Mkuu, inshort harakati zangu za kutafuta sponsor wa kunisomesha bachelor degree zilikwama. Dizaini nikapagawa, lakini siku-lose control of the situation. Life sucks! Na umri nao hausubiri... gadem!
Nikakata shauri... nilikimbie jiji la Dar for a moment, nijaribu kwenda kusaka riziki kwenye ardhi nyingine. Now nipo Mwanza since two weeks back... hustling from the scratch.
Nimejiattach kwa mshkaji wangu (homeboy) kwenye bizna yake ya mkaa... tunafuata mkaa interior kabisa (remote areas) kupeleka mwanza mjini.
Ni harakati ngumu sana with a lot of risks za kukamatwa by maliasili. Jamaa hana leseni, so bizna inaendeshwa kimagumashi. Ni kawaida kabisa kusafirisha usiku kucha kukwepa maliasili.
It's a week now tumeweka kambi kwenye kijiji fulani, aisee the whole village kaya zote hazina vyoo! Watu wote ni kujisaidia vichakani. Hakuna duka wala mgahawa. Hahahaa really it's a horrible & hectic life-experience but it builds me stronger!
So far, that's the latest ground kuhusu harakati zangu za kimaisha. Now nipo Mwanza for sometime, trying to carry-on the struggle in the sunny Africa!
However, ndoto yangu ya kusoma bachelor degree still remains intact... ipo siku tu things will eventually unfold na nitatimba class. Always in hope-mode. Thanks mkuu
lusungo for asking. Pia nitamtafuta kiongozi wangu
Lizarazu anipe ramani za rockcity.
Much respect to y'all brothers in this thread. We are soldiers of the same struggle!
-Kaveli-