Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Uzi huu ulinipa chachu ya kuja europe.... Mwaka jana mwez wa tisa niliingia rasmi europe... Nmeshatimiza mwaka na ushee sasa...

Nimekuja kwa njia ya masomo na sina mpango wa kurud bongo kiukwel.
Bongo nilikua na ajira ndio ila sikuona future yoyote . Biashara zangu ilifika hatua serikal ilibadili gafla gia angan ikasababisha biashara zangu zote kuingia doa.. sikuona mwanga.. ila pia nilikua mdau wa uzi huu kitambo sana. So nikaamua niufanyie kaz..

Hii ni ID yangu nyingne mpya ofcourse.. ya zaman naona imepigwa ban ya maisha..
Ila fresh tu.

Cha msing nachoweza sema... Njia ya shule kama una documents zoote muhimu .. bas ni njia nzur sana maana visa unapewa fasta sana.. na msing ni kwamba documents zako ziendane tu... Kwa ulaya haina shida unapewa fasta .. kwa US na canada na Australia inabid uwa convince vzur ili wasione kama utaenda zamia.. ila kwa ulaya.. wala hawaangalii sana. Tena kama unajilipia ada ndo kabisaa...
Hakikisha proof yako ya fanancial ipo vzur.. kama una ndugu wa kukusaidia onyesha bank statements bas fanya hvyo etc... Maana hii ndo kigezo namba 1 cha kupewa au kunyimwa visa. Kama utaona ni nchecheme nchecheme ... Kwamba usije ukaenda ukawa omba omba bure mitaan.

All in all.. lifw huku ni zuri mnoo.. hakuna uonevu wa kijinga. Ubabaishaj na maudh.. husikii watu wameiba mapesaa serikalin wala husikii kelele za ki chawa...

Huku kila kitu utashangaa siku za kwanza.. ni kuzur mnooo..
Nmezaliwa dar nmekulia dar.. naweza sema tandale ya huku kwa huko hata masak haion ndan *****... Ni kuzur kwel..

Mim nasoma.. napiga kaz za kunipa kahela pia ni artist so naingiza pesa kupitia njia hiz.. maana watu wa huku wanathamin sana art...

Uzi tayar.
 
Uzi huu ulinipa chachu ya kuja europe.... Mwaka jana mwez wa tisa niliingia rasmi europe... Nmeshatimiza mwaka na ushee sasa...

Nimekuja kwa njia ya masomo na sina mpango wa kurud bongo kiukwel.
Bongo nilikua na ajira ndio ila sikuona future yoyote . Biashara zangu ilifika hatua serikal ilibadili gafla gia angan ikasababisha biashara zangu zote kuingia doa.. sikuona mwanga.. ila pia nilikua mdau wa uzi huu kitambo sana. So nikaamua niufanyie kaz..

Hii ni ID yangu nyingne mpya ofcourse.. ya zaman naona imepigwa ban ya maisha..
Ila fresh tu.

Cha msing nachoweza sema... Njia ya shule kama una documents zoote muhimu .. bas ni njia nzur sana maana visa unapewa fasta sana.. na msing ni kwamba documents zako ziendane tu... Kwa ulaya haina shida unapewa fasta .. kwa US na canada na Australia inabid uwa convince vzur ili wasione kama utaenda zamia.. ila kwa ulaya.. wala hawaangalii sana. Tena kama unajilipia ada ndo kabisaa...
Hakikisha proof yako ya fanancial ipo vzur.. kama una ndugu wa kukusaidia onyesha bank statements bas fanya hvyo etc... Maana hii ndo kigezo namba 1 cha kupewa au kunyimwa visa. Kama utaona ni nchecheme nchecheme ... Kwamba usije ukaenda ukawa omba omba bure mitaan.

All in all.. lifw huku ni zuri mnoo.. hakuna uonevu wa kijinga. Ubabaishaj na maudh.. husikii watu wameiba mapesaa serikalin wala husikii kelele za ki chawa...

Huku kila kitu utashangaa siku za kwanza.. ni kuzur mnooo..
Nmezaliwa dar nmekulia dar.. naweza sema tandale ya huku kwa huko hata masak haion ndan *****... Ni kuzur kwel..

Mim nasoma.. napiga kaz za kunipa kahela pia ni artist so naingiza pesa kupitia njia hiz.. maana watu wa huku wanathamin sana art...

Uzi tayar.
Mkuu ulibahatika kwenda nchi gani?
 
Uzi huu ulinipa chachu ya kuja europe.... Mwaka jana mwez wa tisa niliingia rasmi europe... Nmeshatimiza mwaka na ushee sasa...

Nimekuja kwa njia ya masomo na sina mpango wa kurud bongo kiukwel.
Bongo nilikua na ajira ndio ila sikuona future yoyote . Biashara zangu ilifika hatua serikal ilibadili gafla gia angan ikasababisha biashara zangu zote kuingia doa.. sikuona mwanga.. ila pia nilikua mdau wa uzi huu kitambo sana. So nikaamua niufanyie kaz..

Hii ni ID yangu nyingne mpya ofcourse.. ya zaman naona imepigwa ban ya maisha..
Ila fresh tu.

Cha msing nachoweza sema... Njia ya shule kama una documents zoote muhimu .. bas ni njia nzur sana maana visa unapewa fasta sana.. na msing ni kwamba documents zako ziendane tu... Kwa ulaya haina shida unapewa fasta .. kwa US na canada na Australia inabid uwa convince vzur ili wasione kama utaenda zamia.. ila kwa ulaya.. wala hawaangalii sana. Tena kama unajilipia ada ndo kabisaa...
Hakikisha proof yako ya fanancial ipo vzur.. kama una ndugu wa kukusaidia onyesha bank statements bas fanya hvyo etc... Maana hii ndo kigezo namba 1 cha kupewa au kunyimwa visa. Kama utaona ni nchecheme nchecheme ... Kwamba usije ukaenda ukawa omba omba bure mitaan.

All in all.. lifw huku ni zuri mnoo.. hakuna uonevu wa kijinga. Ubabaishaj na maudh.. husikii watu wameiba mapesaa serikalin wala husikii kelele za ki chawa...

Huku kila kitu utashangaa siku za kwanza.. ni kuzur mnooo..
Nmezaliwa dar nmekulia dar.. naweza sema tandale ya huku kwa huko hata masak haion ndan *****... Ni kuzur kwel..

Mim nasoma.. napiga kaz za kunipa kahela pia ni artist so naingiza pesa kupitia njia hiz.. maana watu wa huku wanathamin sana art...

Uzi tayar.
Tupe hatua ulivyo omba chuo mpaka ukapata huko kaka.
 
Binafsi uzi huu nauunga mkono 100% Lakin pamoja na hayo bado kuna changamoto nyingi kufikia hatua ya kuondoka nchini, kuna mambo mengi ambayo niya msingi hasa upande wa Serikali yetu tukufu hasa upande wa Idara ya uhamiaji.

Tz yetu mtu kupata the tu cheti cha kuzaliwa ambacho ni haki ya Mzawa mpaka jasho likutoke, na ikiwezekana na rushwa juu utoe. Ukienda Migiration ili kuanza mchakato wa passport utahenya vibaya.

Kupata card ya chanjo ya homa ya manjano mpaka utahenya.

Lakini pia changamoto nyingine ni mtu kupata Nauli kamili ya kukufikisha mahari unako taka kwenda. Binafsi ninacho elewa wakirahisisha hayo mambo ya juu, naona Tanzania inaweza kubaki na wazee tu.

Sasa nchi gani hii isiyo toa ajira, Mali asili ni nyingi lakini hatujui wala hatuoni uthamani wake, Vyeo vya juu wanapeana wao kwa wao

HAKI YA MUNGU MIMI SIKU NIKIONDOKA NDO BASI TENA. BORA NIKAFIE KWA FARAO KULIKO KANANI AMBAKO SIJAWAHI FIKA.
😂😂😂😂😂😂Aseee nimecheka sana ndugu yangu. Yaani daah ila kwa upande mwingine ukiangalia kweli mara utaambiwa mto ruvu ng'ombe wanakunywa lita nyingi maji yanapungua ndo mana hakuna umeme, mara mvua zikinyesha Daaah 😂😂😂😂😂 huwa naishia kucheka mwenyewe tu. Ila umeongea ukweli bora kwa farao ufie
 
Uzi huu ulinipa chachu ya kuja europe.... Mwaka jana mwez wa tisa niliingia rasmi europe... Nmeshatimiza mwaka na ushee sasa...

Nimekuja kwa njia ya masomo na sina mpango wa kurud bongo kiukwel.
Bongo nilikua na ajira ndio ila sikuona future yoyote . Biashara zangu ilifika hatua serikal ilibadili gafla gia angan ikasababisha biashara zangu zote kuingia doa.. sikuona mwanga.. ila pia nilikua mdau wa uzi huu kitambo sana. So nikaamua niufanyie kaz..

Hii ni ID yangu nyingne mpya ofcourse.. ya zaman naona imepigwa ban ya maisha..
Ila fresh tu.

Cha msing nachoweza sema... Njia ya shule kama una documents zoote muhimu .. bas ni njia nzur sana maana visa unapewa fasta sana.. na msing ni kwamba documents zako ziendane tu... Kwa ulaya haina shida unapewa fasta .. kwa US na canada na Australia inabid uwa convince vzur ili wasione kama utaenda zamia.. ila kwa ulaya.. wala hawaangalii sana. Tena kama unajilipia ada ndo kabisaa...
Hakikisha proof yako ya fanancial ipo vzur.. kama una ndugu wa kukusaidia onyesha bank statements bas fanya hvyo etc... Maana hii ndo kigezo namba 1 cha kupewa au kunyimwa visa. Kama utaona ni nchecheme nchecheme ... Kwamba usije ukaenda ukawa omba omba bure mitaan.

All in all.. lifw huku ni zuri mnoo.. hakuna uonevu wa kijinga. Ubabaishaj na maudh.. husikii watu wameiba mapesaa serikalin wala husikii kelele za ki chawa...

Huku kila kitu utashangaa siku za kwanza.. ni kuzur mnooo..
Nmezaliwa dar nmekulia dar.. naweza sema tandale ya huku kwa huko hata masak haion ndan *****... Ni kuzur kwel..

Mim nasoma.. napiga kaz za kunipa kahela pia ni artist so naingiza pesa kupitia njia hiz.. maana watu wa huku wanathamin sana art...

Uzi tayar.
Mkuu uko nchi ipi
 
Ukitaka kujichekecha lazima ujue unaenda wapi?
Unaenda kufanya nini?
Na unaenda kuhamia mazima au kuchuma na kuwekeza ulipotoka.
 
Ukitaka kujichekecha lazima ujue unaenda wapi?
Unaenda kufanya nini?
Na unaenda kuhamia mazima au kuchuma na kuwekeza ulipotoka.
Inategemea na mahali ulipo nchi kama tz tunaishi kwa kudra tu.
 
Ndugu wana JF,

Kwa muda mrefu kumekuwa na masuala mbalimbali yahusuyo kujilipua (kwenda nje ya nchi) ambayo watu wanauliza mmoja mmoja kwa lemgo la kutaka msaada na ushauri namna ya kufika na jinsi ya kuanza maisha huko nje.

Kutokana na kutoa msaada kwa wengi (binafsi) kwa kutumia njia binafsi nimeona nifungue uzi huu ili kuweka mambo yote wazi kwa kadiri itakavyowezekana na kualika wengine pia waweze kutoka maoni yao.

Ndugu zangu nchi yetu ya Tanzania ki uwezo bado ni changa, fursa za kutoka ni chache na hata changamoto ni nyingi. Huko kwa wenzetu fursa ni nyingi ndio maana imekuwa chanzo cha kuvuta wahamiaji wengi sana toka mataifa masikini.

Nchi masikini wenzetu huko mbele raia wao wamejaa haswa kutokana na moyo wa kusaidiana na kuvutana.

Nimeamua nilete hoja hii kama ambavyo wenzetu hufanya huko Nairaland ya Nigeria ili kila mtu mwenye ujuzi au ufahamu juu ya namna ya kutoka (kujilipua) atoe msaada kwa wengine kwenda huko... si lazima wewe binafsi usaidie mtu binafsi NO, hata mbinu tu za jinsi ya kufika huko.

Kabla sijaingia kwenye kiini cha mada naomba nitoe faida na changamoto za kujilipua.

FAIDA
1. Fursa nzuri za kiuchumi na kujiinua hasa ukiwa na malengo.. Wakuu binafsi nimeishi Marekani kwa miaka nane. moja ya faida nilizopata huko ni kujiinua kiuchumi.... binafsi wakati naenda kusoma huko nilijiwekea malengo ya kujenga ghorofa nyumbani, kufungua mashine za kusaga na kukoboa nafaka pamoja na kumiliki fuso za mizigo.

Kipato cha mfanyakazi wa kule ni kikubwa mno kushinda hata cha baadhi ya maboss wetu hapa... hivyo nilijitahidi nilipokuwa kule malengo yangu yaimie... ni kweli baada ya muda huo nilifanikiwa kutimiza yote.

2. Huduma nzuri za afya, Elimu, Sheria, miundombinu.

CHANGAMOTO
1. Changamoto kubwa kwa kuwa kule ni upweke (ku feel home mara kwa mara japo wakati mwingine ukizoea hutoweka)

2. Xenophobia hii ni kwa baadhi ya nchi tu, sio zote.

USHAURI WA WAPI UENDE NA NAMNA GANI UENDE
Kwa wale wahitaji wa masuala ya maisha kujijenga na kuchuma nashauri nchi hizi, USA, UK, NORDIC COUNTRIES, NA WESTERN EUROPE COUNTRIES. kwa Afrika nashauri SA.

Jinsi gani utaenda namna ni nyingi. Naorodhesha baadhi hapo chini.
1. Kwenda kimasomo ambapo unaweza tafuta sponsors then ukapata scolarship itayokuwezesha kupata visa na kujilipua huko baada ya masomo.

2. Kutafuta mwenzi wa nje ambaye atakualika huko kisha mtaoana na kukuwezesha kupata resident permit na baadae uraia.

3. Kuhamisha mataji na biashara njia hii unakubaliwa popote alimradi uwe na biashara halali.

4. Kwenda kwa shughuli za utamaduni

Wenzetu wakenya na wanigeria wameunda mfumo wa kualikana wao kwa wao, kwamba mtu anakutumia barua ya mwaliko, then unakwenda ukifika huko anakutafutia mtu mnaoana kisheria tu ili upate karatasi kisha kila mtu anasika hamsini zake.

Wapendwa mambo ni mengi siwezi andika yote ndio maana nimeanziasha uzi huu tutaendelea kujuzana kwa kairi michango ya watu itakavyokuwa na maswali yatayojitokeza.

Nawakaribisha nyote. Na wote wenye maujuazi au mauzoefu ya huko mbele. Karibuni tusaidiane tujenge taifa letu. Tuwasaidie vijana wakasake fursa.
Hujaweka kwenda kama mtalii, ongezea hapo
 
Habari ndugu zangu, matokeo ya green card yametoka namshukulu mungu nimefanikiwa kupata first notification ya Dv lottery kwamba nimeshinda hatua ya awali ya green card, naomba msaada Kwa yeyote anaefaham jinsi inavyojazwa fom ya Ds 260, pia naomba msaada jinsi ya kupata host U.s.
 
Habari ndugu zangu, matokeo ya green card yametoka namshukulu mungu nimefanikiwa kupata first notification ya Dv lottery kwamba nimeshinda hatua ya awali ya green card, naomba msaada Kwa yeyote anaefaham jinsi inavyojazwa fom ya Ds 260, pia naomba msaada jinsi ya kupata host U.s.
Mcheki EBM,,both instagram and Youtube mkuu.Hongera sana
 
Habari ndugu zangu, matokeo ya green card yametoka namshukulu mungu nimefanikiwa kupata first notification ya Dv lottery kwamba nimeshinda hatua ya awali ya green card, naomba msaada Kwa yeyote anaefaham jinsi inavyojazwa fom ya Ds 260, pia naomba msaada jinsi ya kupata host U.s.
hongera sana. binafsi sifahamuj insi inavyojazwa fom ya Ds 260.
 
Habari ndugu zangu, matokeo ya green card yametoka namshukulu mungu nimefanikiwa kupata first notification ya Dv lottery kwamba nimeshinda hatua ya awali ya green card, naomba msaada Kwa yeyote anaefaham jinsi inavyojazwa fom ya Ds 260, pia naomba msaada jinsi ya kupata host U.s.
Hongera saana ,
 
Back
Top Bottom