onyamnyothoche
Member
- Sep 23, 2016
- 55
- 53
Ebana hata mi nimefurahia mno stori ya jamaa. Humu utajifunza, utaburudika, utafarijika na kuongeza matumaini nimeonaDaah, japo it pains ila nimecheka hiyo ya sepenga
Mkuu huo mchongo wa japan kuna mdau amekuunganishia na je gharama zake mpaka kusepa ni kiasi gani aise?Hata mm natarajia kwenda kuishi japan. Thou inabidi nioe kule mke wa kijapani. By mwez wa 4 naondoka. Nabeba mikuyati yangu ya kutosha naanza maisha ya kijapani
Mkuu usiumize kichwa Ku host wageni ni jambo la kawaida na mfumo wa mda mrefu na upo zaidi maeneo yanayofanya utalii mf.mikoa ya kaskazin host wanalala mpaka kwenye mahema (camping site) nje kwenye uwanja wa nyumba yako cha muhimu ni usalama wao na vitu vyao.mimi najua ulaya marekani hata asia wapo wa tz wengi mno lakini hata kutuonesha njia kwa kutafuta taasisi zitakazo saidia wandugu bongo, kutusaidia wale tunaopenda kuandika maandiko ya miradi na hii ni kutuunganisha na taasisi husika kama kuna ugumu tujadiliane katika baadhi ya mambo ikiwezekana iundwe taasisi na kusajiliwa kisheria ili wanachama wake waweze kutambulika na kuwa rahisi hata kuwapata pale watendapo mambo kinyume na taratibu... hapa ni kufanya mambo yaende kwa kurasimishwa na sio kienyeji ndio maaana naisi mliopo majuu mnakuwa na hofu... na hata katika hili la kuhost kwanini kusisajiliwe taasisi ya kulink tz na wakina [HASHTAG]#izzo[/HASHTAG] ili mlio abroad mjue mnafanya kazi na watu wa aina gani
ni mawazo tu wadau... dunia inabadilika sio mmoja mmoja tena ni kushirikiana, tuelekee kale umoja ni nguvu...
Mkuu fafanua garama na fursa zinazopatikana huko JapanMkuu huo mchongo wa japan kuna mdau amekuunganishia na je gharama zake mpaka kusepa ni kiasi gani aise?
Haya mambo ndo tunayataka jamani...lol bora yameletwa hapa ..kama mimi wapendwa natafuta fursa ya kujilipua Sweden ndani ya huu mwakaNdugu wana JF
Kwa muda mrefu kumekuwa na masuala mbalimbali yahusuyo kujilipua (kwenda nje ya nchi) ambayo watu wanauliza mmoja mmoja kwa lemgo la kutaka msaada na ushauri namna ya kufika na jinsi ya kuanza maisha huko nje.
Kutokana na kutoa msaada kwa wengi (binafsi) kwa kutumia njia binafsi nimeona nifungue uzi huu ili kuweka mambo yote wazi kwa kadiri itakavyowezekana na kualika wengine pia waweze kutoka maoni yao.
Ndugu zangu nchi yetu ya Tanzania ki uwezo bado ni changa, fursa za kutoka ni chache na hata changamoto ni nyingi. Huko kwa wenzetu fursa ni nyingi ndio maana imekuwa chanzo cha kuvuta wahamiaji wengi sana toka mataifa masikini.
Nchi masikini wenzetu huko mbele raia wao wamejaa haswa kutokana na moyo wa kusaidiana na kuvutana.
Nimeamua nilete hoja hii kama ambavyo wenzetu hufanya huko Nairaland ya Nigeria ili kila mtu mwenye ujuzi au ufahamu juu ya namna ya kutoka (kujilipua) atoe msaada kwa wengine kwenda huko... si lazima wewe binafsi usaidie mtu binafsi NO, hata mbinu tu za jinsi ya kufika huko.
Kabla sijaingia kwenye kiini cha mada naomba nitoe faida na changamoto za kujilipua.
FAIDA
1. Fursa nzuri za kiuchumi na kujiinua hasa ukiwa na malengo.. Wakuu binafsi nimeishi Marekani kwa miaka nane. moja ya faida nilizopata huko ni kujiinua kiuchumi.... binafsi wakati naenda kusoma huko nilijiwekea malengo ya kujenga ghorofa nyumbani, kufungua mashine za kusaga na kukoboa nafaka pamoja na kumiliki fuso za mizigo...
kipato cha mfanyakazi wa kule ni kikubwa mno kushinda hata cha baadhi ya maboss wetu hapa... hivyo nilijitahidi nilipokuwa kule malengo yangu yaimie... ni kweli baada ya muda huo nilifanikiwa kutimiza yote.
2. Huduma nzuri za afya, Elimu, Sheria, miundombinu.
CHANGAMOTO
1. changamoto kubwa kwa kuwa kule ni upweke (ku feel home mara kwa mara japo wakati mwingine ukizoea hutoweka)
2. Xenophobia hii ni kwa baadhi ya nchi tu sio zote.
USHAURI WA WAPI UENDE NA NAMNA GANI UENDE
Kwa wale wahitaji wa masuala ya maisha kujijenga na kuchuma nashauri nchi hizi, USA, UK, NORDIC COUNTRIES, NA WESTERN EUROPE COUNTRIES. kwa Afrika nashauri SA.
Jinsi gani utaenda namna ni nyingi.... naorodhesha baadhi hapo chini...
1. kwenda kimasomo ambapo unaweza tafuta sponsors then ukapata scolarship itayokuwezesha kupata visa na kujilipua huko baada ya masomo...
2. Kutafuta mwenzi wa nje ambaye atakualika huko kisha mtaoana na kukuwezesha kupata resident permit na baadae uraia.
3. Kuhamisha mataji na biashara njia hii unakubaliwa popote alimradi uwe na biashara halali,
4. kwenda kwa shughuli za utamaduni
Wenzetu wakenya na wanigeria wameunda mfumo wa kualikana wao kwa wao, kwamba mtu anakutumia barua ya mwaliko, then unakwenda ukifika huko anakutafutia mtu mnaoana kisheria tu ili upate karatasi kisha kila mtu anasika hamsini zake....
Wapendwa mambo ni mengi siwezi andika yote ndio maana nimeanziasha uzi huu tutaendelea kujuzana kwa kairi michango ya watu itakavyokuwa na maswali yatayojitokeza.
Nawakaribisha nyote. Na wote wenye maujuazi au mauzoefu ya huko mbele... karibuni tusaidiane tujenge taifa letu... Tuwasaidie vijana wakasake fursa.
Nilishawahi kusikia japo sikulifuatilia passport sheria inasema ukifika miaka 18 kama mtanzania una haki ya kupata ...passport sasa hizi mambo zingine wanaibuaga kutoka wapi??Mkuu ni kweli... Uhamiaji hawatoi passport bila reason.... Nafikiri tungebadili huu utaratibu tuwe kama wenzetu ambao passport kwao ni haki ya msingi na unaweza miliki tu.
Hakika mkuuEbana hata mi nimefurahia mno stori ya jamaa. Humu utajifunza, utaburudika, utafarijika na kuongeza matumaini nimeona
Malengo safi sana aiseeHiyo msosi tulikua tunaiita stuff!!
Kuna mbongo mmoja hivi tupo Norway anademu wake Ni mkenya wanauza hizi fresh flowers wanazitoa Arusha,jamaa mpaka akanunua apt ya vyumba3 na mkewe kachukua uraia WA kule.anakwambia pesa yangu now haina kazi because watoto wanasoma free schools na anakaa kwake.Anafurahia sana maisha aise.
Mkuu hio web ya visa ya Malta ktk Italy embassy nimeingia nimekuta ki italiano kitupu ko sielewi
Hahahanatamani kufika hizi boda maana rafiki zangu wa botswana wananiringishia sana....
View attachment 481822 View attachment 481823 View attachment 481824 View attachment 481822 View attachment 481823 View attachment 481824
Kutia nia tu, bravo mkuumm naitaji kwenda Iceland , Malta au Sweden, nipeni contact niweze kupata Barua ya mwaliko tu, mambo mengine yote nitasimamia mwenyewe bila wasi wasi wowote maana nimejipanga vyakutosha .
Tatizo ni hilo tu, Barua ya mwaliko.
Yes but Scandinavian countries maisha hapo juu hasa kwenye misosi ingawa apt Hazina tabu.Kikombe cha chai ya maziwa around €2 while new Zealand Ni kama 0.75.
But chai Yao ina kiwango cha kimataifa.unakunywa chai na mkate unajisikia kama upo peponi.Kwakweli mpaka leo sijajua viungo wanavyotumia mpaka chai iwe tamu vile alohhh
I wondered mkuu, first day niko wilaya ya uvinza nakuta uyoga wa kumwaga sokoni tena very cheap, i took a week msosi lazima uwe na uyoga maana tunakotoka mpaka ule uyoga lazima uwe na senti za kitosha mfukoni [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mkuu una nikumbusha kigoma wale watu wanapiga sana uyoga... kipindi cha mvua wanakubali kunyeshewa ili wavune hiyo kitu kuna muda una waona kabisa jinsi wanavyoula mbichi ule mteke mteke alafu wa njano ya binzari
Hivi ule uyoga wao haunaga mchanga? Napenda uyoga ila mchanga ndo huwa unanishinda!!I wondered mkuu, first day niko wilaya ya uvinza nakuta uyoga wa kumwaga sokoni tena very cheap, i took a week msosi lazima uwe na uyoga maana tunakotoka mpaka ule uyoga lazima uwe na senti za kitosha mfukoni [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Pole na hongera mkuuMkuu unajua nilitokea 44KJ pale mbeya nikiwa na utaalam wa kilimo na mifugo ingawa sikua na cheti,so nilivyoenda europe nikabezi kwenye mambo hayo tu thats why nikaenda Australia na New Zealand,but nilibahatika kufika mpaka Helsinki nikawa napiga kazi kwenye warehouse moja hivi long stand job,but tatizo nilikua na girlfriend Tz na nilinuacha mja mzito so akawa kajifungua ikabidi nirudi home,Then wakati nikijiandaa kutimka tena nikaanza kuuguliwa na "mshua"so nikamuuguza for two yrs but mungu akampenda zaidi,baada ya hapo sikuona aja ya kuondoka kumuacha bi mkubwa na wadogo zangu wakiwa wanasoma,ikabidi nitumie amount niliyokua nayo kuwasomeshea wadogo zangu na pia nikaewekeza some where...but madogo wote wapo chuo kikuu mmoja yupo mlimani na mwingine Jordan Moro,mwingine ni wakike alisoma education Chuo kimoja Tabora now days yupo Texas alipata shavu huko mji mmoja unaitwa Houston.
So mkuu europe ni kujilipua tu na ukifika kule usichague kazi.
Swali zuri sana,Sawa mkuu izzo vipi hao wageni wanapenda kufikia mkoa gani hapa bongo?
Website gani?Mtandaoni tu mkuu lkn hua wananipenda kupita kiasi
Asante for sharing mkuuKuna misemo 2 ambayo huwa inanifanya kujihisi niko hai
1."To be a leader is to suffer for the other's "
2. As you're trying to light a candle for others to see the bright future ahead, your also brighten your own future.
Huu Uzi umenikumbusha mbali sana mwaka 2007 nakumbuka nilienda ubalozi wa marekani mara 2 bila mafanikio, kipindi hicho kuomba visa nilikua ni dola 100 so nilipoteza dola 200 ziliniuma sana japo sikua nimezitoa mimi.
Kipindi icho nilikua najiandaa kufanya mtihani duuu nilijihisi kukosa amani kwani sikuamini kabisa kilichonitokea mara 2 kunyimwa visa, ikumbukwe nilikua under 18 na nina mashetani ya kwenda mbele kwa George W.Bush.
Mpaka naenda chuo akili yangu ilikua haikubaliani na kitendo cha kukosa visa lakini nitafanyaje na ndio ishatokea, niliumia zaidi baada ya mfadhili wangu tokea primary nae alipopata mtoto akiwa na miaka 58 mke na mume 60 huo ni mwaka 2010.
Kwao ilikua furaha nami nilifurah mwanzoni lakini furaha ikatoweka baada ya kunijulisha kuwa hawataweza kuendelea kunizamini masomo ya udaktari katika chuo cha IMTU.
Ndoto zangu za kuwa njia katika kitongoji changu zikazidi kufifia ilinilazimu lubadili course na kuhama chuo ikumbukwe TCU imeanza kutumika mwaka 2010.
Huwezi amini nilibidi kwenda ofisini kwao na kujifanya chizi ili nihamishwe chuo. Vingine ni kama masihara nakumbuka ilikua majira ya sa 8 mchana ndio niliruhusiwa kuingia ndani kumwona anaehusika na data base, kabla ya kumwona nikakutana na mama 1 akanihoji sana, ikabidi nijitoe ufahamu, niigize wa vijijini chuo nilisaidiwa kuapply na shangazi na hakujua kama zile 4500$ ni dola..Asee usiombee, ila akili ni Mali. Basi ofisi nzima wakaanza kunicheka na kushangaa, mimi wala siogopi KAMA ZOMBIE tu nilikua. Basi mama akanichukua mpaka kwa jamaa wa database then wakanibadilisha kwenda vyuo vya watoto wa wakulima aka vya TSH.
Ikumbukwe waliokua wananidhamini na kunifadhili naenda USA ni professors mke na Mme wrote ni profs mwenye sekta ya Afya, hivyo nilikua nina imani kwamba pesa ya kuendelea kunifadhili ilikuepo lakini wamegoma baada ya kupata mtoto tena wa uzeeni hata ivyo bahati haikua upande wangu mwaka 2007.
Baada ya mambo mengi nimekua nikipambana kuhama hii nchi kwa kutumia mipango hafifu lakini kupitia huu uzi nimejikuta najihisi bado niko hai tena. BIGUP wrote mnaozidi kutoa mlicho nacho. THROUGH SHARING KNOWLEDGE & SKILLS WE ARE SHARING LIFE.
Kupoteza na kupata ni kama 1_2, ukweli kufatilia kila comments mwenye huu Uzi kisha unakaa kimya bila kuchukua hatua yeyote sio jambo LA kiungwana kabisa, natamani kila atakaesoma huu Uzi abadilike ama abadilishe wengine kwa namna ingine.
MREJESHO.
NIlifungia accounts couch surfing na air bnb pia kujiunga home stays, hivi vitu ni kweli vinaganya kazi yaani ukiwa na nauli ya tickets go & return kuna host wana kupata offer ya kukupokea airport na free meals & accommodation in exchange of 0.00 coins kwa miezi 1-12 hapa ni wewe tu. Huwafanyii kazi yeyote.
Nimejaribu Leo kutumia host stays nchi za China 3, Japan 3, korea, Finland, Malta.
Pia kuna host unachangia dola MF. 500$ kwa mwez wanakupa chakula na malazi kwa mwezi, kwa walioko serious na nauli mkononi jipange then jua kwanini unaenda uko, utapataje RP, kisha jisogeze mbele. Muhimu ni kujipanga tusiende tu kisa umesikia kuna green pasture, lazima uwe na ramani na Dira ya unakotegemea pia PLAN B
MWISHO.
Naomba kuwa coordinator wa host kwa Tz, sio kazi nyepesi lakini naimani, nina uwezo wa kufanya kwa kiwango kinachotakikana#izzo
Umetufungua sana mkuu Izzo, naomba usinisahau plan B pleaseMkuu tuombe Mungu tu lakini kwa hii pln itawatoa wengi sana kila mwaka 20 - 30 wageni
Kama kweli mtafanyia kazi Project hii trust me wengi mtaondoka tena wengine kwa kuto gharamika hata sh 100 coz mgeni anatoa dola 100 kila siku asubuhi zaidi ya laki 2 then kama utamfanyia wema mgeni wako na yeye hato sita kukufanyia wema pale utakapo kuwa na ww unaitaji wema wake na yeye
Pia ktk Project zote nilizo leta au zitakzo kuja hakuna hata mtu atakayeombwa hata sh 10 na kama itatokea njooni jukwaani mseme yote ni 100000% free kuanzia kuhost na msaada mwingine wowote kutoka kwangu