Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ngoja niweke kigoda chini...mkuu izzo njoo tunakusubiri
Yap tumsubiri
Mkuu daby suala zima la hosting usihangaike na madalali.... Pakua app ya couchsurfing utapata hosts wengi mno mno kwa nchi yoyote upendayo... Kisha anza urafiki na mahojiano... Hao watakusaidia sana!!
Na download hiyo app mkuu asante.
 
Ni hivi kuna mtandao wa kutafuta hosts duniani..

Huu mtandao ni rahisi zaidi kukutanisha na hosts mbalimbali duniani kote...

Kuupata ni rahisi kama unatumia ios au android tafuta hiyo program inaitwa COUCHSURFING hii ni msaada mkubwa mno kukukutanisha na marafiki.

Daby izzo @Dr.adamsfaida Richard etc
Mkuu mtandao huko vizuri ila ningependa na huu ni ushauri so kila mtu anaweza kuchangia hoja au kushauri host wa nje mara nying atakuhost kwa muda fulani so unajua siku zote unapokwenda kwa mtu unakosa uhuru wa kumwambia au kufanya kile unachojisikia ni kama umepewa lift na mtu husiye mjua mara nyng unakuwa umetulia na aliyekupa lift ndio anakuwa mwanzisha mazungumzo ww unakuwa mchangiaji tu je ikitokea aliyekupa lift amekaa kimya na ww utakaa kimya tofauti na mtu akija kwako


So mtu anapokuja kwako unakuwa na uhuru wa kuongea chochote so kupitia fulsa hiyo ndio kitu kinaitwa conection na bond zinapojengwa so utapanga na yule aliyekuja kwako siku ukienda kwao atakuwa anajua kila kitu kwani utakuwa umeshamwabia toka huku so kama ikitokea ukabahatika akawa mpenzi wako au rafiki yako juhudi ni zako mwenyewe

Note :Mara nying host wa nje wanajua umekwenda kutembea tu then unarudi kwenu so utakapo mwambia unataka kuzamia au kuendelea kukaa itakuwa ni mshituko kwake kwani atakuwa ajajiandaa na tukio hilo lakini huyu ambae utamuhost ww nadhani utamwambia so wakati anaondoka anajua mission yako siku ukienda atakuwa anajua mbivu na mbichi



kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
 
halafu wakuu dabby izzo lusungo naomba mgusie pia njia rahisi za kupata scholaship jaman au legal jobs kama tayari mtu anaelimu yake aka expatriate lets say doctor au mi nilifanya mitihani ya airline cargo ya iata juzi niliapply kazi canada wameniletea document nijaze je nahitaji kitu gan incase ya interview ..and the rest...mbarikiwe
 
Mkuu mtandao huko vizuri ila ningependa na huu ni ushauri so kila mtu anaweza kuchangia hoja au kushauri host wa nje mara nying atakuhost kwa muda fulani so unajua siku zote unapokwenda kwa mtu unakosa uhuru wa kumwambia au kufanya kile unachojisikia ni kama umepewa lift na mtu husiye mjua mara nyng unakuwa umetulia na aliyekupa lift ndio anakuwa mwanzisha mazungumzo ww unakuwa mchangiaji tu je ikitokea aliyekupa lift amekaa kimya na ww utakaa kimya tofauti na mtu akija kwako


So mtu anapokuja kwako unakuwa na uhuru wa kuongea chochote so kupitia fulsa hiyo ndio kitu kinaitwa conection na bond zinapojengwa so utapanga na yule aliyekuja kwako siku ukienda kwao atakuwa anajua kila kitu kwani utakuwa umeshamwabia toka huku so kama ikitokea ukabahatika akawa mpenzi wako au rafiki yako juhudi ni zako mwenyewe

Note :Mara nying host wa nje wanajua umekwenda kutembea tu then unarudi kwenu so utakapo mwambia unataka kuzamia au kuendelea kukaa itakuwa ni mshituko kwake kwani atakuwa ajajiandaa na tukio hilo lakini huyu ambae utamuhost ww nadhani utamwambia so wakati anaondoka anajua mission yako siku ukienda atakuwa anajua mbivu na mbichi



kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Yeah ni kweli... Ila kwakua huo mtandao una watu wengi unaweza pia unda urafiki then ukienda huko ukafanikiwa. Wengi sana wamefanikiwa kwa njia hiyo...

Halafu mkuu pale juu nimeona umeandika nina uhusiano na Britanica... Huyo mtu ndo kwanza nami namsikia hapa wala simfahamu... Then tangu nifungue uzi huu nimejibu watu watatu tu huko PM na wala sijatoa namba au kumuomba mtu chochote... Wenyewe watakua mashuhuda hapa.

Blessed.
 
Tupe uzoefu wako mkuu ili tukupigie makofi wish tutanufaika wengi nataraji nondo za maana kutoka kwako.

Mkuu,

Wakati nasoma sekondari nilikutana na jamaa mmoja Mswidi, alikuwa akifundisha IST (mimi sikusoma shule hiyo). Siku moja alikuja shuleni kwetu (akiwa katika matembezi ya kawaida na alipenda sana kupiga picha) mimi nikampokea (nilikuwa mwenyekiti wa mwanzilishi wa English club shuleni). Baada ya kumaliza ziara yake, urafiki wetu uliendelea. Uzoefu wangu ulianzia kwake. Hakuishi Tanzania kwa muda mrefu na aliporudi kwao, aliwaelekeza wageni wengi (waliotaka "reference") kwangu na niliwapokea na kuishi nao kwanza ilikuwa nyumbani kwetu na baadae kwangu kwa kipindi kirefu. Wakati fulani nikasafiri na nikapoteza mawasiliano mengi (wajanja waliingilia email yangu) na zoezi lile sikuilifanya tena. Hicho kilikuwa ni kipindi "internet cafe" ipo chuo kikuu UDSM na ilikuw unalipa Tzs. 3000 nusu saa na Kariakoo, Mussa telecommunication unalipa Tzs. 4000/- nusu saa, simu tunapiga kwenye vibanda dk.1 Tzs. 500/-

Kaka ...
 
halafu wakuu dabby izzo lusungo naomba mgusie pia njia rahisi za kupata scholaship jaman au legal jobs kama tayari mtu anaelimu yake aka expatriate lets say doctor au mi nilifanya mitihani ya airline cargo ya iata juzi niliapply kazi canada wameniletea document nijaze je nahitaji kitu gan incase ya interview ..and the rest...mbarikiwe
Canada kupata kazi ni rahisi mno mno... Sasa sijajua requirements za hiyo form ni nini but kikubwa kuliko vyote ni valid passport tuuu yenye uhai....
 
Mkuu,

Wakati nasoma sekondari nilikutana na jamaa mmoja Mswidi, alikuwa akifundisha IST (mimi sikusoma shule hiyo). Siku moja alikuja shuleni kwetu (akiwa katika matembezi ya kawaida na alipenda sana kupiga picha) mimi nikampokea (nilikuwa mwenyekiti wa mwanzilishi wa English club shuleni). Baada ya kumaliza ziara yake, urafiki wetu uliendelea. Uzoefu wangu ulianzia kwake. Hakuishi Tanzania kwa muda mrefu na aliporudi kwao, aliwaelekeza wageni wengi (waliotaka "reference") kwangu na niliwapokea na kuishi nao kwanza ilikuwa nyumbani kwetu na baadae kwangu kwa kipindi kirefu. Wakati fulani nikasafiri na nikapoteza mawasiliano mengi (wajanja waliingilia email yangu) na zoezi lile sikuilifanya tena. Hicho kilikuwa ni kipindi "internet cafe" ipo chuo kikuu UDSM na ilikuw unalipa Tzs. 3000 nusu saa na Kariakoo, Mussa telecommunication unalipa Tzs. 4000/- nusu saa, simu tunapiga kwenye vibanda dk.1 Tzs. 500/-

Kaka ...
Du mkuu kumbe ni muda sana nafikiri ilikuwa kipindi hayati mwalimu nyerere yu hai.
Je wewe ulipataje fursa ya kufika ughaibuni na ninafikiri mpaka sasa upo huko njia ipi ulitumia kupata viza mpaka kupata PR huko uliko?
 
Yeah ni kweli... Ila kwakua huo mtandao una watu wengi unaweza pia unda urafiki then ukienda huko ukafanikiwa. Wengi sana wamefanikiwa kwa njia hiyo...

Halafu mkuu pale juu nimeona umeandika nina uhusiano na Britanica... Huyo mtu ndo kwanza nami namsikia hapa wala simfahamu... Then tangu nifungue uzi huu nimejibu watu watatu tu huko PM na wala sijatoa namba au kumuomba mtu chochote... Wenyewe watakua mashuhuda hapa.

Blessed.
Mkuu si ww kuna Agent mwingine yupo Uganda
 
Canada kupata kazi ni rahisi mno mno... Sasa sijajua requirements za hiyo form ni nini but kikubwa kuliko vyote ni valid passport tuuu yenye uhai....
Unaposema valid passport yenye uhai unamanisha nini mkuu?
 
Yeah ni kweli... Ila kwakua huo mtandao una watu wengi unaweza pia unda urafiki then ukienda huko ukafanikiwa. Wengi sana wamefanikiwa kwa njia hiyo...

Halafu mkuu pale juu nimeona umeandika nina uhusiano na Britanica... Huyo mtu ndo kwanza nami namsikia hapa wala simfahamu... Then tangu nifungue uzi huu nimejibu watu watatu tu huko PM na wala sijatoa namba au kumuomba mtu chochote... Wenyewe watakua mashuhuda hapa.

Blessed.
Haha...nitakuwa shuhuda.

Sijaona sehemu izzo amekuhusisha na Britanicca.

Ila alisema Britanicca anauhusiano na Katelelo na DR.RWEYENDERA ambacho ni kitu niliwaambia wenzangu kwenye uzi fulani upo jukwaa la kazi na tenda.
 
Back
Top Bottom