Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Sweden hela yao sio ngumu.... Then kule unaweza lipwa hata usipofanya kazi.... Mradi uwe legal migrant... Mfano ukiwa unasoma unalipwa n.k

Kwenye lugha ni kweli kugumu... Na lugha yao ni ufunguo wa mambo mengi sana ikiwemo kazi... Ukijua lugha kazi unapata kirahisi mno...

Wenzetu hutumia lugha kama kigezo cha kujua mapenzi yako halisi kwa nchi yao......

Nimependezwa sana na mfumo wa nchi hiyo yaani kila nyumba khasa flats kuwa na majina ya wanaoishi humo na kama Mke/Mume amepewa karatasi basi jina linaongezwa kwenye kale kaboksi ka barua.

😀😀
 
Ni kweli Nordic kwa sasa ndiyo kuzuri.

lakini kwa angalizo ni kwamba inabidi huyo mchumba alieko kwenye nchi za Nordic awe amezoeana sana na mke/ mume mtarajiwa na huwa kwenye "initial stage" wanataka kuona mahusiano ya kweli.

Wanaweza kutaka kuona mkiwa mmetembelana kwa mfano mmoja kaenda Tanzania na mwingine Sweden lakini isiwe ni "one way ticket" hiyo inahesabiwa kuwa siyo "genuine relationship".
ina maana wanamonitor hadi movement za mahusiano yenu..?
 
Mkuu ni kweli... Uhamiaji hawatoi passport bila reason.... Nafikiri tungebadili huu utaratibu tuwe kama wenzetu ambao passport kwao ni haki ya msingi na unaweza miliki tu.
Utaratibu tuliuharibu wenyewe...miaka ya 2000 passport haikuwa kazi ngumu kuipata...now imekuwa ngumu sababu ya wahindi..wasomali na watu wengine ambao sio watanzania kwa faida ambazo Tanzanian passport holder tunaingia entry..wakawa wanapewa passport zetu kama NJUGU...now ni SAWA TU kuwepo na udhibiti wa passport..ni vyema passport kuwe na udhibiti...MGUMU
 
Nimependezwa sana na mfumo wa nchi hiyo yaani kila nyumba khasa flats kuwa na majina ya wanaoishi humo na kama Mke/Mume amepewa karatasi basi jina jinaongezwa kwenye kale kaboksi ka barua.

😀😀
Sana hata Denmark ndo ilivyo.... Ukifika mlangoni unakuta list ya majina na button so wewe ni kubonyeza tu jina unalotaka kengele italia kwa mhusika then utaongea nae ukiwa nje basi akikubali uingie ye atabonyeza tu huko huko juu aliko mlango utafunguka...
Wenzetu wako mbali sana jamani.
 
Utaratibu tuliuharibu wenyewe...miaka ya 2000 passport haikuwa kazi ngumu kuipata...now imekuwa ngumu sababu ya wahindi..wasomali na watu wengine ambao sio watanzania kwa faida ambazo Tanzanian passport holder tunaingia entry..wakawa wanapewa passport zetu kama NJUGU...now ni SAWA TU kuwepo na udhibiti wa passport..ni vyema passport kuwe na udhibiti...MGUMU
Mkuu wewe acha miaka ya mwanzo wa 90 Tanzania ilikuwa na heshima ulaya kama ilivyo Botswana kwa sasa hivi. Kila nchi unayokwenda wanakupa miezi sita unaingia ndani. Wa-Nigeria walituonea wivu sana. Ndipo wa-Nigeria, wa-Somali, wa-Nyarwanda wote wakapata passport zetu kwenda kujilipulia nazo. Thamani ilishuka tukapewa mkwara wa visa 1995.
 
Utaratibu tuliuharibu wenyewe...miaka ya 2000 passport haikuwa kazi ngumu kuipata...now imekuwa ngumu sababu ya wahindi..wasomali na watu wengine ambao sio watanzania kwa faida ambazo Tanzanian passport holder tunaingia entry..wakawa wanapewa passport zetu kama NJUGU...now ni SAWA TU kuwepo na udhibiti wa passport..ni vyema passport kuwe na udhibiti...MGUMU
Nafikiri hatujaelewana... TZ kuna masharti na hatukatai yasiwepo... Hakuna nchi isiyo na masharti mkuu... Tunachoongelea hapa sababu za umiliki... Bila kuwa na sababu ya kwenda nje bongo hupati passport tofauti na wenzetu unaweza imiliki tu kama kitambulisho.
 
Pesa ya visa si kubwa kihivyo.... Mfano kwa schengen visa last year ilikua euro 60 tuu.... Na kwa nchi za SADC ni visa free mfano south!!

france-schengen-visa.jpg


Viza ya Schengen ya siku 90 bado ni Euro 60 na ile ya ziku zaidi ya 90 ni Euro 99
 
Mkuu wewe acha miaka ya mwanzo wa 90 Tanzania ilikuwa na heshima ulaya kama ilivyo Botswana kwa sasa hivi. Kila nchi unayokwenda wanakupa miezi sita unaingia ndani. Wa-Nigeria walituonea wivu sana. Ndipo wa-Nigeria, wa-Somali, wa-Nyarwanda wote wakapata passport zetu kwenda kujilipulia nazo. Thamani ilishuka tukapewa mkwara wa visa 1995.
Mkuu licha ya hayo mambo ya visa yamechagizwa sana na changamoto za sasa kama Ugaidi... Mdororo wa uchumi n.k

Huko nyuma haikua ngumu kwenda Ulaya sababu walihitaji sana cheap labors na changamoto za kiusalama hazikua kubwa kama za sasa!!
 
Mkuu licha ya hayo mambo ya visa yamechagizwa sana na changamoto za sasa kama Ugaidi... Mdororo wa uchumi n.k

Huko nyuma haikua ngumu kwenda Ulaya sababu walihitaji sana cheap labors na changamoto za kiusalama hazikua kubwa kama za sasa!!
Mkuu ninakumbuka wa-Somali walikua wanaingia passport wanaflash kwenye choo cha ndege wakifika Heathrow, baada ya hapo wakifika kwenye immigration desk wanajilipua hawana passport. Mashirika ya ndege nayo yalianza kuriport vyoo kuziba. It was a big scandal na zote zinakutwa ni passport za Tanzania.
 
Mambo yanayohitajika ili uweze kupata viza ya Schengen, ingawa pia inategemea na nchi husika pale utakapotua ndani ya ardhi yake.

  1. Passport - valid at least 3 months after you plan to return from your travel, with at least 2 blank pages
  2. Photo - passport type.
  3. Visa application form - filled into and signed.
  4. Proof of travel medical Insurance.
  5. Proof of accommodation - booking etc.
  6. Proof of sufficient means of subsistence - bank statement etc.
  7. Contact information to a reference in visiting country.
  8. Proof of stable income - tax information etc.
  9. Proof of employment or enrolment in your country of residence.
  10. Copies of all the documents.
  11. Copies of all Schengen visas that were issued for you in the past.
  12. Letter of invitation - if attending any event, meeting, conference etc.
Utaratibu mzima.
  1. Check if you need a Schengen visa and select which country visa you will be applying for the visa
  2. Download and complete the application form entirely, sign the for
  3. Obtain proof of insurance from your insurance company.
  4. Prepare bank statement and other financial documents that can prove your have sufficient funds for your travel.
  5. Make an appointment at the Embassy or Consulate of the country of your main (longest stay) destination. It is advised to set an appointment 2-3 weeks prior to your intended dates of travel.
  6. Submit all the documents
  7. The consulate advises that it usually takes 3-4 business days for visa processing, but confirm your pickup date at the time of submission in case of delays during high volume season.
 
Mkuu ninakumbuka wa-Somali walikua wanaingia passport wanaflash kwenye choo cha ndege wakifika Heathrow, baada ya hapo wakifika kwenye immigration desk wanajilipua hawana passport. Mashirika ya ndege naya yalianza kuriport vyoo kuziba. It was a big scandal na zote zinakutwa ni passport za Tanzania.
Mkuu sasa hivi vigezo vya visa vinaangaliwa sana kulingana na status ya nchi kiuchumi...kiulinzi n.k

Hiyo Botswana nchi nyingi wanaitazama kama inayojiweza so wanaona raia wake hawana shida sana za kujilipua...

Ndio maana nchi nyingi zilizoendelea zina visa free kwa mataifa mengi sababu hazina wakimbizi wa kiuchumi...

Mfano Poland iko Europe lkn haina visa free kwa USA unajua why? Sababu ni uchumi coz raia wake wengi wamezamia nje.
 
Back
Top Bottom