Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu Kaveli nimekusoma nimekupata and your write ups are very very interesting my bro.

I can deduce strong ambitiousness and potentiality in you that should never be wasted in whatever case.

I do salute this kinda spirit ambayo inaamsha mzuka hata wa mtu aliyekuwa kajisahau na kumkumbusha he has to keep his plans alive. Now what I can insist to you, is to keep fucused on your plans and never mind the distractions for the sake Of your endeavors.

Kihusu kusaka za madafu kupitia kilimo cha vitunguu hata usiwaze mkuu karibu sana, tutafanya hata fundraising ya kiujanja ujanja kama alivyofanya baba jeska kwenye maafa ya tetemeko na kwenda kujenga uwanja wa bombardier kijijini kwake chato...lol.


Mkuu Lizarazu, thanks a bunch bro for your enlightening insights. You are always wise n' cheerful! Wewe ni miongoni wa jf members who make JF a nice place to chill n' browse. You are the real comrade.

Yep kiongozi, activism activated to push poverty at bay. Tuendelee kupambana na kushare opportunity avenues until we break even.

Umasikini ni kitu kibaya sana, kinadharirisha, kinafedhehesha! To me, nothing worse like 'extreme porverty'. I lived it since my infancy, I was raised out of it, and possibly it made me strong. That's why I am really dedicated to champion for better days kwa nguvu zote atazonijaalia Muumba.

Sometimes huwa nakaa kitaa to chill n' start reminiscing: 'until when this damn life! Ooh dear God, am I paying the price of being hell-bound?" maana maji yakitufika shingoni ndipo tunakumbuka dua. Maisha ya mtaa. Lakini haina udasi, tunafungua bongo, tunamix elimu-mtaani dot Kom, then life goz'on.

Hahaha mpaka Mkulu anawapiga bao la kisigino wana-nshomile ili kutandaza mkeka wa bombardier kijijini chato! Lol. Walai Taifa lishawekwa bondi. Referee kauzu, uwanja wenyewe mkavu... kilichobaki kucheza rafu! Wengine akina sisi 'unga robo mboga kwa jirani' hatuna miwani ya 'kusomea namba' aise. Bendera inapepea against upepo na bila mlingoti. Bongo mufilis!

Huwa nawapa darsa vijana wenzagu kitaa, kwamba nawadeiz life lishavaa bikini ya kitenge. Tukomae wana. Sio kushinda maskani 'kuchoma udi'. Kama vidato hukukwea wala kukalia vimbweta, basi unga unga upate hata fani ya kusongesha life kwa riziki validi, sio kusavaivu kitaa kimazabe. Huwa nawakumbusha madogo in tha hood: usidharau veta ukitepeta fomu foo. Fani is a substantial vessel at least to bridge us to a river bank.

Skills development should also be part of the package of our primary center of attention. Even the '2030 World Sustainable Development Goals reflect the same... Goal 4, Target 4 calls for substantial increase in skills development to youths for reliable employment. Ndo maana mkuu siku nikipata fursa ya kuanza kusoma Bachelor Degree, it will be a big WOW na nitasema "ahsante Maulana kwa kuniona mja wako".

Poverty is a wet blanket of frustration. So, as we wave our web of hope, we become warriors of survival. Mkuu Lizarazu, tuendeleze harakati to alleviate poverty while being in hope-mode, tuzidishe Ibada as well. Warriors always at frontline of defense, even devoid an AK. Worriers always are cowards at the back hesitating n' peeping.

All in all... worse comes to worst, but my people come first. Brother Lizarazu you are among of my people. You will always have my respect n' support.

Warmly,

-Kaveli-
 
17362355_1853311861349890_8618422144643752377_n.jpg
 

Attachments

  • 17362355_1853311861349890_8618422144643752377_n.jpg
    17362355_1853311861349890_8618422144643752377_n.jpg
    58.2 KB · Views: 104
Maua ya porini ni ya kutafuta maporini kulingana na aina ambayo mteja anakua anahitaji..kwahiyo mzigo unapatikana wa kutosha
ebu tuma sample ya unavyo package mzigo wako ukiwa una uza njee... na mara nyingi una uza kwa viwango gani vya uzito kilo au tani, kama kilo je minimum and max even to tani min & max.... kama kuna aina nyingine ya uuzaji mkuu... ikiwezekana tuelezane vizuri ili tufanye biashara ya pamoja tukianza local sio mbaya huku tukiwa na target tu...
 
ebu tuma sample ya unavyo package mzigo wako ukiwa una uza njee... na mara nyingi una uza kwa viwango gani vya uzito kilo au tani, kama kilo je minimum and max even to tani min & max.... kama kuna aina nyingine ya uuzaji mkuu... ikiwezekana tuelezane vizuri ili tufanye biashara ya pamoja tukianza local sio mbaya huku tukiwa na target tu...
Kwani maua nje yanauzwaje? Mi nnavyofaham kuna jamaa mmoja alikuwa anayakata vijiti kama vya inchi nne hivi then anavipack kulingana na aina tofauti tofaut ya maua,
 
Kwanza napenda kutoa pongezi za dhati kwa aliyeaanzisha huu uzi, nafarijika sana kuona kwa wenzeti ni kiasi gani wanawajali binadamu wenzao,kwa mfano wadau hapo juu wameelezea namna ambavyo wanalipwa tena kwa muda maalumu,kwa kweli nmevutiwa sana,yaani mtu unafanya kazi ukijua kuwa kila muda unaofanya kazi unalipwa stahiki husika,hivyo niko tayari kuwa host wa hao wageni niko Kilimanjaro,na kwa fursa ya kazi yoyote huko nje tunaomba tuwe tunajulishana,maana huku maisha magumu,unaweza Fanya kazi za serikalini miaka mia na ukafa maskini ni bora tukimbie kwa muda
Shukran na jaribu mkuu!!
 
Ndugu zangu Watanganyika nimekuwa kimya kwa sababu nakamilisha baadhi ya mambo kuhusu project yetu changamoto inayonikuta ni kuweza kuwashawishi juu ya usalama wa wageni wkati mm sipo eneo la tukio yani wanakaa miezi 3 Africa then mm sipo eneo la tukio kumbuka wanaokuja ni kati ya miaka 18 - 25 so ni bado watoto au vijana pili inatakiwa nijiCommit mm kuwa Responsible kwa lolote

Kumekuwa na watu wanazungumzia vigezo mm ninavyojua ni

1 Kuwa eneo salama (Kiafya na Kiusalama)
2 Kujua lugha ya mawasiliano ambayo ni kingereza
3 kuanzia vyumba viwili yani chumba na sebure
4 Kama unafamilia basi wasizidi watu 5 ikiwamo na ww
5 Choo kizuri na kisafi
6Kuwepo na mtu wa kushinda na kumtembeza mgeni sehemu mbalimbali


Vigezo ni hvyo vya kuanzia vinaweza kubadilika kutokana na mahitaji coz Wageni wanaokuja ni kutoka familia za middle class so unaweza kujiuliza middle class za ulaya ni kipato aina gani kwa mwezi au mwaka wengi ni wanafunzi wa vyuo na wafanyakazi lakini project hii tunaanza na wageni vijana umri miaka 18-25 na wanatoka Malta , Canada na USA next round itakuwa Denmark ,Norway na Sweden

Changamoto inayonikabili ni hyo niliyoeleza hapo juu

Kuhusu namba za simu nimezipata kwa wale waliotuma na zinafanyiwa kazi hili kujiridhisha

Sasa niwaulize nyinyi Project hii ilikuwa ni kwa ajili ya watu walio Single kwa ajili ya kutengeneza mahusiano kumbuka wazungu ukishamwambia umeoa au unamahusiano tu bhasi hato kuwa karibu na ww kwani wanaheshimu sana ndoa za watu
na mahusiano ya watu

So kwa wale wenye mahusiano itabidi wachukue jinsia yao kwa maana kama ni mwanaume utachukua mwanaume mwenzio kama ni mwanamke chukua mwanamke mwenzio

Note ;Si lazima muwe na mahusiano ya kimapenzi hata mahusiano ya kirafiki yanatosha sana kwa kuanzia

Pia watanganyika ni mabingwa wa kuwa wabishi pale unapotongoza na kukataliwa mna mtindo wa kulazimisha naomba huduma hyo isiwepo hata kidogo kama kakupenda atakwambia mwenyewe aina ulazima wa kulazimisha kitu

update.....
Kuna group la Whats app na Telegram la Kazi na kupeana michongo ya kazi ,vyuo na mambo yote kuhusu kusafiri na kwenda kusoma au kufanya kazi kwa Ulaya , America na Ocenia ni group la watu wa huku huku nje na linawanachama zaid ya 1000 kutoka nchi nilizozitaja so nitaomba ruhusa ya Admn kama wanaweza kuadd watu kutoka Africa kama akinikubalia nitaweka namba hapa then mtajoin




kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
 
Ndugu zangu jana nilitoa list ya balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwani nchi ya Malta ina balozi chache sana kwa nchi za Africa balozi zipo Africa ya kaskazini so wanachofanya kuna balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwa Tanzania ni balozi ya Italy ndio unaweza pata visa ya Malta njia ya kwenda Malta ni tatu kusoma,kutalii,kutembea hii inahusisha kufanya kazi kwa kujitolea ambapo yule unayefikia kwake anakutumia barua ya mwaliko

Kama unakwenda kwa ajili ya kufanya kazi ya kujitolea mara nying ni kazi za mikono ambazo unatakiwa kuwa unazijua ni
1 ufundi wa mbao au saidia fundi
2 kuchunga na kuangalia wanyama {mifugo}
3 kupika hii ni kwa wanawake
4 kutunza watoto hii ni kwa wanawake
5 kutunza bustani hii ni kwa wote

Napendekeza kama kazi ya kujitolea ukafanye kijijini au kwenye miji midogo faida yake ni
1Kwanza utajua Lugha zaid ya moja yani lugha ya wenyeji
2 unakuwa unaply low profile{kwani watu ni wachache na wengi ni wazee ambao mala nying hawana mpango na mtu}
3 Ni vyepesi kupata mdhamini wa kukuombea uraia endapo utakaa mwaka mmoja
4 Wengi kule ni wazee so mzee siku zote wanaaminika sana kwa serikali na taasisi zake so kama akikuombea uraia process zako zitakuwa fupi tofauti na akikuombea kijana

Vijiji na miji ya Valletta,Mdina, Zabbar,Cospciua na st paul"s bay

Wale wakina John kisomo kule scholarship nyingi ni kwa level ya masters na PhD ambazo nying ni za serikali BT ninazo scholarship za Sweden,Canada,Denmark , Australia ,Austria ,Germany , Finland, NZ lakini nying ni Masters na PhD lakini mission yetu ni Malta so tunajikita kwenye Malta

Note ; ni uhakika kama ukifanikiwa kukaa ndani ya MALTA mwaka mmoja kupata uraia ni vyepesi na ukifata process zote utafanikiwa lakini pia Mungu ni wa kumuomba kwa kila jambo pia

Kama utafanikiwa nchi za kwenda kwa ulaya ni za Scandinavian country na Ujerumani,Canada, USA kwa sasa hakuna free visa kwa nchi za ulaya mpaka pale watakavyobalisha Luxembourg nchi ambazo usiende kwani ni kimeo ni Italy,Spain, Ufaransa kwani kazi hakuna na maisha ni magumu UK wamejitoa EU so sidhani kama kuna free visa


kuhusu jeshi nilishazungumzia labda kama kuna swali naweza ulizwa

Kumbuka jeshi la wenzetu mafunzo si magumu sana kama huku kwetu najua wengi wanaweza ogopa kutokana na mafuzo huku ni kukomoana kule ni kufundishana majeshi ya wenzetu wamewekeza kwenye technology si katika nguvu za mwili mambo ya kuvunja matofali au kuvuta gari kwa meno hakuna labda uwe kwenye vikosi maalumu kama special force na commando wenzetu siku hizi ni kubonyeza botton tu vinatoka vitu mpaka sijui mkutane mpigane mieleka siku hz hakuna room hiyo siku hiz zinatumwa spy UAV{Unmanned aerial vehicle} inapiga picha jion pilot mmoja au wawili wanachukua chombo aidha fighter jet au bomber ambazo hazionekani kwenye rada na kwenda kudrop madude then baada ya masa 6 au 10 wamerudi huku uko walipo kwenda wakiacha vilio tu na kazi ya ambulance kwa ajili ya kubeba majeruhi au maiti na fire kwa ajili ya kuzima moto

Pia kwa wenzetu jeshi ndipo vitu bora vinapatikana kuanzia elimu bora na huduma bora za afya kwani viongozi wote wa serikali wakiumwa utaskia wamepelekwa kwenye hospital za kijeshi wanasema kitu chochote bora duniani kinapatikana jeshini kwa wale wanaotaka kuomba kazi moja kwa moja unaweza pita hapa www.maltajobport.com

mwenye swali aulize bt no pm kwani sito jibu msg ya mtu yeyote

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Naomba msaada wako wa namna ya kupata schalarship za msters degree
Agent ni kama nilivyosema wanaweb zao ukimpata weka detals zake hapa mm nitakwambia kama ni waukweli au ni wanaigeria ilo kwangu linawezekana pia kwani ww unataka kwenda nchi gani na kama umesoma nikusaidie upate Scholarship full bt as i told you no PM wala kujuana niambie wapi nikutumie link uendelee mwenyewe from there
Mkuu izzo naomba msaada wako wa namna ya kupata scholarship sweden
 
Ndugu zangu Watanganyika nimekuwa kimya kwa sababu nakamilisha baadhi ya mambo kuhusu project yetu changamoto inayonikuta ni kuweza kuwashawishi juu ya usalama wa wageni wkati mm sipo eneo la tukio yani wanakaa miezi 3 Africa then mm sipo eneo la tukio kumbuka wanaokuja ni kati ya miaka 18 - 25 so ni bado watoto au vijana pili inatakiwa nijiCommit mm kuwa Responsible kwa lolote

Kumekuwa na watu wanazungumzia vigezo mm ninavyojua ni

1 Kuwa eneo salama (Kiafya na Kiusalama)
2 Kujua lugha ya mawasiliano ambayo ni kingereza
3 kuanzia vyumba viwili yani chumba na sebure
4 Kama unafamilia basi wasizidi watu 5 ikiwamo na ww
5 Choo kizuri na kisafi
6Kuwepo na mtu wa kushinda na kumtembeza mgeni sehemu mbalimbali


Vigezo ni hvyo vya kuanzia vinaweza kubadilika kutokana na mahitaji coz Wageni wanaokuja ni kutoka familia za middle class so unaweza kujiuliza middle class za ulaya ni kipato aina gani kwa mwezi au mwaka wengi ni wanafunzi wa vyuo na wafanyakazi lakini project hii tunaanza na wageni vijana umri miaka 18-25 na wanatoka Malta , Canada na USA next round itakuwa Denmark ,Norway na Sweden

Changamoto inayonikabili ni hyo niliyoeleza hapo juu

Kuhusu namba za simu nimezipata kwa wale waliotuma na zinafanyiwa kazi hili kujiridhisha

Sasa niwaulize nyinyi Project hii ilikuwa ni kwa ajili ya watu walio Single kwa ajili ya kutengeneza mahusiano kumbuka wazungu ukishamwambia umeoa au unamahusiano tu bhasi hato kuwa karibu na ww kwani wanaheshimu sana ndoa za watu
na mahusiano ya watu

So kwa wale wenye mahusiano itabidi wachukue jinsia yao kwa maana kama ni mwanaume utachukua mwanaume mwenzio kama ni mwanamke chukua mwanamke mwenzio

Note ;Si lazima muwe na mahusiano ya kimapenzi hata mahusiano ya kirafiki yanatosha sana kwa kuanzia

Pia watanganyika ni mabingwa wa kuwa wabishi pale unapotongoza na kukataliwa mna mtindo wa kulazimisha naomba huduma hyo isiwepo hata kidogo kama kakupenda atakwambia mwenyewe aina ulazima wa kulazimisha kitu
Mkuu izzo kwa wanaohost wageni ni vyema wajiandae kwa baadhi ya changamoto hasa wanapowatembeza wageni.
Mara nyingi kwenye vivutio vyetu vya ndani akienda mgeni na wakajua huyu ni mgeni anapigwa pesa ndefu saana . Nina experience na hili Arusha ukienda na mzungu snake park..pale crater..maasai camp na kanjiro boma za karibu wakiona haupo makini anaweza kupigw pesa ndefu. Hivyo ni vyema mnaohost mkajifunza/dadisi haya mambo ili mpate exposure juu ya haya mambo kabla wageni hawajaja. Maana mgeni atakuambia nipeleke snake park n.k

Nitatolea mfano wa mzungu aliyeuziwa line usd 2000 pale stand arusha isingekuwa host wake pesa ilikuwa inaenda.

Hivyo ndugu mnaohost wageni jipangeni vizuri STUNTER Dr. Adams faida na wengine.
 
Nashukuru chief
nimefika isipokua hawaruhusu mtu kuingia mpaka ndani, pana mlizi ana information zote. siku ya kuingia ndani ni kwenda kuchukua visa tu! siku za kuchukua visa ni jumatatu, ijumaa na jumatano. wamenipatia website ambayo ina form za kudownload na kila kitu, so vitu vyako vyote unavifanyia huko, then wamenipa na e-mail yao ukimaliza unawatumia huko. lakini pia ukikwama kuna namba ya maulizo unawapigia wanakusaidia (amesisitiza simu zikipigwa basi yawe mambo ya msingi)

Website; www.ambdaressalaam.esteri.it
E-mail; dar.visti@esteri.it
Tel 0222115935-6
Mkuu hio web ya visa ya Malta ktk Italy embassy nimeingia nimekuta ki italiano kitupu ko sielewi
 
ebu tuma sample ya unavyo package mzigo wako ukiwa una uza njee... na mara nyingi una uza kwa viwango gani vya uzito kilo au tani, kama kilo je minimum and max even to tani min & max.... kama kuna aina nyingine ya uuzaji mkuu... ikiwezekana tuelezane vizuri ili tufanye biashara ya pamoja tukianza local sio mbaya huku tukiwa na target tu...
Kwakweli sijawahi kuuza maua pori,ila kuna jamaa yangu aliniambia kua maua pori ni dili sana endapo ukipata soko.lakini pia akaniambia wateja wao wenyewe ndo watakutumia picha ya maua wanayotaka,wengine watakupa na location ya kwenda kuyachukua(mashina ya maua) then unawatumia kulingana na package wanayohitaji...
 
Izzo mimi nitafutie host wa Mifugo na bustani nije kujitolea,mana kilimo na ufugaji navipenda sana,nahitaji nipade uzoefu zaidi kwa vitendo ili nikiludi bongo nifanye mapinduzi ya ufugaji,...!
 
Ndugu zangu Watanganyika nimekuwa kimya kwa sababu nakamilisha baadhi ya mambo kuhusu project yetu changamoto inayonikuta ni kuweza kuwashawishi juu ya usalama wa wageni wkati mm sipo eneo la tukio yani wanakaa miezi 3 Africa then mm sipo eneo la tukio kumbuka wanaokuja ni kati ya miaka 18 - 25 so ni bado watoto au vijana pili inatakiwa nijiCommit mm kuwa Responsible kwa lolote

Kumekuwa na watu wanazungumzia vigezo mm ninavyojua ni

1 Kuwa eneo salama (Kiafya na Kiusalama)
2 Kujua lugha ya mawasiliano ambayo ni kingereza
3 kuanzia vyumba viwili yani chumba na sebure
4 Kama unafamilia basi wasizidi watu 5 ikiwamo na ww
5 Choo kizuri na kisafi
6Kuwepo na mtu wa kushinda na kumtembeza mgeni sehemu mbalimbali


Vigezo ni hvyo vya kuanzia vinaweza kubadilika kutokana na mahitaji coz Wageni wanaokuja ni kutoka familia za middle class so unaweza kujiuliza middle class za ulaya ni kipato aina gani kwa mwezi au mwaka wengi ni wanafunzi wa vyuo na wafanyakazi lakini project hii tunaanza na wageni vijana umri miaka 18-25 na wanatoka Malta , Canada na USA next round itakuwa Denmark ,Norway na Sweden

Changamoto inayonikabili ni hyo niliyoeleza hapo juu

Kuhusu namba za simu nimezipata kwa wale waliotuma na zinafanyiwa kazi hili kujiridhisha

Sasa niwaulize nyinyi Project hii ilikuwa ni kwa ajili ya watu walio Single kwa ajili ya kutengeneza mahusiano kumbuka wazungu ukishamwambia umeoa au unamahusiano tu bhasi hato kuwa karibu na ww kwani wanaheshimu sana ndoa za watu
na mahusiano ya watu

So kwa wale wenye mahusiano itabidi wachukue jinsia yao kwa maana kama ni mwanaume utachukua mwanaume mwenzio kama ni mwanamke chukua mwanamke mwenzio

Note ;Si lazima muwe na mahusiano ya kimapenzi hata mahusiano ya kirafiki yanatosha sana kwa kuanzia

Pia watanganyika ni mabingwa wa kuwa wabishi pale unapotongoza na kukataliwa mna mtindo wa kulazimisha naomba huduma hyo isiwepo hata kidogo kama kakupenda atakwambia mwenyewe aina ulazima wa kulazimisha kitu
Mm naongeza mkuu kidogo kuwaonya ndugu zangu. Showoff zakupiga mapicha nankuyasabaza facebook na insta muangalie sana. Sio kila dakika umekunja uso na katoto ka watu unashindana na hamorapa kutwaa ynamuanuka mwanangwa insta.

Umbea wakibongo muuache msianzr kutembrza mabango mwanangu sholi nimehost mwakani nasanzuka, unaweza ukala zongo lakisambaa mkavimbiwa wewe na mtoto wa watu.

Ulimbukeni sio fresh. BTW wabongo hatupendani so chunga sana
 
Mkuu izzo kwa wanaohost wageni ni vyema wajiandae na baadhi ya changamoto hasa wanapowatembeza wageni.
Mara nyingi kwenye vivutio vyetu vya ndani akienda mgeni na wakajua huyu ni mgeni anapigwa pesa ndefu saana . Nina experience na hili Arusha ukienda na mzungu snake park..pale crater..maasai camp na kanjiro boma za karibu wakiona haupo makini anaweza kupigw pesa ndefu. Hivyo ni vyema mnaohost mkajifunza/dadisi haya mambo ili mpate exposure juu ya haya mambo kabla wageni hawajaja. Maana mgeni atakuambia nipeleke snake park n.k

Nitatolea mfano wa mzungu aliyeuziwa line usd 2000 pale stand arusha isingekuwa host wake pesa ilikuwa inaenda.

Hivyo ndugu mnaohost wageni jipangeni vizuri STUNTER @Dr Adams faida na wengine.
Kuna host mmoja alikuja dar kutoka Arusha akiwa na wazungu wawili, jamaa alizubaa kidogo tu mitaa ya Jmo wageni wake waliibiwa pesa zote, aliwaacha wageni kubadilishana pesa na wenyeji bundle kubwa la pesa nyekundu kumbe ndani makaratasi. Ilikuwa kilio
 
Kuna host mmoja alikuja dar kutoka Arusha akiwa na wazungu wawili, jamaa alizubaa kidogo tu mitaa ya Jmo wageni wake waliibiwa pesa zote, aliwaacha wageni kubadilishana pesa na wenyeji bundle kubwa la pesa nyekundu kumbe ndani makaratasi. Ilikuwa kilio
Haya mambo tusiyachukulie simple japo naamini ndugu zangu hawa wataweza saana. Ni vyema wageni wakikaribia kuja watakao pata bahati ya kuhost wajipange hata kupeana elimu juu ya hilo suala.
 
Mm naongeza mkuu kidogo kuwaonya ndugu zangu. Showoff zakupiga mapicha nankuyasabaza facebook na insta muangalie sana. Sio kila dakika umekunja uso na katoto ka watu unashindana na hamorapa kutwaa ynamuanuka mwanangwa insta.

Umbea wakibongo muuache msianzr kutembrza mabango mwanangu sholi nimehost mwakani nasanzuka, unaweza ukala zongo lakisambaa mkavimbiwa wewe na mtoto wa watu.

Ulimbukeni sio fresh. BTW wabongo hatupendani so chunga sana
Dah mkuu ni kweli ndugu yangu kwani wengi wanatoka kwenye familia za kistarabu dah kunachangamoto nying sana za kujadili dah natamani kama kungekuwa na platform ambayo tungekuwa kama na semina ya kuelekezana Do en don't
 
Mkuu visa ya New Zealand sina hakika sana but sidhani kama inasumbua.Maana mie nilienda Australia 2012 mwz sept kwenye kampuni moja ya kilimo cha ndizi na strawberry mji mmoja unaitwa Queenland,so nikawa nimewahi msimu ambao huanza Dec to may.Kisha mwezi June Kuna jamaa zangu wagana wakasema twende New Zealand tukapige kazi huku tukisubiri msimu mwingine,Kule tukaenda kwenye kampuni moja ya kufunga maziwa IPO Wellington,but tamaa ya pesa ikatuharibia maisha.Kuna jamaa mmoja hivi alikua Ni Malaysia akatupa deal la kumtafutia vitoto vya Kobe fulani hivi nimesahau jina,kobe hao walikua wanapatika sehemu1 inaitwa Tongariro kuna national park.Jamaa alitoa offer ya $75ea title na alitaka 4000hds na tulikua 4.Nikasema kwa deal hili nikirudi bongo kwanza naanza na Wema "Sepenga" Kisha namaliza na na Jack Wopper.Wanaume tukapiga kazi kwa siku2 tukapata kama 90 hv.Wakati huo tulikua hatujaingia kwenye hifadhi,tulikua pembezoni,tamaa ilipozidi tukasema why tusiingie hifadhini ili kieleweke mapema?ule tunaingia Tu haikupita Ata dk10 tukaona helkopta kama 6 hivi angani.Muda mfupi tayari tukawa tumedakwa na kupelekwa lokapu,kesho yake mapema tu mahakamani kwa kuingia hifadhini bila kibali,mvua za miezi3 zikatuhusu baada ya hapo ni patriation ya kutoweka na kurudi Australia because tulikua na visa za kule,but kumbe hawa wasengerema walishatoa na taarifa kwenye ile kampuni so na wao hawakua na namna zaidi ya kututimua.Since then sijaenda tena huko.
But life zuri maana unskilled tulikua tunavuta around Aud$18/hr.
Daah, japo it pains ila nimecheka hiyo ya sepenga
 
Yes but Scandinavian countries maisha hapo juu hasa kwenye misosi ingawa apt Hazina tabu.Kikombe cha chai ya maziwa around €2 while new Zealand Ni kama 0.75.
But chai Yao inakiwango cha kimataifa.unakunywa chai na mkate unajisikia kama upo peponi.Kwakweli mpaka leo sijajua viungo wanavyotumia mpaka chai iwe tamu vile alohhh
Hahaha, kama paradise vile
Umeua mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah mkuu ni kweli ndugu yangu kwani wengi wanatoka kwenye familia za kistarabu dah kunachangamoto nying sana za kujadili dah natamani kama kungekuwa na platform ambayo tungekuwa kama na semina ya kuelekezana Do en don't
Kabla ya wsgeni kufika ni vizuri host mkutane pamoja mpeane semina, bila hivo mnaweza kuharibu kwa kutokujua na project ikaingia doa
 
Back
Top Bottom