DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Jamani Mwenye uwezo anisaidie Mimi niondoke hapa Tanzania nikaishi zangu ng'ambo na sitarudi tena maisha yangu yote. Huu ujinga wanaofanya akina Magufuli na wenzie siwez kuvumilia nitakuja kupiga mtoto Wa MTU.