Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Bhana hayo mambo ulio andika ndo kikwazo
 
Nenda uhamiaji waaambie nataka pass ndogo watakupatia bila shida hyo unaweza itumia kwa nchi za EAC na SADC
Sawa boss nashkuru sana. Hyo pia naweza ata kuitumia kwenye udereva ee kupeleka mzgo labda Congo au wap
 
naomba kuuliza vipi wana ruhusu pombe na club yanii kama nikiamua kuanza kunywa bia saa 10 mpaka saa kumi usiku inawezekana?
 
Scandinavia ni nchi zenye raha kupita zote Europe
 
Sijui nlikuwa wapi mie,mpaka page zimekuwa nyingi sana,anyway lusungo huna rafiki mzungu uniunge nae,niende kumsalimia trump mie
 
Sasa Nkija sitaki kurudi itabidi nipate danga moja fasta nipate karatasi,ili nsikuharibie wewe?nauli viza kama sh ngapi ivi?
Ahahahah njoo unisalimie mie nakutumia mwaliko then gharama za viza na nauli juu yako.... ila ukija nakuhost fully.
 
Sasa Nkija sitaki kurudi itabidi nipate danga moja fasta nipate karatasi,ili nsikuharibie wewe?nauli viza kama sh ngapi ivi?
Haha kama upo kipotabo utampata ukitua tu airport ila kama tukunyema itabidi usubiri sana! [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Nauli plus visa ni around 1000$
 
Mwenzangu maumbo yetu ya kibantu si unayajua,hiyo avatar ndivo nlivyo tumeshabihiana unaonaje nitasubiri sana au?
Haha kama upo kipotabo utampata ukitua tu airport ila kama tukunyema itabidi usubiri sana! [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Nauli plus visa ni around 1000$
ngoja nimalize ujenzi mbezi huko nihamishie mtoto na wazee nije,mwakani lusungo nitakutafuta ila itabidi unichangie hata 300 usd jamani remember i am your friend
 
Ahahaha hautasubiri sana asee unafaa kwa matumizi ya binadamu. Karibu sana home sweet home Copenhagen
 
Jamani msaada nimepewa invitation Na shirika la dini marekani mwezi September Na barua nimepewa ya kuombea visa ila upande wa nauli nauli sjajipanga Na sijajua gharama zikoje Na usawa uliopo kwakweli nashindwa cha kuwajibu
 
Jamani msaada nimepewa invitation Na shirika la dini marekani mwezi September Na barua nimepewa ya kuombea visa ila upande wa nauli nauli sjajipanga Na sijajua gharama zikoje Na usawa uliopo kwakweli nashindwa cha kuwajibu
Kujua nauli ingia mtandao huu www.momondo.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…