Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Hahahaa mkuu, leo hii hadi sie vijana wa kitaa tunakula vumbi la Mbagala na passport tumezika uvunguni geto mpaka tunaisahau!

Mvua za mwaka juzi... natoka misele narejea geto uswazi... ile kufungua goli tu, nikatahamaki na kujisemea: "khaaa kumbe nina passport, sa nangoja nini kwenye Bara hili la giza?". Geto limejaa maji mpaka level ya kitanda, gamba la kijani linaelea tu kwenye maji. Siku hiyo nilishinda kutwa nzima nadeki geto na kuanika nyaraka. Uswazini heka heka!

Kweli nawadeiz mpaka masela wa kitaa wanaholdi passport. Kupata channel ya kupaa ndo mbinde kichizi, hasa kwa vijana tunaotokea familia za 'unga robo usicheze mbali'. Otherwise uwe 'msafiri kafiri with nothing to lose' then unajilipua mbele kwa mbele.

-Kaveli-
Mkuu mbona hujaitumia mali hiyo.... Maana ukiwa na passport South Africa unakwenda kama tandika tuuu... Ni nauli yako
 
Damn!! This thread deserves an oscar.

Nafurahishwa sana kuona kuna watanzania wenye moyo wa kuwasaidia wenzao kwa kuwapa dondoo muhimu kama hizi hili waweze kutimiza malengo yao ya siku nyingi.


Mkuu Lusingo, Sky Eclat, Richard na wengine wote waliotoa michango yao kwenye uzi huu shukrani zangu za dhati ziwafikie popote pale mlipo.


Katika nchi zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara Tanzania ndio nchi inayoaminiwa kuwa na idadi kubwa ya watu wasiokuwa na exposure. Binafsi nafikiri kwa muhamko huu nnao uona ni dhairi tunaenda kuwa na global citizens wa kutosha tu kitu ambacho kitakuwa ni chachu moja wapo ya kuingiza pesa za kigeni nchini.


Time to wake up.
 
Chotera upo sahihi unachoongea mimi nishaenda ila nilibeba nywere na viatu tripu moja vipo bei chini kweli ila nilishuka navyo SA maana pale soko la vitu brand hizi Nike,Adidas, puma hapo SA unauza sana na kodi haumizi ili mradi visiwe copy tuu hata kuingia haviingii SA...Waganda na Wakenya wanatumia hiyo fursa ndio maana huko kwao vipo vitu vingi na vizuri..
 
ISANGA FAMILY port Elizabeth vp siyo chimbo zuri kwa SA?
 
Isanga family,South Africa na mji upi wenye shughuli za kilimo na mashamba...mana hizo mishemishe za kilimo nazipenda sana
 
Mkuu tusi lipo wapi hapo?mm naelezea baadhi ya ulaya ulivyo..basi tusameheane mkuu...mm huwa sidhamirii matusi MKUU.. Hzo inchi bila michongo maalum huwezi kukaa MKUU..mm nilikimbia hapo...hebu nieleze tusi lipo wapi mkuu
🙂🙂🙂🙂🙂 mkuu nilimanisha unanitia hasira hata kupanda pipa hata kesho yaani nikipata visa ya schengen nabeba vilago hapa kwetu pameshakuwa pachungu mwishowe watukate na mitaji yetu kwa kodi zao.
 
Chotera upo sahihi unachoongea mimi nishaenda ila nilibeba nywere na viatu tripu moja vipo bei chini kweli ila nilishuka navyo SA maana pale soko la vitu brand hizi Nike,Adidas, puma hapo SA unauza sana na kodi haumizi ili mradi visiwe copy tuu hata kuingia haviingii SA...Waganda na Wakenya wanatumia hiyo fursa ndio maana huko kwao vipo vitu vingi na vizuri..
Mi mwenyewe nimekatia soko South na Uganda... Soon ntaanza kwenda huko mkuu.... Fursa ni nyingi sana....

Yaani akina Magu wangefunguka akili wakaacha kodi za kukomoana tungefika mbali sana!!
 
Damn!! This thread deserves an oscar.

Nafurahishwa sana kuona kuna watanzania wenye moyo wa kuwasaidia wenzao kwa kuwapa dondoo muhimu kama hizi hili waweze kutimiza malengo yao ya siku nyingi.


Mkuu Lusingo, Sky Eclat, Richard na wengine wote waliotoa michango yao kwenye uzi huu shukrani zangu za dhati ziwafikie popote pale mlipo.


Katika nchi zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara Tanzania ndio nchi inayoaminiwa kuwa na idadi kubwa ya watu wasiokuwa na exposure. Binafsi nafikiri kwa muhamko huu nnao uona ni dhairi tunaenda kuwa na global citizens wa kutosha tu kitu ambacho kitakuwa ni chachu moja wapo ya kuingiza pesa za kigeni nchini.


Time to wake up.
Kabisa mkuu... Tunataka tuanzishe hii movement... Haiwezekani kila uendapo ni wakenya na wanaija tuuu.... Ndo tumeanza hopeful tutafika mbalj...
 
🙂🙂🙂🙂🙂 mkuu nilimanisha unanitia hasira hata kupanda pipa hata kesho yaani nikipata visa ya schengen nabeba vilago hapa kwetu pameshakuwa pachungu mwishowe watukate na mitaji yetu kwa kodi zao.
Hapa ni pasua kichwa mkuu.... Kwakweli panaumiza sana!!! Serikali inawaza kunyang'anya tu kuliko kusaidia.
 
Mkuu nimeona inchi za Mauritius na shelisheli passport yao ina nguvu yani wanaingia inchi nyingi sana bila visa je ninaweza kuingia kusaka passport ya hizi inchi iliiwe njia rahisi kwa mimi kwenda ulaya asante.
Sasa inategemea huko kwao kunaingilikaje... Kumbuka ili upewe passport huko ni lazima uwe raia wao... Sijajua ni muda gani utakugharimu hadi upate passport yao....
 
🙂🙂🙂🙂🙂 mkuu nilimanisha unanitia hasira hata kupanda pipa hata kesho yaani nikipata visa ya schengen nabeba vilago hapa kwetu pameshakuwa pachungu mwishowe watukate na mitaji yetu kwa kodi zao.
Kweli mkuu..inchi nzr Belgium.. Swiss... Austria... Kajilipuwe pale...miaka mitatu tu uraia..na unalipwa kama euro 800 za UKIMBIZI.. Kila mwezi kama sijakosea...Yale makaratasi yao yatakusaidia kuingia inchi nzuri zaidi kwa kigezo cha uraia....na utapata kazi...au kuishi..Nina mjomba wng yupo Greece tangia 1992..hadi Leo..hana uraia...na bado hana documents za UKIMBIZI.... kabla sijakimbia pale..nilinunuwa passport ya kufananisha ya KIFARANSA...ili niende inchi nzr zaidi..nilipofika AIRPORT..nilipoonyesha tu passport yangu nikaitiwa MTU niongee nae KIFARANSA... NIKACHEMKA....walinikamata wakaniweka ndani miezi mitatu...nilipotoka JAIL POLICE wakanambiya NENDA KANUNUWE passport NYINGINE...UJE..nikatafuta vijisent Fulani....nikakimbia bongo...ila sio ulaya yote nzr mkuu...kwanza ulaya INA lawama sana...wewe unaungaunga tu lakini kwenu VIRUNGU kila siku...na pesa huna ila unaonekana kama vile hutaki kumsaidia MTU wa Africa...NDY MAANA MTU ANAJIKALIA MIAKA YOTE...labda atapata ksho.. Arudi...
 
Mkuu nimeona inchi za Mauritius na shelisheli passport yao ina nguvu yani wanaingia inchi nyingi sana bila visa je ninaweza kuingia kusaka passport ya hizi inchi iliiwe njia rahisi kwa mimi kwenda ulaya asante.
Mi nifight ya botswana nataka nipate kidemu cha kibotswana nikioe nipate karatasi then natokomea mbele mpaka sasa nimeshaanza kujifunza lugha ya setswana november safari inaanza nimeplan niache na kazi maana maisha ya kusubiri kiinua mgongo yalikuwa ya mababu zetu siyo leo ni kutiana umasikini tu, nikiingia zangu Dernmark au Australia miaka kumi nikirudi bongo nafungua hospitali kubwa sana then narudi tena chimbo kuzisaka ninahasira mie.
 
Mi nifight ya botswana nataka nipate kidemu cha kibotswana nikioe nipate karatasi then natokomea mbele mpaka sasa nimeshaanza kujifunza lugha ya setswana november safari inaanza nimeplan niache na kazi maana maisha ya kusubiri kiinua mgongo yalikuwa ya mababu zetu siyo leo ni kutiana umasikini tu, nikiingia zangu Dernmark au Australia miaka kumi nikirudi bongo nafungua hospitali kubwa sana then narudi tena chimbo kuzisaka ninahasira mie.
Mkuu kwanini hizo nguvu usielekeze huko moja kwa moja? Kuna site ya kusaka wapenzi DK nitaiweka hapajaribu bahati yenu...
 
Mi nifight ya botswana nataka nipate kidemu cha kibotswana nikioe nipate karatasi then natokomea mbele mpaka sasa nimeshaanza kujifunza lugha ya setswana november safari inaanza nimeplan niache na kazi maana maisha ya kusubiri kiinua mgongo yalikuwa ya mababu zetu siyo leo ni kutiana umasikini tu, nikiingia zangu Dernmark au Australia miaka kumi nikirudi bongo nafungua hospitali kubwa sana then narudi tena chimbo kuzisaka ninahasira mie.
safi sana mkuu ila kwa afrika nzima hizo ndiyo inchi zinazoongoza kuwa na list za inchi nyingi kwa raia wake kuingia bila visa sema sijajua mpaka nitafute demu ndiyo itakua safi ama kuna njia nyingine ili nisonge na safari aise?
 
Kabisa mkuu... Tunataka tuanzishe hii movement... Haiwezekani kila uendapo ni wakenya na wanaija tuuu.... Ndo tumeanza hopeful tutafika mbalj...

Kweli kabisa man, tena hapo kwa wakenya kumefunika vya kwetu vingi sana... Yaani sasa hivi ukienda nje ya bara la afrika ukiongea kiswahili unauluzwa kama wewe ni mkenya. It seems that chochote kizuri kilichopo afrika mashariki basi inatambulika kinatoka kenya uko duniani
 
Back
Top Bottom