Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mm naomba kila atakaefanikiwa kuondoka kwa msaada wa huu uzi alete mrejesho mubashara kabisa. Tunataka kuweka kumbukumbu ni vijana wangapi wametimka hadi ikifika mwaka 2020 tufanye kongamano tumualike mzee izzo na lusungo tufanye kasherehe na kuwaamsha vijana zaidi na zaidi.
Mawazo mazuri sana mkuu tukipeana mirejesho itasaidia wengi kujifunza njia walizotumia na changamoto walizokutana nazo mpaka kufanikiwa na uhakika tukifanya hivyo baada ya miaka nchi tutaijenga kwa kuenda kuvuna mali ughaibuni nakuzileta hapa nyumbani mungu ibariki tanzania na wbariki pia vijana wanaotaka kujilipua ughaibuni.
 
BEI YA VIFURUSHI VYA KUANZA BIASHARA YA ADSCASH BAADA YA UZINDUZI RASMI

Kuna VIFURUSHI vya nyota saba. Nyota 7 ndicho kifurushi cha juu zaidi kikiwa na coin 4000

Bei ya coin kwa sasa ni USD 0.025 sawa na shs 50 hivi!!

Hivyo sasa vifurushi vya Adscash vitakuwa kwa bei ifuatayo kabla na Baada ya uzinduzi coin moja inatarajiwa kupanda hadi dollars 10 sawa na shs 25,000 hivi!

Kifurushi cha Nyota 7 kitakuwa na coin 4000. Bei yake itakuwa ni USD 100 sawa na shs 215,000 hivi

Kifurushi cha nyota 6 kitakuwa na coin 2000. Bei yake itakuwa ni USD 50 sawa na shs 115,000

Kifurushi cha nyota 5 kitakuwa na coin 1000 zenye thamani ya USD 25 au Tshs 50,000! Kwa hiyo kifurushi cha nyota saba kitauzwa si chini ya shs 50,000

Kifurushi Cha nyota 4 kina coin 400 zenye thamani ya dollars 10 sawa na shs 20,000 hivi! Ili kununua kifurushi Cha nyota 4 utatakiwa utoe siyo chini ya shs 20,000!!!

Kifurushi Cha nyota 3 kina coin 200 zenye thamani ya USD 5 sawa na shs 10,000 !

Kifurushi Cha nyota 2 kina coin 100 zenye thamani ya USD 2.5 sawa na shs 5,000 hivi!

Kifurushi cha nyota 1 kina coin 1 yenye thamani ya USD 0.03 sawa na shs 50 hivi!

Hivyo ndivyo VIFURUSHI vya Adscash kabla ya UZINDUZI wa kampuni hii!UTAJIRI UTAKAOUPATA KUTOKA ADSCASH COIN BAADA YA UZINDUZI MWISHO WA MWEZI HUU WA MACHI 2017 KULINGANA NA KIFURUSHI CHAKO!

Sarafu ya Digitali iitwayo Adscash inaanza kufanya kazi mwezi huu wa Machi mwishoni!! Wote ambao wamejiunga na ADSCASH mwezi ujao wa April watashindwa kuamini ukubwa wa pesa watazopata kila siku au kila wiki au kila mwezi!!!

Kama wewe utakuwa umewekeza kwenye kifurushi cha Nyota 7 utakuwa na coin 4000+100

Bei ya coin kwa bei ya Ufunguzi kwa wote ni USD 0.025 sawa na shs 50 hivi!! Hii imetulia sana!! Maana yake ni kwamba watu watapata coins kibao kwa bei ndogo sana!!

Baada ya uzinduzi coin moja inatarajiwa kupanda hadi dollars kutoka 0.025 USD siku ya uzinduzi hadi $10 Sawa na shs 50 hadi shs 25,000 hivi kwa coin moja!!

Tuanze mfano wa kwanza!

Kama utanunua kifurushi cha Nyota 7 utakuwa na coin 4000. Bei yake itakuwa ni USD 100 sawa na shs 215,000 (BTC 0.09)hivi utakazotoa!! Sasa piga hesabu za chini Adscash coin inapanda baada ya uzinduzi na kufikia $2. Hizo coin zako zitakuwa na thamani ya $8,200 sawa na Tshs 17,000,000 hivi!

Mfano wa pili:

Kama utanunua kifurushi cha nyota 6 utakuwa na coin 2000+100 utakazozipata kwa USD 50 sawa na shs 115,000!! Baada ya uzinduzi coins ikiwa na thamani ya $2 utakuwa na $2 x 2,100 = $4,200 sawa na zaidi ya shs 10,000,000 hivi! Amazing!!

Mfano wa tatu:

Kama utanunua kifurushiifurushi cha nyota 5 chenye coin 1000 +100 utazipata kwa USD 25 takribani Tshs 50,000! Kwa hiyo kifurushi hicho kitakuingizia Dollars $2 x 1,100 = $ 2,200 Sawa na zaidi ya shs 5,000,000!!

Watu wengi wanauliza swali eti hizo pesa zote wazitoa wapi?

Jibu:
Hizo pesa hazitoki kwenye kampuni hii bali zitatoka kwako mwenyewe uliyewekeza! Ukinunua coin 12,000 kwenye kampuni hii ni zako! Kama Ukiamua kusubiri miezi 12 kwanza ili coin zako za adscash zipande hadi kufikia $10/ADS utakuta una $120,000 sawa na zaidi ya Tshs 260,000,000 baada ya miaka 2 tu!

Hii ni sawa na kusema kila mwezi unalipwa Shs 11,000,000 sawa na shs 355,000 kila siku kwa uwekezaji wa 700,000 tu.

Kumbuka kuwa hapo sijajumlisha vipato vya:

1. Gawio la kila siku kutoka kwenye faida ya matangazo ya kampuni hii!

2. Team bonus payment (kwa wale wenye team chini yao) ambayo kwa kweli kama una team yako kubwa!!!! Pesa yako waweza usiamini jinsi itakavyokuwa kubwa sana sana!!

Hivyo ndivyo watu wote waliowekeza kwenye Adscash wanavyotazamia kubadili maisha yao kuanzia April 2017!!

Bado wiki mbili tu kampuni ianze kazi rasmi sokoni!!! Tengeneza team kuuuuubwa kwenye Adscash utengeneze pesa kuuuuubwa!!
AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.
 
Mkuu, bongo mtu anakubania bila kisa bila sababu, yaani hapendi tu kuona unafanikiwa, si bora kungekuwa na jambo akikubania wewe anapata yeye, hamna, anakubania akijua hunufaiki chochote. Wapo vijana wengi sana wamekwama kwa kubaniwa kwa staili kama hiyo.

Unakuta mtu amepata admission, wakati wakuomba scholarship unatakiwa upate barua ya employer kuthibitisha amekubali uende ukalr nondo, hr gani kwa bongo atakuandikia hiyo barua? Huipati miaka 200.

Mm najiandikia mwenyewe employer statement, logo ya kampuni ninayo, contacts naweka zangu mwenyewe (nina namba kama nne hivi, huku nakuwekea voda hapa nakuwekea airtel). Michakato inaenda. Ukizubaa tu bongo umeliwa. Majitu yana roho mbaya kama kitugani sijui

Wao wanadhani kila anayetaka pasipoti basi anakwends ulaya au nje ya nchi kufurahia maisha.....hawajui kuwa wengine wanaenda kws matibabu......

Jamaa yangu mmoja alipata mfadhili wa kumgharamia kwenda kupata tiba ya maradhi ya moyo UK......uhamiaji walimbania pasipoti mpaka akafariki.....
 
Mm naomba kila atakaefanikiwa kuondoka kwa msaada wa huu uzi alete mrejesho mubashara kabisa. Tunataka kuweka kumbukumbu ni vijana wangapi wametimka hadi ikifika mwaka 2020 tufanye kongamano tumualike mzee izzo na lusungo tufanye kasherehe na kuwaamsha vijana zaidi na zaidi.
kula 5
 
Hizi harakati kwangu ndo zina 14% tu, bado nazunguka huku na kule nakusanya kila kitu.
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Nataka nikafanye kazi qatar ama dubai lakin nawaza passport nitaipataje mana inaonekana sio shughuli ndogo.nina ka diploma ka hotel.nina uhakika wa kupata kazi.nikipata kiasi cha kutosha ndo nijilipue mambele kabisaa.sasa nawaza niingie na sababu gani ya msingi kuombea hiyo pass wasinisumbue.
 
ishu ya kutuma maombi mengi walisharekebisha.ukuapply more than once system inadetect hivyo unakuwa disqualified.......njia nzuri ni kutumia familia nzima lets say una mwambia mzee,mama sisters,brothers,waaply,akipata mmoja huyo huyo ndo atawavuta wenzake as a family
Malipo unalipa kwa kutumia njia gani mkuu
 
Nataka nikafanye kazi qatar ama dubai lakin nawaza passport nitaipataje mana inaonekana sio shughuli ndogo.nina ka diploma ka hotel.nina uhakika wa kupata kazi.nikipata kiasi cha kutosha ndo nijilipue mambele kabisaa.sasa nawaza niingie na sababu gani ya msingi kuombea hiyo pass wasinisumbue.
Mimi nilipotakuwa naitafuta nilimtafuta mtu wa uhamiaji akanipa maelekezo,kuna Fomu utapewa ujaze ambazo unatakiwa uwe na barua ya serikali ya mtaa/mwekiti wa Kijiji nk.uwe na wadhamini wawili ambao wanaweza kuwa marafiki zako.
Barua kutoka kwa mwajili japo HR wangu alizingua mwisho wa siku ikabidi niombe km Mfanyabiashara.
1.Kama utasema unaenda kusoma lazima watahitahi barua ya kuonyesha umekubaliwa chuo.
2.Kama ni kufanya biashara watahitaji TIN namba tu.
3.Picha 6 za passport ambazo ukiwaambia wapiga picha wanazijua
4.cheti chako cha kuzaliwa
5.Cheti cha mzazi wako mmoja km huna tafuta affidavit mahakamani unapewa bila tatizo
6.Uwe na stamp duty 2 ( cjui km nimeandika sahihi ) zile km ukiomba affidavit huwa wanaweka kwenye karatasi ya affidavit.
7.Andaa elfu hamsini km malipo ya passport.baada ya wiki mbili mpaka tatu utapata passport yko.
Naamani huwezi kushindwa mkuu.
 
Nataka nikafanye kazi qatar ama dubai lakin nawaza passport nitaipataje mana inaonekana sio shughuli ndogo.nina ka diploma ka hotel.nina uhakika wa kupata kazi.nikipata kiasi cha kutosha ndo nijilipue mambele kabisaa.sasa nawaza niingie na sababu gani ya msingi kuombea hiyo pass wasinisumbue.
Sema unaenda kusoma Nairobi au Uganda au hata Msumbiji kidogo inarahisisha au kibiashara
 
Ndugu zangu Watanganyika baada ya kuja na Option number one ya Malta sasa ni Option number 2 nia ni kutaka ndugu na jamaa zetu muweze kutimiza ndoto zenu za kutafuta maisha nje ya JPM empire ambako kumeonekana kama mwiba kwa ajira za vijana na maendeleo ya hasa vijana

Baada ya Option ya Malta kuonekana ni ngumu japo sijui ugumu wake ni nini lakini si mbaya kuna Option namba 2 mpaka 3 lakini leo tunaendelea na Option number 2

OPS (Mission)
Mission hii inahusu nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta

Kuhusu USA mm binafsi sipendelei mje US coz siasa za US dhidi ya wageni zimebadilika sana kumekuwa na siasa za utengano dhidi ya wageni

Ok tuendelee nimekuwa karibu na kufanya kazi na taasisi ktk nchi zote nilizozitaja taasisi hzo zinadeal na vijana ktk maswala ya culture exchange ambapo kila mwaka wamekuwa wakichukua vijana kwenda nchi mbalimbali duniani kwenda kujifunza tamaduni zingine na Lugha pia kubadilishana mawazo kama vijana umri wa vijana ni kuanzia miaka 18-30 vijana wa kiume na wakike sasa ni mm kuongea na taasisi hzo waanze kuleta vijana hao Tanganyika lakini utaratibu ni

1 Wanataka Host wa nchi wanayokwenda so kila kijana anapata Host wa nchi husika kwa ajili ya kumtembeza na kuwa mwenyeji wake

2 Kama unakuwa host wake atakaa kwako kwa kipindi chote ambacho ni kuanzia mwezi 1-3 so atakaa kwako si hotel au nyumba za wageni A.K.A (machinjioni)

3 Kila siku yeye atachangia dola 100 kama mchango wa chakula na malazi

4 Kumtembeza sehemu mbalimbali za ndani ya mkoa mfno DSM lakini akitaka kutoka nje ya dar gharama za wote wawili zitakuwa juu yake na gharama kama za kwenda disco na beach zitakuwa juu yake

5 kuhusu kukaa hata uwe na chumba kimoja ila yawe ni maeneo safe choo kiwe kizuri

MISSION YENYEWE
Kama ni mtoto wa kiume utakaa na mtoto wa kike kama ni wakike utakaa na wakiume lakini wenyewe hawajali.njinsia so kama utapenda kukaa na wajinsia yako pia ni sawa tu cha muhimu ni kutengeneza conection tu


ANGALIZO
Wazungu kitendo cha kulala kitanda kimoja na mtu wa jinsia tofauti kwao si tatizo kubdilisha nguo na kubaki na chupi mbele ya jinsia tofauti pia si jambo gumu kwao so hasije fanya hvyo ukaona kakuzimia au anakutega utakuwa wrong sana

Sasa bhasi kitendo cha mtu kukaa kwako miezi 2 au 3 usipo tengeneza conection naye utakuwa mpumbavu sana na kama utakuwa mjanja unaweza kuanzisha mahusiano ya kimapenzi naye kwani wengi ni vijana wa 18-25 lakini mission ni ww kutengeneza conecton kupitia huyo mgeni kwani mtaendelea kuwasiliana na yeye kukualika kwao ni vyepesi sana so nimekupa nyavu na mtumbwi kuvua samaki ni juu yako akili kumkichwa

CHANGAMOTO
Changamoto kubwa ya hii project ni usalama wa wageni kwani humu tunajuana kwa fake id so kumpa mtoto wa watu mtu ambae umjui ni swala la ujasiri na lenye kuitaji akili ya kuvukia barabara inaitaji ujitoe akili lakini ninauwezo wa kuwasiliana na hizo taasisi kwani tunafanyanazo kazi na kuheshimiana tatizo usalama wa hao wageni na hao unaowakabidhi mgeni huyo unamjua asije mchinja mtoto wa watu usiku dah

Kila mgeni na host mmoja na uhakika ni kupata wageni 20-30 kutoka nchi nilizotaja hapo juu kwa mwaka

Kumbuka wageni ni wakike na wakiume so chance ni kwa dada na wakaka wa Tanganyika

Mnaweza kuwatag member wengine wa thread hii na ambao wameonyesha nia ya kutoka na ambao wana michango yao kwenye thread hii ambao awajachangia achaneni nao



kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Nasahaulika kama masiara vile
 
Nyinyi Watanganyika ni wajanja janja sana mtu anaweza kukutafutia mchumba fresh then ww baada ya kufika huko unaanza mizinguo ya kujifanya sehemu zako za chini zinafanya kazi kwa kiwango cha 4G so ukasababisha lawama tena ukizingatia wengine tunaheshimika na kuheshimiana na watu na pia tunajiheshimu ndio maana mm narudi nyuma sana kuwasaidia hko coz wengi mnazingua sana na kumbuka Mzungu akisema I LOVE U kasema kweli tofauti na weusi anasema i love u kumbe ajakupenda ww kuna kitu amekipenda kutoka kwako

lusungo
Hahahahahh.... mzee anagomea i love u.... hana bahati huyo...
 
Mkuu Option namba 2 nimeiweka baada ya kuonekana Option number 1 ni ngumu japo mm sijaona ugumu wake so Option namba mbili ni host na kutengeneza conection wa nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta so unatengeneza mtandao wa kwenda nchi ambayo unataka ww kwa kupitia mgeni wako utakae muhost so akili ni yako miezi 3 umekaa na mtu ushindwe kutengeneza mambo duh utakuwa unaitaji maombi bt nitakuja na Option number 3 ambayo ni XXL
Nataka kumu host binti naanzia wapi mkuu izzo
 
BEI YA VIFURUSHI VYA KUANZA BIASHARA YA ADSCASH BAADA YA UZINDUZI RASMI

Kuna VIFURUSHI vya nyota saba. Nyota 7 ndicho kifurushi cha juu zaidi kikiwa na coin 4000

Bei ya coin kwa sasa ni USD 0.025 sawa na shs 50 hivi!!

Hivyo sasa vifurushi vya Adscash vitakuwa kwa bei ifuatayo kabla na Baada ya uzinduzi coin moja inatarajiwa kupanda hadi dollars 10 sawa na shs 25,000 hivi!

Kifurushi cha Nyota 7 kitakuwa na coin 4000. Bei yake itakuwa ni USD 100 sawa na shs 215,000 hivi

Kifurushi cha nyota 6 kitakuwa na coin 2000. Bei yake itakuwa ni USD 50 sawa na shs 115,000

Kifurushi cha nyota 5 kitakuwa na coin 1000 zenye thamani ya USD 25 au Tshs 50,000! Kwa hiyo kifurushi cha nyota saba kitauzwa si chini ya shs 50,000

Kifurushi Cha nyota 4 kina coin 400 zenye thamani ya dollars 10 sawa na shs 20,000 hivi! Ili kununua kifurushi Cha nyota 4 utatakiwa utoe siyo chini ya shs 20,000!!!

Kifurushi Cha nyota 3 kina coin 200 zenye thamani ya USD 5 sawa na shs 10,000 !

Kifurushi Cha nyota 2 kina coin 100 zenye thamani ya USD 2.5 sawa na shs 5,000 hivi!

Kifurushi cha nyota 1 kina coin 1 yenye thamani ya USD 0.03 sawa na shs 50 hivi!

Hivyo ndivyo VIFURUSHI vya Adscash kabla ya UZINDUZI wa kampuni hii!UTAJIRI UTAKAOUPATA KUTOKA ADSCASH COIN BAADA YA UZINDUZI MWISHO WA MWEZI HUU WA MACHI 2017 KULINGANA NA KIFURUSHI CHAKO!

Sarafu ya Digitali iitwayo Adscash inaanza kufanya kazi mwezi huu wa Machi mwishoni!! Wote ambao wamejiunga na ADSCASH mwezi ujao wa April watashindwa kuamini ukubwa wa pesa watazopata kila siku au kila wiki au kila mwezi!!!

Kama wewe utakuwa umewekeza kwenye kifurushi cha Nyota 7 utakuwa na coin 4000+100

Bei ya coin kwa bei ya Ufunguzi kwa wote ni USD 0.025 sawa na shs 50 hivi!! Hii imetulia sana!! Maana yake ni kwamba watu watapata coins kibao kwa bei ndogo sana!!

Baada ya uzinduzi coin moja inatarajiwa kupanda hadi dollars kutoka 0.025 USD siku ya uzinduzi hadi $10 Sawa na shs 50 hadi shs 25,000 hivi kwa coin moja!!

Tuanze mfano wa kwanza!

Kama utanunua kifurushi cha Nyota 7 utakuwa na coin 4000. Bei yake itakuwa ni USD 100 sawa na shs 215,000 (BTC 0.09)hivi utakazotoa!! Sasa piga hesabu za chini Adscash coin inapanda baada ya uzinduzi na kufikia $2. Hizo coin zako zitakuwa na thamani ya $8,200 sawa na Tshs 17,000,000 hivi!

Mfano wa pili:

Kama utanunua kifurushi cha nyota 6 utakuwa na coin 2000+100 utakazozipata kwa USD 50 sawa na shs 115,000!! Baada ya uzinduzi coins ikiwa na thamani ya $2 utakuwa na $2 x 2,100 = $4,200 sawa na zaidi ya shs 10,000,000 hivi! Amazing!!

Mfano wa tatu:

Kama utanunua kifurushiifurushi cha nyota 5 chenye coin 1000 +100 utazipata kwa USD 25 takribani Tshs 50,000! Kwa hiyo kifurushi hicho kitakuingizia Dollars $2 x 1,100 = $ 2,200 Sawa na zaidi ya shs 5,000,000!!

Watu wengi wanauliza swali eti hizo pesa zote wazitoa wapi?

Jibu:
Hizo pesa hazitoki kwenye kampuni hii bali zitatoka kwako mwenyewe uliyewekeza! Ukinunua coin 12,000 kwenye kampuni hii ni zako! Kama Ukiamua kusubiri miezi 12 kwanza ili coin zako za adscash zipande hadi kufikia $10/ADS utakuta una $120,000 sawa na zaidi ya Tshs 260,000,000 baada ya miaka 2 tu!

Hii ni sawa na kusema kila mwezi unalipwa Shs 11,000,000 sawa na shs 355,000 kila siku kwa uwekezaji wa 700,000 tu.

Kumbuka kuwa hapo sijajumlisha vipato vya:

1. Gawio la kila siku kutoka kwenye faida ya matangazo ya kampuni hii!

2. Team bonus payment (kwa wale wenye team chini yao) ambayo kwa kweli kama una team yako kubwa!!!! Pesa yako waweza usiamini jinsi itakavyokuwa kubwa sana sana!!

Hivyo ndivyo watu wote waliowekeza kwenye Adscash wanavyotazamia kubadili maisha yao kuanzia April 2017!!

Bado wiki mbili tu kampuni ianze kazi rasmi sokoni!!! Tengeneza team kuuuuubwa kwenye Adscash utengeneze pesa kuuuuubwa!!
AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.
hivi hamna namna ya kumremuvu katika hii mada huyu mtu maana analeta mambo yasiyohusika katka page yetu... hawa ndio wakiwa mahost wataniga watu.... halafu tuonekane kundi la majangili kwa ajili ya mse... mmoja...
 
Mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu ikiwamo ya ndoa za usanii siku hz wanafatilia sana na njia hii siku hz ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni
Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)
So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)
Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya
So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini
Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja
Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian
Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji
So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo
Kuna website ambazo watu kutoka sehemu zote za dunia wanatafuta watu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea ambapo yeye atakupa chakula na sehemu ya kukaa bure kipindi chote utakachokuwa pale kwake mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi
Lakini leo kunambia sijui mnapanga kuondoka kwenda nchi ambayo huna mwenyeji naona mnacheza nyinyi na mnadanganyana Ulaya na US ya sasa si kama ya zamani utaishia jela au kufa tena na balozi zenu zilivyo ngumu kwa raia wake utakoma na kujuta kuja tena mkuu wenu amesema muachwe njia nyepesi kabsa ndani ya miaka 6 tu umefanikisha mwaka mmoja Malta miaka 5 jeshini mwaka wa sita unapassport ya mzungu
Na hii ni kwa wanawake na wanaume sehemu pekee ni kufika Malta tu mwaka mmoja tatizo nililogundua Waafrica wengi akili yetu tunawaza ulaya tena zile nchi tajiri tu lakini mmeshindwa kujua dunia nzima wanawaza hvyo hvyo njia hii ya malta bado wengi awajaijua then tafuta mtu wa malta kafanye kazi ya kujitolea kwa mwaka mmoja kwanza unapata pa kukaa kula na mwenyeji lakini kwenda sehemu kwa mipango mipango mtakuwa mnadanganyana tu wanawake hasa wa Tanganyika wamekuwa wanaogapa sana kuchukua maamuzi ya kuondoka lakini nataka kuwambia tena wanawake ndio njia nyepesi sana kwani wazungu wanawaheshimu sana wanawake cha kwanza kwa heshima kwa wazungu
1 Wanawake
2 Mbwa au wanyama
3 Mwanaume
So kwa dada zangu kwa njia hii ya Jeshi ni bora sana kwao tena sana naongea hv kwa kujua ninachosem

Ningependa kuwambia ndugu zangu Watanganyika kwamba dunia ya sasa maendeleo yamehama kutoka kwenye nchi zinazoongea kingereza na kuhamia kwenye nchi ambazo haziongei kingereza kwani dunia nzima robo tatu wanajifunza au wanajua kingereza na target yao ni kwenda kukaa nchi zinazoogea kingereza sasa utakuta nchi zinazoongea kingereza zimeshajaa wahamiaji kibao lakini niwape siri kubwa kuwa nchi zisizo ongea kingereza zinaitaji sana watu kwani watu wamekuwa wakienda kwenye nchi zinazoongea kingereza

MALCOM LUMUMBA
Hizo website za kujitolea kaka zianike kama ukonazo familiar
 
Ni hivi kuna mtandao wa kutafuta hosts duniani..

Huu mtandao ni rahisi zaidi kukutanisha na hosts mbalimbali duniani kote...

Kuupata ni rahisi kama unatumia ios au android tafuta hiyo program inaitwa COUCHSURFING hii ni msaada mkubwa mno kukukutanisha na marafiki.

Daby izzo @Dr.adamsfaida Richard etc
Mkuu maisha yamekuwa magumu kwa moyo ulio uonyesha endelea kutusaidia kutujuza mengi Tanzania kwa vijana kumekuwa moto hakuna jipya tunarudi nyuma kila kukicha.
Kwa kuwa mna uzoefu tusaidieni maimani hatutawaangusha
Watanzania wa Zama hizi wengi wamebadirika nafasi kama hizo hakuna atakae ichezea izzo.
 
Naona wale wa visiwa vya malta tunaanza pata wapinzani....
 

Attachments

  • mlta.JPG
    mlta.JPG
    28.1 KB · Views: 126
Back
Top Bottom