Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Hiyo msosi tulikua tunaiita stuff!!
Kuna mbongo mmoja hivi tupo Norway anademu wake Ni mkenya wanauza hizi fresh flowers wanazitoa Arusha,jamaa mpaka akanunua apt ya vyumba3 na mkewe kachukua uraia WA kule.anakwambia pesa yangu now haina kazi because watoto wanasoma free schools na anakaa kwake.Anafurahia sana maisha aise.
Sana sana aisee... Nikiwa DK nilipewa apartment nilivyoenda communa kujieleza sina uwezo huku nasoma na nalipiwa kila kitu... Ila uwe mkweli na hauna kitu cha thamani... Ukienda omba nyumba ya bure huku unaendesha gari watakwambia kauze gari kisha uje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vyakula vya hivyo vimetutoa sana sana aisee.....
 
Mkuu unga siku hizi sio ishu kuna supermarkets zinauza hio kitu...

Mfano ukiwa DK unaweza kwenda ujerumani pale Flensburg kuna maduka ya wa thailand utapata kila chakula cha kiafrika
Dah,inabidi nifanye mchakato wa kurudi tena huko mkuu.
Na this time ntakuwa kijana mwema sana.
Nirudi europe nikale ugali na uyoga,maana naogopa kula nyama za wazungu because halal shop zilikua sii nyingi,hope now days halal shop zipo sasa.
 
Dah,inabidi nifanye mchakato wa kurudi tena huko mkuu.
Na this time ntakuwa kijana mwema sana.
Nirudi europe nikale ugali na uyoga,maana naogopa kula nyama za wazungu because halal shop zilikua sii nyingi,hope now days halal shop zipo sasa.
Nyingi mno... DK na Sweden migahawa ya waarabu imejaa tele aisee... Wale ndo huuza halal foods....

Na kama unapenda mchanganyiko kwa DK kuna mji wa pili kwa ukubwa unaitwa Aarhus huko tulikua tukipaita Somalia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana waarabu na waafrika ndo wamejaa hatari.
 
Nyingi mno... DK na Sweden migahawa ya waarabu imejaa tele aisee... Wale ndo huuza halal foods....

Na kama unapenda mchanganyiko kwa DK kuna mji wa pili kwa ukubwa unaitwa Aarhus huko tulikua tukipaita Somalia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana waarabu na waafrika ndo wamejaa hatari.
Wao,nadhani Ni kama pale Rotterdam,ingawa Rotterdam hakuna pesa,but halal foods Ni nyingi Tu.
 
Kuna kitu wanaita syrup ambayo ina maji na sukari pengine wanatumia pia hiyo kuweka ladha kwenye chai.

Sisi chai tunaidharau sana lakini ni kinywaji bora sana ukikipatia utengenezaji wake.
Sana aisee...
 
kiwango cha chini (gharama) kwa chumba cha kulala kwa siku...
Changamoto kubwa ni kukaguliwa mipakani maana mkifika mpakani mizigo yote iliyoko kwenye gari inashushwa yote kukaguliwa. Hapo ndo muda mwingi hupotea.

Ukiandaa laki 5 mpaka laki 6 ya kitanzania utafika na kurudi.

Nilikwenda pretoria, Gharama za Hotel na Guest zinategemea eneo na eneo maana kuna maeneo kama Osytabay na kuna maeneo kama Ubungo, Kimala na yanayofanana na hayo.

Gharama inategemea utakapokuwa. Kwa kule, kwa mfano unaweza fikia Ubungo lakini ukawa unafanya mambo yako Chalinze au hata Morogoro maana usafiri upo masaa yote, si usiku wala mchana-non stop.
 
natamani kufika hizi boda maana rafiki zangu wa botswana wananiringishia sana....

17202753_1846809268941454_7732458800813335136_n.jpg
17190389_1846809228941458_5010661160196423773_n.jpg
17155989_1846809242274790_8366091934517894744_n.jpg
17202753_1846809268941454_7732458800813335136_n.jpg
17190389_1846809228941458_5010661160196423773_n.jpg
17155989_1846809242274790_8366091934517894744_n.jpg

Changamoto kubwa ni kukaguliwa mipakani maana mkifika mpakani mizigo yote iliyoko kwenye gari inashushwa yote kukaguliwa. Hapo ndo muda mwingi hupotea.

Ukiandaa laki 5 mpaka laki 6 ya kitanzania utafika na kurudi.

Nilikwenda pretoria, Gharama za Hotel na Guest zinategemea eneo na eneo maana kuna maeneo kama Osytabay na kuna maeneo kama Ubungo, Kimala na yanayofanana na hayo.

Gharama inategemea utakapokuwa. Kwa kule, kwa mfano unaweza fikia Ubungo lakini ukawa unafanya mambo yako Chalinze au hata Morogoro maana usafiri upo masaa yote, si usiku wala mchana-non stop.
 
mm naitaji kwenda Iceland , Malta au Sweden, nipeni contact niweze kupata Barua ya mwaliko tu, mambo mengine yote nitasimamia mwenyewe bila wasi wasi wowote maana nimejipanga vyakutosha .
Tatizo ni hilo tu, Barua ya mwaliko.
Haha barua ya mwaliko then ukifika huko utaishije?
 
Back
Top Bottom