Sana sana aisee... Nikiwa DK nilipewa apartment nilivyoenda communa kujieleza sina uwezo huku nasoma na nalipiwa kila kitu... Ila uwe mkweli na hauna kitu cha thamani... Ukienda omba nyumba ya bure huku unaendesha gari watakwambia kauze gari kisha uje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo msosi tulikua tunaiita stuff!!
Kuna mbongo mmoja hivi tupo Norway anademu wake Ni mkenya wanauza hizi fresh flowers wanazitoa Arusha,jamaa mpaka akanunua apt ya vyumba3 na mkewe kachukua uraia WA kule.anakwambia pesa yangu now haina kazi because watoto wanasoma free schools na anakaa kwake.Anafurahia sana maisha aise.
Dah,inabidi nifanye mchakato wa kurudi tena huko mkuu.Mkuu unga siku hizi sio ishu kuna supermarkets zinauza hio kitu...
Mfano ukiwa DK unaweza kwenda ujerumani pale Flensburg kuna maduka ya wa thailand utapata kila chakula cha kiafrika
Nyingi mno... DK na Sweden migahawa ya waarabu imejaa tele aisee... Wale ndo huuza halal foods....Dah,inabidi nifanye mchakato wa kurudi tena huko mkuu.
Na this time ntakuwa kijana mwema sana.
Nirudi europe nikale ugali na uyoga,maana naogopa kula nyama za wazungu because halal shop zilikua sii nyingi,hope now days halal shop zipo sasa.
Wao,nadhani Ni kama pale Rotterdam,ingawa Rotterdam hakuna pesa,but halal foods Ni nyingi Tu.Nyingi mno... DK na Sweden migahawa ya waarabu imejaa tele aisee... Wale ndo huuza halal foods....
Na kama unapenda mchanganyiko kwa DK kuna mji wa pili kwa ukubwa unaitwa Aarhus huko tulikua tukipaita Somalia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana waarabu na waafrika ndo wamejaa hatari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ukinyunyiza asali ndo inavyokua?
Changamoto kubwa ni kukaguliwa mipakani maana mkifika mpakani mizigo yote iliyoko kwenye gari inashushwa yote kukaguliwa. Hapo ndo muda mwingi hupotea.
Ukiandaa laki 5 mpaka laki 6 ya kitanzania utafika na kurudi.
Nilikwenda pretoria, Gharama za Hotel na Guest zinategemea eneo na eneo maana kuna maeneo kama Osytabay na kuna maeneo kama Ubungo, Kimala na yanayofanana na hayo.
Gharama inategemea utakapokuwa. Kwa kule, kwa mfano unaweza fikia Ubungo lakini ukawa unafanya mambo yako Chalinze au hata Morogoro maana usafiri upo masaa yote, si usiku wala mchana-non stop.
Changamoto kubwa ni kukaguliwa mipakani maana mkifika mpakani mizigo yote iliyoko kwenye gari inashushwa yote kukaguliwa. Hapo ndo muda mwingi hupotea.
Ukiandaa laki 5 mpaka laki 6 ya kitanzania utafika na kurudi.
Nilikwenda pretoria, Gharama za Hotel na Guest zinategemea eneo na eneo maana kuna maeneo kama Osytabay na kuna maeneo kama Ubungo, Kimala na yanayofanana na hayo.
Gharama inategemea utakapokuwa. Kwa kule, kwa mfano unaweza fikia Ubungo lakini ukawa unafanya mambo yako Chalinze au hata Morogoro maana usafiri upo masaa yote, si usiku wala mchana-non stop.
Weka nia utafika tu siku moja!natamani kufika hizi boda maana rafiki zangu wa botswana wananiringishia sana....
View attachment 481822 View attachment 481823 View attachment 481824 View attachment 481822 View attachment 481823 View attachment 481824
mm naitaji kwenda Iceland , Malta au Sweden, nipeni contact niweze kupata Barua ya mwaliko tu, mambo mengine yote nitasimamia mwenyewe bila wasi wasi wowote maana nimejipanga vyakutosha .Mkuu m naomba hyo contact
mm nimepata English language C nipe link niweze kujaribu Bahati yangu na hukoMkuu unaweza tusaidia link za scholarship za sweden?? Nataka nijaribu huko kielimu
Haha barua ya mwaliko then ukifika huko utaishije?mm naitaji kwenda Iceland , Malta au Sweden, nipeni contact niweze kupata Barua ya mwaliko tu, mambo mengine yote nitasimamia mwenyewe bila wasi wasi wowote maana nimejipanga vyakutosha .
Tatizo ni hilo tu, Barua ya mwaliko.
Tatizo langu ni kuingia tu, mambo mengine hayana shida mkuuHaha barua ya mwaliko then ukifika huko utaishije?
Plain zangu ni kwenda kusoma+ kufanyakaziMkuu mtu hawez tu kukupa mwaliko lzm ajue plan yako coz ikitokea ukazamia bila mpango inakula kwake!!