Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

ps chengine unajua wabongo tukiona wazungu tunajishtukia sana kuwaongelesha labda ngozi ila mi last month natoka gomz nmepanda na wajeruman wawili madem na mmoja boyfriend wa dem mmoja ndo katokea ujeruman..sikushobokea madem ila kupiga stori.na jamaa yuko peace sana uzuri sikuhizi mambo ya whats app sijui instagram..amekua bonge la mshkaji yaani na ukimtoa out usimdondokee sana hadi ajishtukie sometimes simamia game akuone independent

Ni kweli mkuu, niliokuwa nikiwa-host walikuwa wanafurahia maisha, halafu wenzetu wanakwambia kabisa mimi nataka kujaribu hiki na kile, yaania wanakuwa wazi sana.

Kaka ...
 
passport njoo mikoani mkuu ,mie wakati naomba passport huku mkoani yaani maafisa wa uhamiaji wanatoa ushirikiano kupita maelezo, hata usipomkuta ofisini unampigia simu anakuja fasta kukushughulikia.
Utaratibu tuliuharibu wenyewe...miaka ya 2000 passport haikuwa kazi ngumu kuipata...now imekuwa ngumu sababu ya wahindi..wasomali na watu wengine ambao sio watanzania kwa faida ambazo Tanzanian passport holder tunaingia entry..wakawa wanapewa passport zetu kama NJUGU...now ni SAWA TU kuwepo na udhibiti wa passport..ni vyema passport kuwe na udhibiti...MGUMU
 
TENGENEZA SHS 17,000,000 NDANI YA MIEZI 6

Ukijiunga na ADSCASH kuanzia sasa hivi unaweza Kupata kipato cha zaidi ya Tshs 17,000,000 ndani ya muda mfupi ujao wa miezi 6 tu!

Kwenye kampuni ya ADSCASH Kuna vifushi vipatavyo 7 vyenye nyota zenye coin hadi 4000!!

Naomba kwa kifupi tu nikufafanulie kifurushi cha nyota 5 na kifurushi cha nyota 7 tu uone maajabu ya kipato kwenye Sarafu hii mpya ambayo inazinduliwa mwisho wa mwezi huu wa Machi!!

Ukinunua Kifurushi cha nyota 5 maana yake wewe utakinunua kwa zaidi ya shs 50,000 kama uwekezaji wako kwenye kampuni na hapo utapata coin 1000!!!!

Hizo coin 1000 + 100 utakuwa na coin 1,100. Endapo utazibadilisha kuwa dollars au Bitcoins hapo ndipo utapewa fedha!!

Kama coin moja itakuwa $1 utalipwa $ 1,100 takribani shs 2,600,000 hivi!

Kama coin itakuwa ni $5 wewe hapo utakuwa na utajiri wa $5,500 au shs milioni 13,000,000 hivi!

Na kama coin moja itapanda bei hadi kufikia$10 ( eeeeh Mungu saidia ipande haraka) mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 hicho atakuwa na $11,000 sawa na zaidi ya shs 25,000,000!!

Kwa hiyo mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 huo ndo ushuhuda wake utakavyokuwa kwa mwaka mmoja huu ndani ya Adscash business!!

Mambo matamu sana yanakuja!! Wajasiriamali wa ukweli huwahi fursa za ukweli!!

Ukiwa na kifurushi cha nyota 7 chenye coin zaidi ya 4000+100 utakuwa na uwezo wa Kupata team bonus zote za team yako!!

Hadi siku ya UZINDUZI coin za adscash zitakuwa na bei ya centi 2.5 za kimarekani!! Coin 4000 utazinunua kwa USD 100 !! Baada ya uzinduzi wa kampuni hii coin zako 4100 utaweza kuzitoa au withdraw 4100 kwa rate ya $1 au $2! Hapo sasa coin zako 4100 zitakuwa na thamani ya $4,100 sawa na Tshs 9,500,000 hivi kwa rate ya $1 kwa coin!

Kama coin moja itakuwa$2 hapo utakuwa na
$8,200 sawa na Tshs 17,000,000 hivi!

Endapo mtu mwinye team kubwa hatanunua package yoyote hatapata pesa hiyo! Ataambulia coin 100 tu hizo za Bure!

Na huu utakuwa ujinga wa hali ya juu kuamua kujiunga na wajinga wasioona mbali!! Yaani wewe unaweza kuanzia wapi kwa mfano kuacha kuwekeza kwenye Sarafu za adscash kwa shs 250,000 ambazo zaweza kukupatia Tshs 17,000,000 baada ya miezi mitatu au sita?

Jiunge sasa kwa Link hiyo chini na upate coins 100 bure kisha utakuja kuamua uwekeze katika kifurushi gani kulingana na uwezo wako.

(AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.)
 
Ni hivi kuna mtandao wa kutafuta hosts duniani..

Huu mtandao ni rahisi zaidi kukutanisha na hosts mbalimbali duniani kote...

Kuupata ni rahisi kama unatumia ios au android tafuta hiyo program inaitwa COUCHSURFING hii ni msaada mkubwa mno kukukutanisha na marafiki.

Daby izzo @Dr.adamsfaida Richard etc
Mkuu amini usiamini nimejiunga Masaa 3 yaliyopita na nimepata watu watatu wa kuwahost wanakuja kutembea Cape town.
 
Ni kweli, Denmark imeshika namba moja kwa nchi zenye furaha zaidi duniani.
Usiniambie mkuu,
TENGENEZA SHS 17,000,000 NDANI YA MIEZI 6

Ukijiunga na ADSCASH kuanzia sasa hivi unaweza Kupata kipato cha zaidi ya Tshs 17,000,000 ndani ya muda mfupi ujao wa miezi 6 tu!

Kwenye kampuni ya ADSCASH Kuna vifushi vipatavyo 7 vyenye nyota zenye coin hadi 4000!!

Naomba kwa kifupi tu nikufafanulie kifurushi cha nyota 5 na kifurushi cha nyota 7 tu uone maajabu ya kipato kwenye Sarafu hii mpya ambayo inazinduliwa mwisho wa mwezi huu wa Machi!!

Ukinunua Kifurushi cha nyota 5 maana yake wewe utakinunua kwa zaidi ya shs 50,000 kama uwekezaji wako kwenye kampuni na hapo utapata coin 1000!!!!

Hizo coin 1000 + 100 utakuwa na coin 1,100. Endapo utazibadilisha kuwa dollars au Bitcoins hapo ndipo utapewa fedha!!

Kama coin moja itakuwa $1 utalipwa $ 1,100 takribani shs 2,600,000 hivi!

Kama coin itakuwa ni $5 wewe hapo utakuwa na utajiri wa $5,500 au shs milioni 13,000,000 hivi!

Na kama coin moja itapanda bei hadi kufikia$10 ( eeeeh Mungu saidia ipande haraka) mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 hicho atakuwa na $11,000 sawa na zaidi ya shs 25,000,000!!

Kwa hiyo mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 huo ndo ushuhuda wake utakavyokuwa kwa mwaka mmoja huu ndani ya Adscash business!!

Mambo matamu sana yanakuja!! Wajasiriamali wa ukweli huwahi fursa za ukweli!!

Ukiwa na kifurushi cha nyota 7 chenye coin zaidi ya 4000+100 utakuwa na uwezo wa Kupata team bonus zote za team yako!!

Hadi siku ya UZINDUZI coin za adscash zitakuwa na bei ya centi 2.5 za kimarekani!! Coin 4000 utazinunua kwa USD 100 !! Baada ya uzinduzi wa kampuni hii coin zako 4100 utaweza kuzitoa au withdraw 4100 kwa rate ya $1 au $2! Hapo sasa coin zako 4100 zitakuwa na thamani ya $4,100 sawa na Tshs 9,500,000 hivi kwa rate ya $1 kwa coin!

Kama coin moja itakuwa$2 hapo utakuwa na
$8,200 sawa na Tshs 17,000,000 hivi!

Endapo mtu mwinye team kubwa hatanunua package yoyote hatapata pesa hiyo! Ataambulia coin 100 tu hizo za Bure!

Na huu utakuwa ujinga wa hali ya juu kuamua kujiunga na wajinga wasioona mbali!! Yaani wewe unaweza kuanzia wapi kwa mfano kuacha kuwekeza kwenye Sarafu za adscash kwa shs 250,000 ambazo zaweza kukupatia Tshs 17,000,000 baada ya miezi mitatu au sita?

Jiunge sasa kwa Link hiyo chini na upate coins 100 bure kisha utakuja kuamua uwekeze katika kifurushi gani kulingana na uwezo wako.

(AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.)
TENGENEZA SHS 17,000,000 NDANI YA MIEZI 6

Ukijiunga na ADSCASH kuanzia sasa hivi unaweza Kupata kipato cha zaidi ya Tshs 17,000,000 ndani ya muda mfupi ujao wa miezi 6 tu!

Kwenye kampuni ya ADSCASH Kuna vifushi vipatavyo 7 vyenye nyota zenye coin hadi 4000!!

Naomba kwa kifupi tu nikufafanulie kifurushi cha nyota 5 na kifurushi cha nyota 7 tu uone maajabu ya kipato kwenye Sarafu hii mpya ambayo inazinduliwa mwisho wa mwezi huu wa Machi!!

Ukinunua Kifurushi cha nyota 5 maana yake wewe utakinunua kwa zaidi ya shs 50,000 kama uwekezaji wako kwenye kampuni na hapo utapata coin 1000!!!!

Hizo coin 1000 + 100 utakuwa na coin 1,100. Endapo utazibadilisha kuwa dollars au Bitcoins hapo ndipo utapewa fedha!!

Kama coin moja itakuwa $1 utalipwa $ 1,100 takribani shs 2,600,000 hivi!

Kama coin itakuwa ni $5 wewe hapo utakuwa na utajiri wa $5,500 au shs milioni 13,000,000 hivi!

Na kama coin moja itapanda bei hadi kufikia$10 ( eeeeh Mungu saidia ipande haraka) mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 hicho atakuwa na $11,000 sawa na zaidi ya shs 25,000,000!!

Kwa hiyo mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 huo ndo ushuhuda wake utakavyokuwa kwa mwaka mmoja huu ndani ya Adscash business!!

Mambo matamu sana yanakuja!! Wajasiriamali wa ukweli huwahi fursa za ukweli!!

Ukiwa na kifurushi cha nyota 7 chenye coin zaidi ya 4000+100 utakuwa na uwezo wa Kupata team bonus zote za team yako!!

Hadi siku ya UZINDUZI coin za adscash zitakuwa na bei ya centi 2.5 za kimarekani!! Coin 4000 utazinunua kwa USD 100 !! Baada ya uzinduzi wa kampuni hii coin zako 4100 utaweza kuzitoa au withdraw 4100 kwa rate ya $1 au $2! Hapo sasa coin zako 4100 zitakuwa na thamani ya $4,100 sawa na Tshs 9,500,000 hivi kwa rate ya $1 kwa coin!

Kama coin moja itakuwa$2 hapo utakuwa na
$8,200 sawa na Tshs 17,000,000 hivi!

Endapo mtu mwinye team kubwa hatanunua package yoyote hatapata pesa hiyo! Ataambulia coin 100 tu hizo za Bure!

Na huu utakuwa ujinga wa hali ya juu kuamua kujiunga na wajinga wasioona mbali!! Yaani wewe unaweza kuanzia wapi kwa mfano kuacha kuwekeza kwenye Sarafu za adscash kwa shs 250,000 ambazo zaweza kukupatia Tshs 17,000,000 baada ya miezi mitatu au sita?

Jiunge sasa kwa Link hiyo chini na upate coins 100 bure kisha utakuja kuamua uwekeze katika kifurushi gani kulingana na uwezo wako.

(AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.)
Nyie si ndio ONECOIN DIGITAL CURENCY najua mmekuja kivingine mulize watu...hizi technic zinabatilishwa majina kila leo na wanaojiunga wengi wao huambulia patupu punguzen utapeli tutawakamata muda si mrefu humu ndani kuna CIA wametulia tu.
 
Ndugu wana JF
Kwa muda mrefu kumekuwa na masuala mbalimbali yahusuyo kujilipua (kwenda nje ya nchi) ambayo watu wanauliza mmoja mmoja kwa lemgo la kutaka msaada na ushauri namna ya kufika na jinsi ya kuanza maisha huko nje.

Kutokana na kutoa msaada kwa wengi (binafsi) kwa kutumia njia binafsi nimeona nifungue uzi huu ili kuweka mambo yote wazi kwa kadiri itakavyowezekana na kualika wengine pia waweze kutoka maoni yao.

Ndugu zangu nchi yetu ya Tanzania ki uwezo bado ni changa, fursa za kutoka ni chache na hata changamoto ni nyingi. Huko kwa wenzetu fursa ni nyingi ndio maana imekuwa chanzo cha kuvuta wahamiaji wengi sana toka mataifa masikini.

Nchi masikini wenzetu huko mbele raia wao wamejaa haswa kutokana na moyo wa kusaidiana na kuvutana.

Nimeamua nilete hoja hii kama ambavyo wenzetu hufanya huko Nairaland ya Nigeria ili kila mtu mwenye ujuzi au ufahamu juu ya namna ya kutoka (kujilipua) atoe msaada kwa wengine kwenda huko... si lazima wewe binafsi usaidie mtu binafsi NO, hata mbinu tu za jinsi ya kufika huko.

Kabla sijaingia kwenye kiini cha mada naomba nitoe faida na changamoto za kujilipua.

FAIDA
1. Fursa nzuri za kiuchumi na kujiinua hasa ukiwa na malengo.. Wakuu binafsi nimeishi Marekani kwa miaka nane. moja ya faida nilizopata huko ni kujiinua kiuchumi.... binafsi wakati naenda kusoma huko nilijiwekea malengo ya kujenga ghorofa nyumbani, kufungua mashine za kusaga na kukoboa nafaka pamoja na kumiliki fuso za mizigo...

kipato cha mfanyakazi wa kule ni kikubwa mno kushinda hata cha baadhi ya maboss wetu hapa... hivyo nilijitahidi nilipokuwa kule malengo yangu yaimie... ni kweli baada ya muda huo nilifanikiwa kutimiza yote.

2. Huduma nzuri za afya, Elimu, Sheria, miundombinu.

CHANGAMOTO
1. changamoto kubwa kwa kuwa kule ni upweke (ku feel home mara kwa mara japo wakati mwingine ukizoea hutoweka)

2. Xenophobia hii ni kwa baadhi ya nchi tu sio zote.

USHAURI WA WAPI UENDE NA NAMNA GANI UENDE
Kwa wale wahitaji wa masuala ya maisha kujijenga na kuchuma nashauri nchi hizi, USA, UK, NORDIC COUNTRIES, NA WESTERN EUROPE COUNTRIES. kwa Afrika nashauri SA.

Jinsi gani utaenda namna ni nyingi.... naorodhesha baadhi hapo chini...
1. kwenda kimasomo ambapo unaweza tafuta sponsors then ukapata scolarship itayokuwezesha kupata visa na kujilipua huko baada ya masomo...

2. Kutafuta mwenzi wa nje ambaye atakualika huko kisha mtaoana na kukuwezesha kupata resident permit na baadae uraia.

3. Kuhamisha mataji na biashara njia hii unakubaliwa popote alimradi uwe na biashara halali,

4. kwenda kwa shughuli za utamaduni

Wenzetu wakenya na wanigeria wameunda mfumo wa kualikana wao kwa wao, kwamba mtu anakutumia barua ya mwaliko, then unakwenda ukifika huko anakutafutia mtu mnaoana kisheria tu ili upate karatasi kisha kila mtu anasika hamsini zake....

Wapendwa mambo ni mengi siwezi andika yote ndio maana nimeanziasha uzi huu tutaendelea kujuzana kwa kairi michango ya watu itakavyokuwa na maswali yatayojitokeza.

Nawakaribisha nyote. Na wote wenye maujuazi au mauzoefu ya huko mbele... karibuni tusaidiane tujenge taifa letu... Tuwasaidie vijana wakasake fursa.
NAULI NA BUDGET YA KUJIKIMU SIKU ZA MWANZONI!
 
Kimasomo Uholanzi iko vizuri. Shida kubwa ya huko ni kazi zisizo za kitaalamu hazilipi vizuri sana. Pia, ukimaliza masomo unapewa miezi michache kutafuta kazi inayoendana na ulichosomea, ukishindwa unatakiwa kurudi kwenu. Ujerumani nayo ni hivyo hivyo. Kinachotakiwa ni kupambana kutengeneza ndoa na mwenyeji.
Kuhusu scholarships za Uholanzi angalia hapa Find a scholarship — Study in Holland
Kilam vizuri kamanda, endelea kutoa msaada kwa vijana huwenda tukapata ahueni ya maisha baada ya hili tanuri la moto la miaka 10 tutakuwa na vijana kadhaa waliokimbia bongo.

Nina admission ya MSc in Geo information science and earths observation specialisation in Natural Resource Management, nasubiria matekeo ya scholarship niliyoomba.

Thanks kamanda
 
Ndugu zangu Watanganyika baada ya kuja na Option number one ya Malta sasa ni Option number 2 nia ni kutaka ndugu na jamaa zetu muweze kutimiza ndoto zenu za kutafuta maisha nje ya JPM empire ambako kumeonekana kama mwiba kwa ajira za vijana na maendeleo ya hasa vijana

Baada ya Option ya Malta kuonekana ni ngumu japo sijui ugumu wake ni nini lakini si mbaya kuna Option namba 2 mpaka 3 lakini leo tunaendelea na Option number 2

OPS (Mission)
Mission hii inahusu nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta

Kuhusu USA mm binafsi sipendelei mje US coz siasa za US dhidi ya wageni zimebadilika sana kumekuwa na siasa za utengano dhidi ya wageni

Ok tuendelee nimekuwa karibu na kufanya kazi na taasisi ktk nchi zote nilizozitaja taasisi hzo zinadeal na vijana ktk maswala ya culture exchange ambapo kila mwaka wamekuwa wakichukua vijana kwenda nchi mbalimbali duniani kwenda kujifunza tamaduni zingine na Lugha pia kubadilishana mawazo kama vijana umri wa vijana ni kuanzia miaka 18-30 vijana wa kiume na wakike sasa ni mm kuongea na taasisi hzo waanze kuleta vijana hao Tanganyika lakini utaratibu ni

1 Wanataka Host wa nchi wanayokwenda so kila kijana anapata Host wa nchi husika kwa ajili ya kumtembeza na kuwa mwenyeji wake

2 Kama unakuwa host wake atakaa kwako kwa kipindi chote ambacho ni kuanzia mwezi 1-3 so atakaa kwako si hotel au nyumba za wageni A.K.A (machinjioni)

3 Kila siku yeye atachangia dola 100 kama mchango wa chakula na malazi

4 Kumtembeza sehemu mbalimbali za ndani ya mkoa mfno DSM lakini akitaka kutoka nje ya dar gharama za wote wawili zitakuwa juu yake na gharama kama za kwenda disco na beach zitakuwa juu yake

5 kuhusu kukaa hata uwe na chumba kimoja ila yawe ni maeneo safe choo kiwe kizuri

MISSION YENYEWE
Kama ni mtoto wa kiume utakaa na mtoto wa kike kama ni wakike utakaa na wakiume lakini wenyewe hawajali.njinsia so kama utapenda kukaa na wajinsia yako pia ni sawa tu cha muhimu ni kutengeneza conection tu


ANGALIZO
Wazungu kitendo cha kulala kitanda kimoja na mtu wa jinsia tofauti kwao si tatizo kubdilisha nguo na kubaki na chupi mbele ya jinsia tofauti pia si jambo gumu kwao so hasije fanya hvyo ukaona kakuzimia au anakutega utakuwa wrong sana

Sasa bhasi kitendo cha mtu kukaa kwako miezi 2 au 3 usipo tengeneza conection naye utakuwa mpumbavu sana na kama utakuwa mjanja unaweza kuanzisha mahusiano ya kimapenzi naye kwani wengi ni vijana wa 18-25 lakini mission ni ww kutengeneza conecton kupitia huyo mgeni kwani mtaendelea kuwasiliana na yeye kukualika kwao ni vyepesi sana so nimekupa nyavu na mtumbwi kuvua samaki ni juu yako akili kumkichwa

CHANGAMOTO
Changamoto kubwa ya hii project ni usalama wa wageni kwani humu tunajuana kwa fake id so kumpa mtoto wa watu mtu ambae umjui ni swala la ujasiri na lenye kuitaji akili ya kuvukia barabara inaitaji ujitoe akili lakini ninauwezo wa kuwasiliana na hizo taasisi kwani tunafanyanazo kazi na kuheshimiana tatizo usalama wa hao wageni na hao unaowakabidhi mgeni huyo unamjua asije mchinja mtoto wa watu usiku dah

Kila mgeni na host mmoja na uhakika ni kupata wageni 20-30 kutoka nchi nilizotaja hapo juu kwa mwaka

Kumbuka wageni ni wakike na wakiume so chance ni kwa dada na wakaka wa Tanganyika

Mnaweza kuwatag member wengine wa thread hii na ambao wameonyesha nia ya kutoka na ambao wana michango yao kwenye thread hii ambao awajachangia achaneni nao



kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Great bro, ingekuwa enzi za jk tungemshauri uwe balozi mdogo kuwasaidia vijana wakatafute maisha mbele huko. Duuuuu ufalme ni enzi zikipita hazirudi nyuma
 
Mkuu Option namba 2 nimeiweka baada ya kuonekana Option number 1 ni ngumu japo mm sijaona ugumu wake so Option namba mbili ni host na kutengeneza conection wa nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta so unatengeneza mtandao wa kwenda nchi ambayo unataka ww kwa kupitia mgeni wako utakae muhost so akili ni yako miezi 3 umekaa na mtu ushindwe kutengeneza mambo duh utakuwa unaitaji maombi bt nitakuja na Option number 3 ambayo ni XXL
Hahahahaha XXL, hii hatari kamanda. Hii mada kuna watu wakiamka asubuhi kabla hajaenda kumwaga anaingia jf kuona mkuu izzo amesema nini kipya, akifika job ikifika break time anazama jf vipi kuna jipya huko? Akirudi kwa ofisi anaweza akatumia more than 3 hrs anasoma comment na kufurahi tu. Wenzake wanamuuliza we vp anajibu aaaaaa najiandaa kusepa zangu malta.

Ubarikiwe sana kiongozi
 
Haki ya mama siku wameifunga jamii forum nitajinyonga nimekuwa nikipata faida kila kukicha mkuu izzo naona kama wewe ndo umetumwa na mwenyezi mungu uokoe maisha ya tanganyika kazi imebaki jinsi gani tunakutumia hapo nafikiri tunahitaji utufumbue zaidi je,gharama zinaweza kufika kiasi gani ili kufanikisha mchakato mzima?
Hahahahaha, Dr nakuhakikishia ukienda uhamiaji pale ukiuliza watu 20, utakuta 10 wamekuwa influenced na hii mada kwenda kutafuta pass wasepe zao. Kuna wengine wanajuta sana kwanini waliwahi kuoa wakati wangeweza kupata vimwana wakahost for 3 months then wakaweka mipango sawa wakasepa baadae.

Ushauri kwa wadada, msiwazingue waune zenu, hii yakuhost inaweza ikatumika mkwagwa then watu wakasepa, bongo pamoto sana kwa sasa
 
Hahahahaha XXL, hii hatari kamanda. Hii mada kuna watu wakiamka asubuhi kabla hajaenda kumwaga anaingia jf kuona mkuu izzo amesema nini kipya, akifika job ikifika break time anazama jf vipi kuna jipya huko? Akirudi kwa ofisi anaweza akatumia more than 3 hrs anasoma comment na kufurahi tu. Wenzake wanamuuliza we vp anajibu aaaaaa najiandaa kusepa zangu malta.

Ubarikiwe sana kiongozi
Hahahaha nimecheka sana. Hali ni tete...
 
Ni hivi kuna mtandao wa kutafuta hosts duniani..

Huu mtandao ni rahisi zaidi kukutanisha na hosts mbalimbali duniani kote...

Kuupata ni rahisi kama unatumia ios au android tafuta hiyo program inaitwa COUCHSURFING hii ni msaada mkubwa mno kukukutanisha na marafiki.

Daby izzo @Dr.adamsfaida Richard etc
Mm naomba kila atakaefanikiwa kuondoka kwa msaada wa huu uzi alete mrejesho mubashara kabisa. Tunataka kuweka kumbukumbu ni vijana wangapi wametimka hadi ikifika mwaka 2020 tufanye kongamano tumualike mzee izzo na lusungo tufanye kasherehe na kuwaamsha vijana zaidi na zaidi.
 
Great bro, ingekuwa enzi za jk tungemshauri uwe balozi mdogo kuwasaidia vijana wakatafute maisha mbele huko. Duuuuu ufalme ni enzi zikipita hazirudi nyuma
Nimekuja huk nondo ilizotoa za maana sana ni nataka rafiki awe na ujuzi kama ufund simu computer,ili aje tufanye uwekezaji bongo ya jpm
 
halafu wakuu dabby izzo lusungo naomba mgusie pia njia rahisi za kupata scholaship jaman au legal jobs kama tayari mtu anaelimu yake aka expatriate lets say doctor au mi nilifanya mitihani ya airline cargo ya iata juzi niliapply kazi canada wameniletea document nijaze je nahitaji kitu gan incase ya interview ..and the rest...mbarikiwe
Mkubwa hivi kigezo cha Elimu ili uweze kufanya hii mithian kikoje maana hua naisikia tu. msaada tafadhali
 
TENGENEZA SHS 17,000,000 NDANI YA MIEZI 6

Ukijiunga na ADSCASH kuanzia sasa hivi unaweza Kupata kipato cha zaidi ya Tshs 17,000,000 ndani ya muda mfupi ujao wa miezi 6 tu!

Kwenye kampuni ya ADSCASH Kuna vifushi vipatavyo 7 vyenye nyota zenye coin hadi 4000!!

Naomba kwa kifupi tu nikufafanulie kifurushi cha nyota 5 na kifurushi cha nyota 7 tu uone maajabu ya kipato kwenye Sarafu hii mpya ambayo inazinduliwa mwisho wa mwezi huu wa Machi!!

Ukinunua Kifurushi cha nyota 5 maana yake wewe utakinunua kwa zaidi ya shs 50,000 kama uwekezaji wako kwenye kampuni na hapo utapata coin 1000!!!!

Hizo coin 1000 + 100 utakuwa na coin 1,100. Endapo utazibadilisha kuwa dollars au Bitcoins hapo ndipo utapewa fedha!!

Kama coin moja itakuwa $1 utalipwa $ 1,100 takribani shs 2,600,000 hivi!

Kama coin itakuwa ni $5 wewe hapo utakuwa na utajiri wa $5,500 au shs milioni 13,000,000 hivi!

Na kama coin moja itapanda bei hadi kufikia$10 ( eeeeh Mungu saidia ipande haraka) mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 hicho atakuwa na $11,000 sawa na zaidi ya shs 25,000,000!!

Kwa hiyo mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 huo ndo ushuhuda wake utakavyokuwa kwa mwaka mmoja huu ndani ya Adscash business!!

Mambo matamu sana yanakuja!! Wajasiriamali wa ukweli huwahi fursa za ukweli!!

Ukiwa na kifurushi cha nyota 7 chenye coin zaidi ya 4000+100 utakuwa na uwezo wa Kupata team bonus zote za team yako!!

Hadi siku ya UZINDUZI coin za adscash zitakuwa na bei ya centi 2.5 za kimarekani!! Coin 4000 utazinunua kwa USD 100 !! Baada ya uzinduzi wa kampuni hii coin zako 4100 utaweza kuzitoa au withdraw 4100 kwa rate ya $1 au $2! Hapo sasa coin zako 4100 zitakuwa na thamani ya $4,100 sawa na Tshs 9,500,000 hivi kwa rate ya $1 kwa coin!

Kama coin moja itakuwa$2 hapo utakuwa na
$8,200 sawa na Tshs 17,000,000 hivi!

Endapo mtu mwinye team kubwa hatanunua package yoyote hatapata pesa hiyo! Ataambulia coin 100 tu hizo za Bure!

Na huu utakuwa ujinga wa hali ya juu kuamua kujiunga na wajinga wasioona mbali!! Yaani wewe unaweza kuanzia wapi kwa mfano kuacha kuwekeza kwenye Sarafu za adscash kwa shs 250,000 ambazo zaweza kukupatia Tshs 17,000,000 baada ya miezi mitatu au sita?

Jiunge sasa kwa Link hiyo chini na upate coins 100 bure kisha utakuja kuamua uwekeze katika kifurushi gani kulingana na uwezo wako.

(AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.)
Umepotea njia. Hapa hatutengenezi pesa, ni njia zakwenda kutafuta pesa
 
Back
Top Bottom