Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

yes ni website inayoaminika, haina shaka.
 
ukishalipia utakua unaweza kuwasiliana na host yoyote ndani ya mwaka mmoja.
 

Mkuu Dr.adams faida umenena vizuri.
Watu wakileta mirejesho itasaidia kujitambua kwamba WaTanzania wengi ni wakarimu Na roho nzuri za kizalendo
 
Ni chuo gani hicho ambacho ulipata?
 
Mkuu kama ukifanikiwa kufika ututafutie njia na sisi. ..maana kamshahara hapa bongo ni matatizo tuu.
 
Daah tufanyie wepesi aisee ..kwa mfano kama mim huwa natamani sana kwenda Germany, Netherlands au Israel mkuu ...kwa njia ya masomo maana sina mtu wa kunialika uko ...sasa sijui nifanyeje mkuu ..naomba unipe limuongozo asee
 
Daah tufanyie wepesi aisee ..kwa mfano kama mim huwa natamani sana kwenda Germany, Netherlands au Israel mkuu ...kwa njia ya masomo maana sina mtu wa kunialika uko ...sasa sijui nifanyeje mkuu ..naomba unipe limuongozo asee
Kwa sasa Germany ni pagumu sana mkuu but unaweza pata,ila itakuchukua muda.
 
Nilitaka tu kuuliza na/au kushea kitu kuhusu hiyo inshu ya uyatima, pia na umri. Na sipo comfortable kuexpose hapa sebuleni.

Okay fine. Nitakujulisha nikishakamilisha kuandika.

-Kaveli-
mkuu kaveli just do ur home work hayo mengine muachie mkuu izzo atamaliza.,nakuombea ufanikiwe na mungu akusimamie hadi mwisho.,una bahati sana kwa kweli..
 
Natanguliza shukrani za dhati mkuu Izzo.

Nitaandika kwa kuzingatia instructions zote husika.

Let me try that chance. It might change my life story!

ubarikiwe ndugu kwa moyo wako wa kusaidia.

-Kaveli-
Congrats brother and all the best...when you get such uniqueness opportunity use all bullets you possess.
 
sasa why mhamtaki tuwe na jukwaa la DISPORA ili tuzungumze hizi issues?

Mnaonitumia PM naomba mumtumie MAX/INVISIBLE PM ili afungue jukwaa la diaspora pupate kupeana mawazo
Nani kasema hataki jukwaa la diaspora? Anyway acha wenye nia wachangie we endelea kusubiri jukwaa la diaspora!
 
sasa why mhamtaki tuwe na jukwaa la DISPORA ili tuzungumze hizi issues?

Mnaonitumia PM naomba mumtumie MAX/INVISIBLE PM ili afungue jukwaa la diaspora pupate kupeana mawazo
Mkuu,wazo lako zur lakn hata hapa kwa sababu thread ishaanzishwa tunaeza changia mawazo ambayo ilitakiwa yachangiwe hko kwny jukwaa la diaspora coz lengo letu wote ni moja!!
 
Natanguliza shukrani za dhati mkuu Izzo.

Nitaandika kwa kuzingatia instructions zote husika.

Let me try that chance. It might change my life story!

ubarikiwe ndugu kwa moyo wako wa kusaidia.

-Kaveli-
Mkuu ukichomoka usitusahau bwana, na sie tutengenezee njia..
 
Ivi jamani hakuna mtu ambaye anaweza kunialika hata ikiwezekana kwa malipo.

Ningependelea mwaliko utoke ulaya esp Malta ama Scandinavia countries

Kama yupo naomba atujuze ili na wengine wanufafaike.

Guys you can make money out of this.

- Chindo -
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…