Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Nataka kwenda Canada kimatembezi ila nikifika huko nataka kujilipua.
Kama kuna mtu anajua jinsi ya kujilipua Canada naomba muongo tafadhali!
ukifanakiwa kwenda kwenda canada, utakuwa mwenyeji wangu.. mimi nitaenda huko kimasomo nikipata chance
 
Wazamiaji waliofanikiwa kufanya IELTS General Training waje watupe mbinu.
Niko nafuatilia ila wanasema Listening na Speaking ndio utata kwa wabongo ila Writing na Reading sio tabu sana.

Mm nimeanza kuprocess ECA ( Educational Credential Assessment) report kupitia WES (World Education Service) na nimepata Reference Number. Kwa wale ambao hamjaanza ni kwamba mm nataka vyeti vyangu nilivyopata hapa TZ vitambulike na pia niweze kuvitumia kupata kazi hivyo nimemtumia WES anifanyie assesment na alinganishe na elimu ya CANADA hapa anacharge $240 kisha atanitumia lakini pia atatuma kwenye Ofisi za Uhamiaji CANADA

Baada ya hapo wanahitaji Language Test na nimechagua International English Language Testing System (IELTS) ambayo iko chini ya British Council na malipo ya mtihani ni TZS 689,000 na form ya maombi inapatikana kupitia www.britishcouncil.or.tz


Kwa mliotumia ya Express Entry CANADA mtujuze

Ila nilichobaini inabidi jitihada binafsi za kusoma na kujifunza kupitia watu mbali mbali youtube
IMG-20220830-WA0011.jpg
 
Wazamiaji waliofanikiwa kufanya IELTS General Training waje watupe mbinu.
Niko nafuatilia ila wanasema Listening na Speaking ndio utata kwa wabongo ila Writing na Reading sio tabu sana.

Mm nimeanza kuprocess ECA ( Educational Credential Assessment) report kupitia WES (World Education Service) na nimepata Reference Number. Kwa wale ambao hamjaanza ni kwamba mm nataka vyeti vyangu nilivyopata hapa TZ vitambulike na pia niweze kuvitumia kupata kazi hivyo nimemtumia WES anifanyie assesment na alinganishe na elimu ya CANADA hapa anacharge $240 kisha atanitumia lakini pia atatuma kwenye Ofisi za Uhamiaji CANADA

Baada ya hapo wanahitaji Language Test na nimechagua International English Language Testing System (IELTS) ambayo iko chini ya British Council na malipo ya mtihani ni TZS 689,000 na form ya maombi inapatikana kupitia www.britishcouncil.or.tz


Kwa mliotumia ya Express Entry CANADA mtujuze

Ila nilichobaini inabidi jitihada binafsi za kusoma na kujifunza kupitia watu mbali mbali youtubeView attachment 2339776
Safi saana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni kweli. Uhamiaji hawatoi passport bila reason. Nafikiri tungebadili huu utaratibu tuwe kama wenzetu ambao passport kwao ni haki ya msingi na unaweza miliki tu.
Mbona mi nilipataga passport ndogo (ya dharura) kwa urahisi, ambayo iliniruhusu kuingia nchi yoyote ya Africa mashariki
 
Hii siredi bado ipogo?

Humu kumejaa 'Connections' za kibabaishaji na ukanjanja tupu!

Buyer Be Aware!!!

-Kaveli-

Eewe jamaa kingereza unakijua hiyo ni silaha tosha, ingia hapo British council chukua ielts mambo yaende mswano
 
Habari wana jamvi huu uzi umenisaidia sana na kunipa hamasa ya kutafuta maisha nje ya nchi.Kiufupi nimeanza mchakato rasmi wa kwenda Canada
Tutapeana mrejesho mambo yakienda sawa.Ee Mungu nisaidie
Hongera mkuu
Ila uwe makini ktk kila hatua smbayo itatakiwa ulipie pesa
 
Habari wana jamvi huu uzi umenisaidia sana na kunipa hamasa ya kutafuta maisha nje ya nchi.Kiufupi nimeanza mchakato rasmi wa kwenda Canada
Tutapeana mrejesho mambo yakienda sawa.Ee Mungu nisaidie
Unafuatilia visa ya aina gani..?
 
Back
Top Bottom