Shida ya nini mkuu?Hii ndio shida yetu wabongo!
Asante mkuu!!!UK utalala kwenye nje kwenye mabox wewe kule maisha magumu sana pesa hakuna,vibarua hakuna kazi za box mpaka upitie kwa dalali hata kama unaenda kusoma inabidi uwe upo fresh sana kwenye swala la pesa.
Vinginevyo nenda Australia kule hata kupata PR nirahisi compare na UK ukimaliza masomo wanakuswaga unarudi tena mavumbini {tz}.
Yote ya yote wabongo muda mwingine tunawakatisha waliopo mbele kutusaidia. Unakuta unamsaidia mtu mwisho wa siku anakuibia au anafanya mambo ya kishenzi mbele na wewe mwenyeji wake unabakia kulaumiwa . Huu ni upuuzi ni kuwaharibia wengine wanaohitaji misaada kama hiyo. <br /><br />Ila wito wangu. Kwa walio mbele binadamu wanatofautiana. Kosa la mmoja lisiwe la kufanya ushindwe kusaidia kiumbe kingine chenye roho ya ubinadamu kisicho na hatia. Naamini kuna ambao wanasaidiwa na wanafanya vizuri. All in all nikuwa makini tu hasa kwenye kumjua unamsaidia ikiwezekana uwe na baadhi ya docs zake.huu uzi ni mzuri sana...shida kubwa ya wa tz ni ubinafsi.....yes tumeumbwa hivyo wanadamu ila utaifa wetu hua hatuuweki mbele...mimi nimetembelea baadhi ya nchi ukikuta wenzetu wa nchi zingine wanaishi kindugu ila sisi mkiisha salamiana basi kila mtu kivyake.. niliokua nao karibu walikua wakenya, Ghana, pili ukienda kwenye hizo nchi unatakiwa uwe na malengo kabisa kabla hata ya kuondoka hio itakusaidia kwakua unakua unajua unatafuta nini.
Ni vema kuwa na malengo ya mbali lakini Denmark wana sheria yao mpya ya uhamiaji iliyoanza kutumika tangu 2008 au 2010 nadhani, Sheria hiyo inamtaka raia wake anapoanza mahusiano ya kudumu na raia wa kigeni kama wanandoa wawe wameishi nje ya Denmark kwa kipindi cha miaka 10, Kwa mfano mtanzania ukipanga kujishikiza kwa mdanish awe wa kike au wa kiume kabla ya kuruhusiwa kuomba uraia wa Denmark kwa kigezo cha wanandoa ni lazima muwe mmeishi pamoja kwa miaka kumi iwe hapa Tanzania au nchi nyingine kabla ya kuanza kusotea uraia wa Denmark.Mkuu kwanini hizo nguvu usielekeze huko moja kwa moja? Kuna site ya kusaka wapenzi DK nitaiweka hapajaribu bahati yenu...
Asante sanaaa mkuu Mwenyez Mungu ukujalii maisha marefuu na yenye baraka telee najifunza mengi kupitia busara zako na upendo wako kwetu. Lazima nifike niondoke tz safarii hii naenda ku Re new passport yangu next weekNdugu zangu Watanganyika mm nawambia nchi za Ulaya kila sehemu wamebana kuhusu wahamiaji hata zile ndoa zetu za usanii ni ngumu sana na hii inatokana na kuwa Raia wenyewe hawataki wageni tofauti na zamani ambavyo serikali ndio ilikuwa inakataa wageni wa magendo sasa inapofikia raia wenyewe hawataki wageni linakuwa ni tatizo kwa raia ndio wakukuficha dhidi ya serikali
Nakumbuka mwaka jana nilikuwa airport nchi flani nikakutana na mtu mmoja tukawa tunapiga story za hapa na pale si unajua wasafiri wakati tunapiga story kwenye TV wakawa wanaonyesha wahamiaji wale wa kutoka Libya kwenda Italy jamaa akanambia dah wanahatarisha maisha sana waafrica nikawambia na mm ni mwafrica kwani watu weusi wengi wa Ulaya au US ktendo cha kuitwa wanaasili ya Africa kwao wanaona kama ni kashifa wanataka waitwe blacks tu wanataka watambulike kwa race si Asili kitu ambacho kinatufanya watu weusi tuonekane tunamatatizo makubwa sana ya akili na ufahamu nimetembea sana nimekutana na watu wengi sana Ukmkuta mchina hata kama China hajawai fika anapenda kwanza atambulike kwa Asili yake kwanza watu wote weupe wanapenda kutambulika na Asili zao kwanza mm nawapenda sana wazanzibar wanajitambulisha kwa Asili zao mfano popote alipo mzanzibar anapenda atambulike kama Mzanzibar japo duniani hakuna nchi inayoitwa Zanzibar kuna Tanzania
Sasa katika mazungumzo yetu na yule dada tulitekutana nae Airport akanambia mm nimetokea Malta ni mfanyakazi wa serikalini akanionyesha passport yake ilikuwa ni Diplomatic pass kwa wenzetu weupe kupata Dip pass si kitu rahisi kama kwetu tu so akanambia kuhusu Malta kwamba wao ndio wenye Sheria rahisi sana kuliko nchi zote za ulaya na ukikaa Malta mwaka mmoja ukiomba uraia si RP wanakupa hasa kwa nchi zilizotawaliwa na waingereza nikashangaa sana akanambia hii ndio njia nyepesi ya Kuingia Ulaya na pia ndani ya kisiwa cha Malta wanataka sana wafanyakazi kutoka nchi zilizokuwa koloni la Uingereza nchi ina watu wachache sana so nguvu kazi ni ndogo sana Malta ina watu laki 4 na nusu tu sasa wanaitaji sana watu sasa njia hii ambayo watu wengi hawaijui kwani ni siri na watu wakijua wataingia kwa wingi na madhumuni yao yatakuwa ni kuingia ulaya baada ya kupata uraia na hii itapelekea Umoja wa Ulaya watawazingua so tukapiga story nying tu
Siku zote wanasema aiwezekani kwenda jela bila ya kupitia mahabusu kwanza mahabusu ni kama katikati ya Uraiani na jela so watu wengi wanataka kwenda Ulaya lakini Mm ningependekeza kabla ya kwenda Ulaya ni vizuri ukapitia nchi yeyote wanayoishi watu wa jamii ya Ulaya ili kupata uzoefu wa kuishi Ulaya moja wapo ni Malta
Faida ya Malta kwanza wanaongea kingereza na Lugha yao jeshini hawaamini ktk namba 3 Uraiani namba 3 ni kama namba ya kuruhusu kufanyika kwa kitu na namba tatu imekuwa namba kipenzi kwa Raia lakini namba tatu ni adui kwa watu au vyombo vya usalama na ulinzi kwa nini nimetumia mfano wa namba tatu kwanza ni ngumu sana kwa Ulaya kupata kazi bila kujua Lugha vizuri ya mwenyeji wenzetu kingereza ukijua au kuto kujua hakiwezi kukuletea mafanikio au kukupunguzia kitu kuanzia maendeleo au kijamii
Sasa unapokwenda nchi ambazo hawaongei kingereza inakuwa ni ngumu sana kumbuka nchi zote zinazoongea kingereza zina sheria kali ya uhamiaji kwa vile wahamiaji wamejaa kwani robo tatu ya dunia wanajifunza au kuongea kingereza na target yao ni kwenda nchi zinazoongea kingereza mfano UK,US ,Canada,Australia ,NZ ni nchi ambazo zimejaa wahamiaji na kufanya hata ajira kuwa ni ngumu sana kwa watu wanaokwenda huko
Tanganyika wanaojua kingereza vizuri ni wachache sana so unataji kwenda kwenye nchi inayoongea kingereza kwanza ukijue vizuri then ndio unahamia nchi ambayo hawaongei kingereza ndio maana nikasema Malta kwni kutafasiri Lugha kwa njia tatu ni Tatizo kwani ukienda Ujerumani kwanza utakitoa kijerumani kukiwekwa kwa kiswahili then ukipeleke kingereza kwanza utajikuta unapoteza maana ya neno husika kwanza ni vyepesi sana kutafasiri Lugha yeyote kutoka kwenye kingereza lakini ukishazidisha Lugha ya tatu ni Tatizo Ukiwa Malta mwaka mmoja utakijua kingereza na kiswahili kitaondoka kwa vile hakuna mtu wa kuongea nae so kingereza ndio kitachukua nafasi ya Kiswahili ktk ubongo wako so kutoa kingereza kwenda Lugha unayotaka ni vyepesi tu kwanza pale Malta wanafundisha Lugha za mataifa mengine so unaweza kuanza kusoma hapo hapo kabla ujaenda kwenye nchi husika
Kwa nini nimechagua Jeshi kwanza ndio njia nyepesi ya kupata uraia nchi nying kupata uraia ni lazima ufanye mtihani ambao unatakiwa upate 70% kwenda juu wengi wanafeli sana mtihani huu lakini ukipitia Jeshini hufanyi mtihani huu ww unapata tu uraia kama ukitaka pia jeshini kwa huku Unasoma chochote gharama ni za jeshi kumbuka wazungu hawaamini Elimu ya Africa so kama umesoma shahada yako utaongezea masters kama ujasoma utatafuta cha kusoma kwani mkataba ni miaka mitano mitano
Nchi nying sana za dunia ya kwanza wanachukua Raia kutoka nchi nyingne lazima uwe ni mkazi halali wa nchi hyo yani upate RP kitu ambacho ni kigumu sana kwa wahamiaji wa kutoka nchi masikini vigezo ni vigumu sana lakini kwa raia wa Ulaya na US wanayo haki ya kufanya kazi au kuishi ndani ya nchi yeyote ya Ulaya au US au Canada na Austaralia
hv mnajua Russia wanatoa uraia kwa mtu yeyote anayetaka kuingia jeshini tena kutoka sehemu yeyote duniani? Russia unapata uraia kwanza ndio unaingia jeshini
Pia faida ya Jeshi kwanza unalipwa mshahara so maisha yako yatayatakuwa ni mazuri pia unapata elimu bure pia jeshi ndio taasisi inayoheshimika dunian so kama utamaliza trust me huwezi maliza mtaa kabla ujapata kazi tena kwa fani uliyoisomea kwa sababu ukipita jeshini vyeti vyako vitaonyesha so mzungu akiona ulikuwa jeshini dah unajua wenzetu wana uzalendo sana so utapata kazi na watakuheshimu sana kazini
Yapo mengi ya kuonge bt mwenye swali ushauri au kuhusu nchi yeyote lakini si Africa coz sina uzoefu na nchi za Africa
Note Katika Wajerumani kumi ukimwambia ww umetoka Tanganyika nane watataka wawe rafiki yako wajerumani wanawapenda sana watanganyika ( Tanzania) Sema serikali yetu imeshindwa kutumia fulsa hii lakini kama watakaa chini na wajerumani wakongea vizuri wanaweza kutusaidia sana kuanzia kimasomo kwa vijana wetu kwenda kusoma huko kuliko hata mwingereza mwingereza hana mapenzi na sisi sana kwani anaona sisi si kama koloni lake kivile yeye anamapenzi na Kenya
Kingine ninachowashauri ndugu zangu kama unakuja huku na kufanikiwa kosa kubwa wanalofanya watu kutoka Africa ni kuoa au kuolewa na watu wa huku ni kosa la kiufundi sana kufanya hvyo hii imepelekea watu wengi kukaa miaka mingi bila ya kwenda Africa kwani ni ukweli usiofichika wazungu ni wabinafsi yani swala la ndugu au jamaa kama sisi kwao hakuna so unajikuta unaiga tabia hyo na kujikuta unashindwa kuwekeza kwenu au kuwasaidia ndugu zako wa Africa
Pia hata watoto mtakao wapata nataka kusema ukweli na nimefanya utafiti juu ya hili kuwa watoto ambao mtu mweusi anazaa kwa kuchangaya damu na watu wa jamii nyingine wanakuwa na roho mbaya sana dhidi ya jamii ya watu weusi wanatamani kuonekana wazungu lakini jamii ya wazungu inawakataa wanajikuta njia panda so wanakuja kwa jamii ya watu weusi lakini wanakuwa na chuki kubwa sana kwa watu weusi lawama zao ni kwa mzazi mweusi kuwa bila ya ww mm nisinge tengwa au kutukanwa so watoto hawa kujua au kusaidia ndugu zao waliopo Africa ni ngumu sana ww fanya uchunguzi tu kwani wanajiona wao si waafrica wanajiona ni wazungu lakini jamii ya wazungu inawakataa
Lakini ukioa mtanzania mwenzio kwani hapo lazima kuja nyumbani Africa mtakuja na kitendo cha nyinyi kuja kinawafanya na watoto wenu wajue umuhimu wa ndugu zenu na kuwasaidia kwani kunakuwa na connection kati ya nyinyi na ndugu na watoto kupitia nyinyi
NO PM (chumbani ) kwani siku zote mazungumzo yanafanyikia Sitting room au sehemu ya wazi chumbani(PM) yanafanyika mazungumzo ya wapenzi tu
Dumelang jme Tembo2 impongo kui Tombstone Piledrive Prishaz wembeee pius1021 cognition
Mrike mwandende impelle Chakochangu Agogo Jr
Richard chotera lusungo Sky Eclat Mfikilwa
Hon Nkundwe 365 bigmind MANCNOO
Ni rahisi kupata part tiem jobs ukilinganisha na UK, pia ule Uzungu na Uafrika haupo kama UK. Na mengine mengi kama sehemu nyingi weather yake ni ya kitropiki kama Tz!Kwa nini Australia na siyo UK mkuu?
Hyo ni sheria ya mwaka 2010 lakini sheria hyo inawabana nchi zinazoendelea au nchi maskini lakini sheria hyo aitumiki kwa watu wanaotoka Australia , NZ ,Europe yote kasoro nchi 4 ikiwamo UK na Uturuki , US na Canada sheria hii ni kubana zile ndoa zenu za ujanja ujanja ndo maana nikasema mwenye wazo la kuja kuoa ni ngumu sana zipo njia 4 tu zilizobaki kwa watu wanaoamia huku kufanikiwa kipata makaratasi moja ikiwamo hyo niliyoitoa ya MaltaNi vema kuwa na malengo ya mbali lakini Denmark wana sheria yao mpya ya uhamiaji iliyoanza kutumika tangu 2008 au 2010 nadhani, Sheria hiyo inamtaka raia wake anapoanza mahusiano ya kudumu na raia wa kigeni kama wanandoa wawe wameishi nje ya Denmark kwa kipindi cha miaka 10, Kwa mfano mtanzania ukipanga kujishikiza kwa mdanish awe wa kike au wa kiume kabla ya kuruhusiwa kuomba uraia wa Denmark kwa kigezo cha wanandoa ni lazima muwe mmeishi pamoja kwa miaka kumi iwe hapa Tanzania au nchi nyingine kabla ya kuanza kusotea uraia wa Denmark.
Fanya mpango haraka kwani kuanzia mwaka 2022 Bunge la Ulaya watatunga sheria mpya ya uhamiaji ambayo itakuwa ni pingu tena ya miguu na mikono dhidi wa wahamiaji hasa kutoka Africa na Asia na Middle EastAsante sanaaa mkuu Mwenyez Mungu ukujalii maisha marefuu na yenye baraka telee najifunza mengi kupitia busara zako na upendo wako kwetu. Lazima nifike niondoke tz safarii hii naenda ku Re new passport yangu next week
Ni vema kuwa na malengo ya mbali lakini Denmark wana sheria yao mpya ya uhamiaji iliyoanza kutumika tangu 2008 au 2010 nadhani, Sheria hiyo inamtaka raia wake anapoanza mahusiano ya kudumu na raia wa kigeni kama wanandoa wawe wameishi nje ya Denmark kwa kipindi cha miaka 10, Kwa mfano mtanzania ukipanga kujishikiza kwa mdanish awe wa kike au wa kiume kabla ya kuruhusiwa kuomba uraia wa Denmark kwa kigezo cha wanandoa ni lazima muwe mmeishi pamoja kwa miaka kumi iwe hapa Tanzania au nchi nyingine kabla ya kuanza kusotea uraia wa Denmark.
Kwanza mpaka upate RP kwa Denish si kazi ndogo pia anaweza kukupa uraia au RP ni raia wa Den kama ni wageni mmekuja mnataka kufunga ndoa hyo sawa lakini ndoa yenu haiwezi kubadili chochote juu ya ukazi wenu ndani ya Dennijuavyo denish/Sweden law ya hio ndoa, mmojawapo ndio anatakiwa kua ameishi humo si chini ya miaka 10, but ikiwa wote ni wageni hio ni rahisi mno kwakua mtahitahijika kujiandikisha kwa ajili ya ndoa tu
Mkuu umechanganya madesa!! Usikatishe watu tamaa haiko hivyo hata kidogo....Ni vema kuwa na malengo ya mbali lakini Denmark wana sheria yao mpya ya uhamiaji iliyoanza kutumika tangu 2008 au 2010 nadhani, Sheria hiyo inamtaka raia wake anapoanza mahusiano ya kudumu na raia wa kigeni kama wanandoa wawe wameishi nje ya Denmark kwa kipindi cha miaka 10, Kwa mfano mtanzania ukipanga kujishikiza kwa mdanish awe wa kike au wa kiume kabla ya kuruhusiwa kuomba uraia wa Denmark kwa kigezo cha wanandoa ni lazima muwe mmeishi pamoja kwa miaka kumi iwe hapa Tanzania au nchi nyingine kabla ya kuanza kusotea uraia wa Denmark.
Kwanza amechanganya!! Hayo aloeleza ni tofauti... Miaka kumi ya uraia ni kama ndoa yenu mmeishi DK au kokote!! Si kwamba lazima uwe nje ya DK!!Hyo ni sheria ya mwaka 2010 lakini sheria hyo inawabana nchi zinazoendelea au nchi maskini lakini sheria hyo aitumiki kwa watu wanaotoka Australia , NZ ,Europe yote kasoro nchi 4 ikiwamo UK na Uturuki , US na Canada sheria hii ni kubana zile ndoa zenu za ujanja ujanja ndo maana nikasema mwenye wazo la kuja kuoa ni ngumu sana zipo njia 4 tu zilizobaki kwa watu wanaoamia huku kufanikiwa kipata makaratasi moja ikiwamo hyo niliyoitoa ya Malta
Halafu yeye kaenda mbali kwenye uraia si tunazungumzia fursa.... Ukifunga ndoa kule ukapata ile long stay visa yao unaweza faidi mengi tuunijuavyo denish/Sweden law ya hio ndoa, mmojawapo ndio anatakiwa kua ameishi humo si chini ya miaka 10, but ikiwa wote ni wageni hio ni rahisi mno kwakua mtahitahijika kujiandikisha kwa ajili ya ndoa tu
Mkuu sijamkatisha tamaa mtu kwa bandiko langu hapo juu,Nadhani umepitia bandiko la Mkuu izzo said pia. Kwa kauli yangu na yake fanya kautafiti kadogo tu uwasiliane na maafisa ubalozi wa Denmark hapa Dar utapata ufafanuzi mzuri zaidi.Mkuu umechanganya madesa!! Usikatishe watu tamaa haiko hivyo hata kidogo....
Sio uishi nje no.... Ukiingia leo DK ukafunga ndoa na mzawa unapata stay visa ya 2 years then unapewa tena ikifika 4 years unapata resident permit...
Tatizo Watanganyika wanawaza Uraia lakini ukipata PR tofauti yako na raia ni sehemu moja tu ww uwezi kupiga kura tu vingine vyote ni sawa tu na faida ya uraia ni kuwa hata iweje uwezi kufukunzwa ndani ya nchi lakini PR unaweza kufukuzwa kama ukifanya makosa ambayo yapo 5 wanaweza kukufukuzaKwanza amechanganya!! Hayo aloeleza ni tofauti... Miaka kumi ya uraia ni kama ndoa yenu mmeishi DK au kokote!! Si kwamba lazima uwe nje ya DK!!
Halafu si lazima uwaze uraia... Si tunaongelea benefits... Mfano leo mtu akienda kule akafunga ndoa na kupats long stay visa anaanza kula neema.
Niwasiliane na ubalozi wakati naenda huko kama kariakoo? Ndugu ongea kwa experience usilete nadharia.... Hayo uloyasema hayapo.Mkuu sijamkatisha tamaa mtu kwa bandiko langu hapo juu,Nadhani umepitia bandiko la Mkuu izzo said pia. Kwa kauli yangu na yake fanya kautafiti kadogo tu uwasiliane na maafisa ubalozi wa Denmark hapa Dar utapata ufafanuzi mzuri zaidi.
Hivo vikundi wanazichangamkia wanaijeria Na wakenya mfano kupitia ubalozini mfano via Belgium embassy Dar Kuna BTC uwa wanatoa scholarship though Kuna ukiritimba adui wa mbongo ni mbongo mwenzake so ukitegemea ubalozini Kuna urasimu kibao .Kweli hata kwa vikundi vya ngoma... Izuri wa hizo nchi raia wake wana upendo na huheshimu sheria sana... Hizo nchi wakuja mnaheshimika kama wenyeji alimradi uwepo kihalali.
Then si wote wapendao kuukana uraia wao... Watu wanaenda saka fursa tu.... Leo sweden au DK ukipata long stay visa unakula mema ya nchi alimradi ujue lugha tuTatizo Watanganyika wanawaza Uraia lakini ukipata PR tofauti yako na raia ni sehemu moja tu ww uwezi kupiga kura tu vingine vyote ni sawa tu na faida ya uraia ni kuwa hata iweje uwezi kufukunzwa ndani ya nchi lakini PR unaweza kufukuzwa kama ukifanya makosa ambayo yapo 5 wanaweza kukufukuza