Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Umeona Ladypeace embu tufanye kushauriana njia gani tuzitumie kurahisisha hili suala la ambao tuko tayari kwanza kupambana na hii option ya pili maana ndiyo kama kindergarten yetu ya kupata mwelekeo wa kutimiza lengo letu haswa la kuruka majuu
Naunga hoja mkuu yaani hapa ukipata fursa ya kuwa host mtu ahostiwe hasa
 
Naunga hoja mkuu yaani hapa ukipata fursa ya kuwa host mtu ahostiwe hasa
Yaani hii fursa ikipatikana acha tyu Mungu anajua tulivyo na uchungu wa maisha ladypeace yaani Huyo mgeni siku anaondoka na wew safar imeiva kabisaaa
 
Reactions: Qj_
Yaani hii fursa ikipatikana acha tyu Mungu anajua tulivyo na uchungu wa maisha ladypeace yaani Huyo mgeni siku anaondoka na wew safar imeiva kabisaaa
mi sijui ntakuwa nambeba kabisa yaani Mungu anajua bora nimpate tu mengine ntaleta feedback tu humu
 
mi sijui ntakuwa nambeba kabisa yaani Mungu anajua bora nimpate tu mengine ntaleta feedback tu humu

Huu ndio utumwa ambao tunatakiwa kuukataa! Tusirudishane huko aisee, ukifika kule ukaona ubaguzi unaoendelea, utatamani kama ungekuwa bongo utusue then uajiri mzungu huku huku bongo ili kupay back mambo yale wamefanya enzi na enzi
 
Umeongea la maana kaka
 
Qumer
 
Mkuu izzo namimi naomba uniweke ktk ma host nilikuwa tight for the last week BT now um back.
 
Mkuu number zangu ni 0654 646 092.Naomba wakati unasambaza hao wageni unipe mmoja wapo.Ningependa kama awe ke.
 
Napatikana Dar es salaam
 
Walioko nje naomba tena mnisaidie kupata mchumba huko nikuadieni nataka kutoka huku jamani ninapassport mkononi issue ni visa na nauli
Kuna rafiki yangu yupo UK, wacha niongee nae tuone jinsi ya kukusaidia mkuu
 
Ni kweli usemayo ila amini kwamba wengi baada ya kusoma uzi huu ndo tumefunguka ila tatizo utaanzia wap kama ela mfukoni hakuna na wenye mzuka wakutoka naamin hawana ela hata ya passport,wenye hela wameridhika.tupe muda kaka usichoke
 
Daby omba mungu kizazi kiwepo, Alafu huyo demu utakayepita nae pia awe na uwezo wa kubeba ujauzito, laa sivyo kwa hii njia utasafa
 
Nipo tayari kuhost muda ukifika msinisahau.
 
Hahaha.... Asante saana Lizzy kwa ushauri ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…