kiroboto21
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 887
- 325
Yaa..pale ni viza free mkuu kwa tanzanian passport holder.. mkuu hapafai..pana njaa hatari...halafu cha ajabu ukifika wanakuita muafrica...wao wanajiona sio waafrica...nimekaa Antananarivo pale...kwnz hawajuwi English wanaongea kimashangaa...au French kwa mbali... Ukifika pale ndy utajuwa Tanzania tumepiga hatua kiasi gani ktk Africa yetu hii...kuanzia chakula chao KIBOVU...hata CHUMVI hawaweki kwny CHAKULA
...hata UGALI hawaujuwi.. Wao ni wali tu..kuna siku tulihangaika kusaka UNGA WA MAHINDI shoprite zote hawajuwi...ila PAPUCHI INJE INJE MKUU..kule ukiwa disco...ukiona mwanamke kavaa viatu virefu means anauza..wewe uliza BEI tu...ndy style yao..kile kisiwa wafaransa kibao wanakuja kula raha tu na kuondoka..tena UFARANSA wanaingia ENTRY TU....ila cha kushangaza MKUU pale MTU akifa...anawekwa KWENYE shelfu ndani ya nyumba ila inajengwa makaburini....kule MTU akizikwa na city ndy anazikwa ardhini..au anaonekana ni MTU LOFA SANA..hana uwezo wa kujenga BANDA LA KUHIFADHI JAMAA ZAKE..kwa hyo wakimuweka maiti kwenye shelfu....then baada ya mwaka wanakuja kufunguwa ile nyumba wanachukuwa maiti wanacheza nayo mziki..tena mziki mkubwa unafunguliwa makaburini.watu wanajaa kushuhudia maiti wanavyocheza nayo mziki.na ndugu wanakuwa na bajeti hiyo ya sherehe hiyo.kila ikifika mwaka.maiti itatolewa wanacheza nayo ngoma na kuibadilisha nguo.HALAFU WANAIRUDISHA TENA KWENYE SHELFU ...wanafunga HOUSE wanaondoka....na wanaamini wasipofanya hivyo maiti itawaletea mikosi....mkuu niliogopa sana siku za mwanzo..pia pale rais wao Fulani alifukuzwa na mawe kqmq mwizi.. na wanainchi...akakimbilia mafichoni south...rais alikuwa na uwanja wake wa ndege mwenyewe na pesa inaingia mfukoni kwake..mkuu hapafai pale...Tanzania yetu ni marekani...nyumba ZAO zipo milimani na mabondeni tu...
Visiwa vingi ambavyo Africa au Europe ambavyo vina watu weusi hata kama hawa a uraia wa nchi za Ulaya uwa wakiona watu wanatoka bara La Africa wanawaita waafrica na wakati rangi moja kasoro Zanzibar tu,visiwa hivyo Kama Madagascar,Comoros,Reunions([emoji632]),Mauritius etc,lakin pia Madagascar inaweza ikawa njia pia ya kuingia visiwa vya Reunions na ukaanza maisha hapo au ukajiongeza kWa kuingia Europe kupitia France maana hicho kisiwa ni cha kifaransa,wananchi pia ni wafaransa,wanapiga kura Kama watu wanaoishi France(wenye uraia).