Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Kuna wakati tukiwa wanafunzi walitupa work-permit ya kufanyia kazi, baadae walikuja kuriport faida kubwa kutokana na cheap labour ya wanafunzi, walituondolea work-permit ikawa kupata kazi uwe tu na valid visa. Walianza kuingia wa-Romania na wa Croatia ambayo ndiyo ilikua Bulgaria zamani, kazi ya £5 kwa saa yeye anaipiga kwa £3.50 tena anaomba overtime. Wale jamaa wamepelekana sana ulaya na imepelekea matatizo makubwa ya huduma za msingi kama nyumba, shule na huduma za afya. Shuleni mwalimu ana watoto 10 ambao hawaongei ki-Ingereza ni matatizo. Ninadhani hii ni moja ya sababu ya Uingereza kujiotoa EEU.

Hiyo ni sababu namba moja.
 
Mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu ikiwamo ya ndoa za usanii siku hz wanafatilia sana na njia hii siku hz ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni
Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)
So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)
Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya
So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini
Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja
Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian
Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji
So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo
Kuna website ambazo watu kutoka sehemu zote za dunia wanatafuta watu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea ambapo yeye atakupa chakula na sehemu ya kukaa bure kipindi chote utakachokuwa pale kwake mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi
Lakini leo kunambia sijui mnapanga kuondoka kwenda nchi ambayo huna mwenyeji naona mnacheza nyinyi na mnadanganyana Ulaya na US ya sasa si kama ya zamani utaishia jela au kufa tena na balozi zenu zilivyo ngumu kwa raia wake utakoma na kujuta kuja tena mkuu wenu amesema muachwe njia nyepesi kabsa ndani ya miaka 6 tu umefanikisha mwaka mmoja Malta miaka 5 jeshini mwaka wa sita unapassport ya mzungu
Na hii ni kwa wanawake na wanaume sehemu pekee ni kufika Malta tu mwaka mmoja tatizo nililogundua Waafrica wengi akili yetu tunawaza ulaya tena zile nchi tajiri tu lakini mmeshindwa kujua dunia nzima wanawaza hvyo hvyo njia hii ya malta bado wengi awajaijua then tafuta mtu wa malta kafanye kazi ya kujitolea kwa mwaka mmoja kwanza unapata pa kukaa kula na mwenyeji lakini kwenda sehemu kwa mipango mipango mtakuwa mnadanganyana tu wanawake hasa wa Tanganyika wamekuwa wanaogapa sana kuchukua maamuzi ya kuondoka lakini nataka kuwambia tena wanawake ndio njia nyepesi sana kwani wazungu wanawaheshimu sana wanawake cha kwanza kwa heshima kwa wazungu
1 Wanawake
2 Mbwa au wanyama
3 Mwanaume
So kwa dada zangu kwa njia hii ya Jeshi ni bora sana kwao tena sana naongea hv kwa kujua ninachosem
Mkuu nakuja inbox unipe indetaila how to reach malta. Serious.
 
Mkuu ni kweli... Uhamiaji hawatoi passport bila reason.... Nafikiri tungebadili huu utaratibu tuwe kama wenzetu ambao passport kwao ni haki ya msingi na unaweza miliki tu.
Nakumbuka wakati nafuatilia passport kuna afisa mmoja akaniuliza kwa dharau kwamba unataka passport ya nini!? Na unataka kwenda nchi gani!? Nikamjibu naenda kuolewa na bibi mmoja pamoja na biashara, wote ofisini wakaagua kicheko. Tanzania kuna baadhi wanafikiri kupata passport hadi wazazi wako ni mawaziri.
 
Nmepata mchongo wa kwenda japan na mwenyeji wangu kaniambia fursa za kazi kibao na nkifika natafutiwa mwanamke tunafunga ndoa napata kikaratas maisha mengine yataendela. Kwa mwenye uzoefu na inchi hiyo ningependa kujua mengi
Asia ni nchi tatu tu za kwenda Japan , Malaysia, Singapore ila huku ukiwa ni mtu wa IT utafanikiwa sana na South Korea
 
Mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu ikiwamo ya ndoa za usanii siku hz wanafatilia sana na njia hii siku hz ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni
Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)
So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)
Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya
So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini
Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja
Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian
Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji
So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo
Kuna website ambazo watu kutoka sehemu zote za dunia wanatafuta watu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea ambapo yeye atakupa chakula na sehemu ya kukaa bure kipindi chote utakachokuwa pale kwake mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi
Lakini leo kunambia sijui mnapanga kuondoka kwenda nchi ambayo huna mwenyeji naona mnacheza nyinyi na mnadanganyana Ulaya na US ya sasa si kama ya zamani utaishia jela au kufa tena na balozi zenu zilivyo ngumu kwa raia wake utakoma na kujuta kuja tena mkuu wenu amesema muachwe njia nyepesi kabsa ndani ya miaka 6 tu umefanikisha mwaka mmoja Malta miaka 5 jeshini mwaka wa sita unapassport ya mzungu
Na hii ni kwa wanawake na wanaume sehemu pekee ni kufika Malta tu mwaka mmoja tatizo nililogundua Waafrica wengi akili yetu tunawaza ulaya tena zile nchi tajiri tu lakini mmeshindwa kujua dunia nzima wanawaza hvyo hvyo njia hii ya malta bado wengi awajaijua then tafuta mtu wa malta kafanye kazi ya kujitolea kwa mwaka mmoja kwanza unapata pa kukaa kula na mwenyeji lakini kwenda sehemu kwa mipango mipango mtakuwa mnadanganyana tu wanawake hasa wa Tanganyika wamekuwa wanaogapa sana kuchukua maamuzi ya kuondoka lakini nataka kuwambia tena wanawake ndio njia nyepesi sana kwani wazungu wanawaheshimu sana wanawake cha kwanza kwa heshima kwa wazungu
1 Wanawake
2 Mbwa au wanyama
3 Mwanaume
So kwa dada zangu kwa njia hii ya Jeshi ni bora sana kwao tena sana naongea hv kwa kujua ninachosem
hii ni shule mkuu, big up.
 
Mkuu wewe acha miaka ya mwanzo wa 90 Tanzania ilikuwa na heshima ulaya kama ilivyo Botswana kwa sasa hivi. Kila nchi unayokwenda wanakupa miezi sita unaingia ndani. Wa-Nigeria walituonea wivu sana. Ndipo wa-Nigeria, wa-Somali, wa-Nyarwanda wote wakapata passport zetu kwenda kujilipulia nazo. Thamani ilishuka tukapewa mkwara wa visa 1995.
Kwl mkuu...miaka hiyo ya 90 ilikuwa Tanzanian passport holder unaringa UK na SCANDINAVIA. countries free entry.
Baada ya wasomali ,, Nigerians na wahindi kuanza kununuwa passport za Tanzania tukapigwa pin tusiingie inchi hizo bila kuwa na viza,
....kibaya zaidi Nigerians walikuwa wanabebea madawa ya kulevya kupitia passport zetu,
.wahindi na wasomali walitumia sana kuingia inchi hizo kama REFUGE,
Airport wakiulizwa .wanasema mimi ni msomali au muhindi. nimenunuwa passport Tanzania... Natafuta ukimbuzi.
 
Nakumbuka wakati nafuatilia passport kuna afisa mmoja akaniuliza kwa dharau kwamba unataka passport ya nini!? Na unataka kwenda nchi gani!? Nikamjibu naenda kuolewa na bibi mmoja pamoja na biashara, wote ofisini wakaagua kicheko. Tanzania kuna baadhi wanafikiri kupata passport hadi wazazi wako ni mawaziri.
Hahahaha umenichekesha hapo kwa kibibi...

Mkuu ingependeza ukitueleza mchakato mzima wa safari yako na ulipo leo....
 
Kwl mkuu...miaka hiyo ya 90 ilikuwa Tanzanian passport holder unaringa tu.. UK....SCANDINAVIAN.. countries.... Tunaingia tu entry..wakawa wanakuja wasomali na wahindi hata Nigerians wanapewa passport wanaingia ..tu.ulaya...kibaya zaidi Nigerians wanabebea MADAWA... na wahindi na wasomali wakifika tu Airport wanaongoza REFUGEES DESK...wanasema mm ni msomali au muhindi. nimenunuwa passport Tanzania...naomba UKIMBIZI....ndy chanzo cha wazungu kukasirika...tukaekewa VIKWAZO CHA VIZA...inchi hizo...nina maana yote ni sababu ya PASSPORT kuwa ZINATOKA kama NJUGU
Kibaya Zaidi wakati ule wengi tulilewa maji ya ujamaa, si wengi walipenda kutoka nje. Ninakumbuka zile nyimbo za shule "Kambona ameolewa ah aha huko ulaya". Kila mtu alijivunia kuishi nyumbani. Wasomi wengi wakati ule walirudi nyumbani na gari, fridge, na jiko vya kuanzia maisha. Ukirudi tu unakabidhiwa nyumba za serikali aither ni flats za Upanga au zile za Bagamoyo Rd karibu na St Peters.
 
Kibaya Zaidi wakati ule wengi tulilewa maji ya ujamaa, si wengi walipenda kutoka nje. Ninakumbuka zile nyimbo za shule "Kambona ameolewa ah aha huko ulaya". Kila mtu alijivunia kuishi nyumbani. Wasomi wengi wakati ule walirudi nyumbani na gari, fridge, na jiko vya kuanzia maisha. Ukirudi tu unakabidhiwa nyumba za serikali aither ni flats za Upanga au zile za Bagamoyo Rd karibu na St Peters.
Hahahahah umenichekesha sana na nimekumbuka mbali....

Enzi hizo hata passport walimiliki hao wasomi waloenda na kurudi.... Leo maelfu wanamiliki hadi vijana wakitaa... Wakiweka visa free bongo itahamia London!!
 
Nafikiri hatujaelewana... TZ kuna masharti na hatukatai yasiwepo... Hakuna nchi isiyo na masharti mkuu... Tunachoongelea hapa sababu za umiliki... Bila kuwa na sababu ya kwenda nje bongo hupati passport tofauti na wenzetu unaweza imiliki tu kama kitambulisho.
Lazima uulizwe MKUU.. Kwani hujuwi kama kunafika kipindi materials ya passport.. Mfano vitabu.. vinakuwa vimekwisha?mnapaswa msubiri hata mwezi mzima material Yaje..sasa kwnn vitabu vipotee bure kwa sababu ya watu ambao hawasafiri?inchi nyingi za DUNIANI.. Au mfano hyo south tu..MTU anazaliwa hadi anakufa hajawahi kushika passport... ID tu inatosha...huwezi kuchukuwa passport unaiweka tu CHINI YA KITANDA..huku wenzio mialiko ya ULAYA INA expire . .lazima uwe na sababu za msingi. Na ukidhi vigezo
 
Back
Top Bottom