 1 Year nikakaa siku 5 nikarudi na sikusafiri Tena hahaha Kwa Africa nilienda South Africa Visa Free nikakaa Wiki moja nikarudi, Nimeenda UK wamenipa VISA ya 6 Months nimekaa siku 5 nikarudi, Germany etc

Mke wangu niliyemuoa ni Raia wa Ujerumani na tuna watoto wawili na wao ni Wajerumani lakini mimi katika kitu sifikirii ni kubadili Uraia wangu.

Kweli kila mtu na Malengo na Mapenzi yake.
 
Jaman mm hapo npo Tu nimelala kila nikiamka asbh na nashika passport yng mkononi nasali Mungu anitoe nchi hii am tired at the maximum hata nikisikia Kuna kaz nyuma ya nyumba ctaki kabsa coz kaz tembo mshahara sungura.plz yeyote mwnye kujua namna ya kuondoka anisaidie .nimesikia hbr za Malta cjui nianzie WP my email endrew91@hotmail.com
 
Jaman mm hapo npo Tu nimelala kila nikiamka asbh na nashika passport yng mkononi nasali Mungu anitoe nchi hii am tired at the maximum hata nikisikia Kuna kaz nyuma ya nyumba ctaki kabsa coz kaz tembo mshahara sungura.plz yeyote mwnye kujua namna ya kuondoka anisaidie .nimesikia hbr za Malta cjui nianzie WP my email endrew91@hotmail.com
Kwenda sehemu kwa mihemuko haifai mkuu, lazima ujipange uangalie unaenda kufanya nn na ww kama utapamudu huko
 
Mkuu, inshort harakati zangu za kutafuta sponsor wa kunisomesha bachelor degree zilikwama. Dizaini nikapagawa, lakini siku-lose control of the situation. Life sucks! Na umri nao hausubiri... gadem!
Nikakata shauri... nilikimbie jiji la Dar for a moment, nijaribu kwenda kusaka riziki kwenye ardhi nyingine. Now nipo Mwanza since two weeks back... hustling from the scratch.
Nimejiattach kwa mshkaji wangu (homeboy) kwenye bizna yake ya mkaa... tunafuata mkaa interior kabisa (remote areas) kupeleka mwanza mjini.
Ni harakati ngumu sana with a lot of risks za kukamatwa by maliasili. Jamaa hana leseni, so bizna inaendeshwa kimagumashi. Ni kawaida kabisa kusafirisha usiku kucha kukwepa maliasili.
It's a week now tumeweka kambi kwenye kijiji fulani, aisee the whole village kaya zote hazina vyoo! Watu wote ni kujisaidia vichakani. Hakuna duka wala mgahawa. Hahahaa really it's a horrible & hectic life-experience but it builds me stronger!
So far, that's the latest ground kuhusu harakati zangu za kimaisha. Now nipo Mwanza for sometime, trying to carry-on the struggle in the sunny Africa!
However, ndoto yangu ya kusoma bachelor degree still remains intact... ipo siku tu things will eventually unfold na nitatimba class. Always in hope-mode. Thanks mkuu lusungo for asking. Pia nitamtafuta kiongozi wangu Lizarazu anipe ramani za rockcity.
Much respect to y'all brothers in this thread. We are soldiers of the same struggle!

-Kaveli-
True definition of mwanaume wa kweli pambana tuu mkuu road to destiny
 
Back
Top Bottom