Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Nikisema nina ndugu yangu anafanya kazi qatar naenda kumtembelea hawawez nipa passport?
 
Israel huwa wanatimua wahamiaji haramu wote, sio sehemu ya kujilipua hata kidogo. Soma hapa chini kidogo.

Israeli government to refugees: Go back to Africa or go to prison

HOLOT, Israel — As Europe struggles to stem a spring flood of migrants from Africa and the Middle East trying to cross a deadly Mediterranean Sea, Israel has begun to toughen its stance toward refugees, telling unwanted Africans here they must leave now or face an indefinite stay in prison.

Israeli authorities are sending letters to the first of 45,000 Eritrean and Sudanese refugees, informing them they have 30 days to accept Israel’s offer of $3,500 in cash and a one-way ticket home or to an unnamed third country in Africa, or face incarceration at Saharonim prison.

Israeli leaders have proclaimed that their tough approach — building a fence along the country’s border, denying work permits for illegal migrants, forcing them into a detention center in the desert — may ultimately save lives by dissuading migrants from attempting a perilous journey. Critics of the Israeli policy counter that a country built by refugees should be more accepting of those fleeing war, poverty and oppression.
Israeli government to refugees: Go back to Africa or go to prison
 
Safari za kwenda Israel kila mwaka ninakwenda kwani kule yupo shemeji yangu ambae ni Myahudi na anakaa Tel aviv Dizengoff street so nimekaa Israel na nawajua vizuri sana na ndo maana mada zote zinazohusu Israel lazima utakutana na chapisho langu na ninaongea vitu ninavyovijua si kwa mapenzi ya kidini au mapenzi binafsi

Israel uchumi wao ni USD 305 billion wakat uchumi wa South africa ni USD 416 B na Naigeria ni USD 568 So Israel amezidiwa hata na nchi za Africa na mbinu au njia moja wapo kabla ujazamia sehemu lazima uangalie uchumi wa nchi unayozamia kwanza



Mpaka kufikia 2004 tayali Israel ilikuwa imepokea misaada karibu usd 121 billion na kila mwaka jeshi pekee linapokea usd 3-8 billion kumbuka ni msaada si mkopo kutoka USA

Ok Siwezi kuendelea kuichambua Israel sana kwani si mada yake lakini kwa kukushauri hakuna nchi inayokataa na kupinga wahamiaji hasa wa kutoka Africa duniani kama Israel
 
mkuu nimeona hiyo wanafanya sana hapa SA bt sikujua kama na Tz inawezekana. Me ninaplan ya kurudi bongo mwezi wa Sita cz Work permit yangu imeisha na sina mpango wa kurenew kutokana na hali ilivyo kwa sasa. Nahisi kumbe naweza nikafanya hiyo program bongo
 
Shukrani mkuu.... Nitarejea kwaajili ya hii.... Nami nitoe wazo.
 
Mkuu Izzo ubarikiwe mno, mnoooo. Nimekuelewa sana.
 
Bro nimekuelewa sana.Asante inatosha
 
Mimi pia nimepapenda sana Malta izzo ametoa option ya pili ya kuwa host, hapa tushindwe wenyewe maana huyu mkuu ana moyo kweli. lusungo asante kwa kuanzisha huu uzi utakuwa madini kwa wengi. Ungefaa sana kuwekwa Sticky Moderator
Mkuu Option namba 2 nimeiweka baada ya kuonekana Option number 1 ni ngumu japo mm sijaona ugumu wake so Option namba mbili ni host na kutengeneza conection wa nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta so unatengeneza mtandao wa kwenda nchi ambayo unataka ww kwa kupitia mgeni wako utakae muhost so akili ni yako miezi 3 umekaa na mtu ushindwe kutengeneza mambo duh utakuwa unaitaji maombi bt nitakuja na Option number 3 ambayo ni XXL
 
Mkuu lusungo asante kwa uzi. Ubarikiwe saana. Ule utaratibu wangu na wewe haujaisha maana ni moja ya plan nazotegemea saana.

izzo thank you brother kwa kuendeleza kutupatia exposure na njia za kutokea ubarikiwe. Kwangu njia ya malta is the best kwa ufafanuzi ulioutoa na nafikiri ni moja ya plan ninayopita nayo hasa hiyo ya host ama visa ya uchumba.
 
Haki ya mama siku wameifunga jamii forum nitajinyonga nimekuwa nikipata faida kila kukicha mkuu izzo naona kama wewe ndo umetumwa na mwenyezi mungu uokoe maisha ya tanganyika kazi imebaki jinsi gani tunakutumia hapo nafikiri tunahitaji utufumbue zaidi je,gharama zinaweza kufika kiasi gani ili kufanikisha mchakato mzima?
 
Asante mkuu Daby nami ndo nimerejea kutoka kwenye pilika pilika

Nikitulia nami nitaweka link ya kusaka hosts huko nje na kualika wanaohitaji kuwa hosted.....

Tuendelee kutembelea hapa.
 
Asante mkuu Daby nami ndo nimerejea kutoka kwenye pilika pilika

Nikitulia nami nitaweka link ya kusaka hosts huko nje na kualika wanaohitaji kuwa hosted.....

Tuendelee kutembelea hapa.
Asante mkuu
 
Naona umejikoki sana mkuu Daby umekuja mulumule mi si nilikwambia....let us go Malta
 
Mkuu Adams vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…