Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza


Visiwa vingi ambavyo Africa au Europe ambavyo vina watu weusi hata kama hawa a uraia wa nchi za Ulaya uwa wakiona watu wanatoka bara La Africa wanawaita waafrica na wakati rangi moja kasoro Zanzibar tu,visiwa hivyo Kama Madagascar,Comoros,Reunions([emoji632]),Mauritius etc,lakin pia Madagascar inaweza ikawa njia pia ya kuingia visiwa vya Reunions na ukaanza maisha hapo au ukajiongeza kWa kuingia Europe kupitia France maana hicho kisiwa ni cha kifaransa,wananchi pia ni wafaransa,wanapiga kura Kama watu wanaoishi France(wenye uraia).
 
Hivi hii kujilipua ni kwa wote!? Mie nilidhani kujilipua kunawahusu wale ambao waliingia nchi za majuu kama Watanzania kisha wakasema wao ni wasomali, warundi, wasudan etc na kuchana au kuchoma moto passports zao.

Ila wale ambao waliomba makaratasi kama Watanzania na majina yao ya waliyotoka nayo bongo na vyeti vya elimu kuanzia bongo hadi majuu hawa nilidhani hawamo kwenye kundi la waliojilipua. Hebu nifahamisheni waungwana.

Ni muhimu sana hii kwa wenye roho nzuri kama wewe wafunguke maana wapo watu wengi wana ndoto zaa lakini wanashindwa waanzie wapi
 
Ujermani pako Poa mkuu, na huduma za kijamii wapo vizur.... ukishapata Residence permit selikali inakulipia asilimia flan kwaajir ya kusoma Lugha , nauli, na pesa ya makazi. Pia wanazo ofisi zibaitwa Job-center ni kwaajili ya kuwatadutia wageni kazi... Pia kazi zisizo rasmi ni nyingi kama kusambaza magazet, upishi migahawani, usafi nk. Na unapata pesa nzuri tu mwisho wa siku... ubaguzi umebaki kwa wachache sana.. na kumbuka hali ya Usalama ni kubwa sana... wenzetu walishtuka kitambo mfano Hamburg na Berlin hadi kuna makanisa ya Waghana... ebu tuamkeni na tujiamini tusiogope simulizi za uongo na kukatishana tamaa....
 
Asante mkuu na sisi tujaribu bahati zetu.
 
Mkuu MziziMkavu alikua akifanya ishu za kuwapeleka watu ulaya kwa malipo fulani... Unafika huko wanafanya arrangement ya mwaliko mpaka residence permit....

Wasiliana nae kama bado wanafanya hizo mambo....
Na mimi nataka jamani, unawasiliana vipi na Mzizi Mkavu?aweke mawasiliano achangamkie Fursa watu tujilipue.
Unafanya kazi tembo mshahara sisimizi una kazi ya kuwaza mpaka unazeeka kwa mawazo, aaaghh!!
 
Kabisa mkuu... Tunataka tuanzishe hii movement... Haiwezekani kila uendapo ni wakenya na wanaija tuuu.... Ndo tumeanza hopeful tutafika mbalj...
Movement ni nzuri ina implementiwa vipi ndo tatizo
Au mnaanzaje ili kweli watu walio na nia za dhati kwenye nyanja za kusoma,kufanya kazi nk wakapata connection through Tanzanians walio nje ya Tanzania?
Tuache ubinafsi na tuwe tayari kusaidiana hapo ndo tutaweza kuona Watanzania wamezaa all over the world.
 
Mimi niliomba scholarship sasa kimbembe passport kuanzia ofisi unayofanyia kazi ukimwambia HR niandikie barua ya kupata passport mtu anahisi unaenda Ulaya kesho
Ukienda ofisi za Uhamiaji nako mbinde ila thanks Lord nilimpata rafiki akanielekeza km unataka kuipata haraka passport.
Nimeipata tena passport kubwa ya miaka kumi kilichobaki ni ku apply scholarship mpaka usiku wa manane Halmashauri kumenichosha mwenzenu.
 
Mkuu nipe hizo link za website?
 


Usikate tamaa mkuu. Inashangaza sana kusikia hivi, wenyewe kwa wenyewe tunavyoumizana. Sasa HR kukuandikia barua au Immigration kufanya kazi yao inavyotakiwa upate passport wanaona kama 'wanakusaidia'
Wakati wote hao hizo ni kazi zao, na wewe ni haki yako.
 
Ujanja ujanja na roho mbaya tu ili wapate pa kula.
 
Pole sana ndugu, vumilia tu tuijenge nchi wote.
 
Ndio maana mvua zimekua za maombi siku hizi,yani mabinti wanasafiri kufuata "boloyang" kwa wazungu?alohhh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…