Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Job Search in Japan

Here are some sites that will help you land your dream job in Japan:

1. GaijinPot. They’ve got a ton of position listings.

GaijinPot

2. JREC-In.

Japan Research Career Information Network JREC-IN Portal

If you’ve got a Master’s degree, a few published papers, or a Doctorate, this site is your best friend. Welcome to the exciting world of Japanese academia.



3. Career-Cross.

Bilingual Employment in Japan

This is a great site for people who want to work in bilingual jobs.

5. Daijob.

www.daijob.com


Fluent in Japanese?
if so, then this site lets you compete with native Japanese people for Mechanical Engineering jobs and other professions.
 
Ndugu wana JF
Kwa muda mrefu kumekuwa na masuala mbalimbali yahusuyo kujilipua (kwenda nje ya nchi) ambayo watu wanauliza mmoja mmoja kwa lemgo la kutaka msaada na ushauri namna ya kufika na jinsi ya kuanza maisha huko nje.

Kutokana na kutoa msaada kwa wengi (binafsi) kwa kutumia njia binafsi nimeona nifungue uzi huu ili kuweka mambo yote wazi kwa kadiri itakavyowezekana na kualika wengine pia waweze kutoka maoni yao.

Ndugu zangu nchi yetu ya Tanzania ki uwezo bado ni changa, fursa za kutoka ni chache na hata changamoto ni nyingi. Huko kwa wenzetu fursa ni nyingi ndio maana imekuwa chanzo cha kuvuta wahamiaji wengi sana toka mataifa masikini.

Nchi masikini wenzetu huko mbele raia wao wamejaa haswa kutokana na moyo wa kusaidiana na kuvutana.

Nimeamua nilete hoja hii kama ambavyo wenzetu hufanya huko Nairaland ya Nigeria ili kila mtu mwenye ujuzi au ufahamu juu ya namna ya kutoka (kujilipua) atoe msaada kwa wengine kwenda huko... si lazima wewe binafsi usaidie mtu binafsi NO, hata mbinu tu za jinsi ya kufika huko.

Kabla sijaingia kwenye kiini cha mada naomba nitoe faida na changamoto za kujilipua.

FAIDA
1. Fursa nzuri za kiuchumi na kujiinua hasa ukiwa na malengo.. Wakuu binafsi nimeishi Marekani kwa miaka nane. moja ya faida nilizopata huko ni kujiinua kiuchumi.... binafsi wakati naenda kusoma huko nilijiwekea malengo ya kujenga ghorofa nyumbani, kufungua mashine za kusaga na kukoboa nafaka pamoja na kumiliki fuso za mizigo...

kipato cha mfanyakazi wa kule ni kikubwa mno kushinda hata cha baadhi ya maboss wetu hapa... hivyo nilijitahidi nilipokuwa kule malengo yangu yaimie... ni kweli baada ya muda huo nilifanikiwa kutimiza yote.

2. Huduma nzuri za afya, Elimu, Sheria, miundombinu.

CHANGAMOTO
1. changamoto kubwa kwa kuwa kule ni upweke (ku feel home mara kwa mara japo wakati mwingine ukizoea hutoweka)

2. Xenophobia hii ni kwa baadhi ya nchi tu sio zote.

USHAURI WA WAPI UENDE NA NAMNA GANI UENDE
Kwa wale wahitaji wa masuala ya maisha kujijenga na kuchuma nashauri nchi hizi, USA, UK, NORDIC COUNTRIES, NA WESTERN EUROPE COUNTRIES. kwa Afrika nashauri SA.

Jinsi gani utaenda namna ni nyingi.... naorodhesha baadhi hapo chini...
1. kwenda kimasomo ambapo unaweza tafuta sponsors then ukapata scolarship itayokuwezesha kupata visa na kujilipua huko baada ya masomo...

2. Kutafuta mwenzi wa nje ambaye atakualika huko kisha mtaoana na kukuwezesha kupata resident permit na baadae uraia.

3. Kuhamisha mataji na biashara njia hii unakubaliwa popote alimradi uwe na biashara halali,

4. kwenda kwa shughuli za utamaduni

Wenzetu wakenya na wanigeria wameunda mfumo wa kualikana wao kwa wao, kwamba mtu anakutumia barua ya mwaliko, then unakwenda ukifika huko anakutafutia mtu mnaoana kisheria tu ili upate karatasi kisha kila mtu anasika hamsini zake....

Wapendwa mambo ni mengi siwezi andika yote ndio maana nimeanziasha uzi huu tutaendelea kujuzana kwa kairi michango ya watu itakavyokuwa na maswali yatayojitokeza.

Nawakaribisha nyote. Na wote wenye maujuazi au mauzoefu ya huko mbele... karibuni tusaidiane tujenge taifa letu... Tuwasaidie vijana wakasake fursa.

 
Job Search in Japan

Here are some sites that will help you land your dream job in Japan:

1. GaijinPot. They’ve got a ton of position listings.

GaijinPot

2. JREC-In.

Japan Research Career Information Network JREC-IN Portal

If you’ve got a Master’s degree, a few published papers, or a Doctorate, this site is your best friend. Welcome to the exciting world of Japanese academia.



3. Career-Cross.

Bilingual Employment in Japan

This is a great site for people who want to work in bilingual jobs.

5. Daijob.

www.daijob.com


Fluent in Japanese?
if so, then this site lets you compete with native Japanese people for Mechanical Engineering jobs and other professions.
 
Job Search in Japan

Here are some sites that will help you land your dream job in Japan:

1. GaijinPot. They’ve got a ton of position listings.

GaijinPot

2. JREC-In.

Japan Research Career Information Network JREC-IN Portal

If you’ve got a Master’s degree, a few published papers, or a Doctorate, this site is your best friend. Welcome to the exciting world of Japanese academia.



3. Career-Cross.

Bilingual Employment in Japan

This is a great site for people who want to work in bilingual jobs.

5. Daijob.

www.daijob.com


Fluent in Japanese?
if so, then this site lets you compete with native Japanese people for Mechanical Engineering jobs and other professions.
shule kubwa
 
Dah wadau naona thread imepoa au watu mmeshasafiri nini????????????

I have good newz for you nimewasiliana na zile taasisi nilizo sema kwenye project number 2

So mwezi wa 5 Tanganyika mnaweza pata ugeni wa vijana wa 5 kutoka nchi pendwa ya Malta wa tatu wadada na wawili ni wakaka sasa kuhusu kuhost natafuta mtu mwaminifu wa kumuunganisha nao wakija yeye ndio awapokee na kuwatafutia host kama itawezekana


kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
 
Dah wadau naona thread imepoa au watu mmeshasafiri nini????????????

I have good newz for you nimewasiliana na zile taasisi nilizo sema kwenye project number 2

So mwezi wa 5 Tanganyika mnaweza pata ugeni wa vijana 5 wa tatu wadada na wawili ni wakaka sasa kuhusu kuhost natafuta mtu mwaminifu wa kumuunganisha nao wakija yeye ndio awapokee na kuwatafutia host kama itawezekana


kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Mkuu Hatupo kimya tupo kwenye maandalizi.

Tunashukuru saana.

Kwa wale wenzangu yule agent nilionana naye.
 
Daby nina mpango wa kwenda INDIA kuzisaka.je utaniunganisha na huyo agent anifanyie visa yangu na mwanangu ana mwaka mmoja?thanks in advance
 
Hahaha.... nimemwambia izzo anitafutie mchumba kanikaushia haha....

Prishaz baadae nitaweka hiyo ishu ya huyo agent hapa sijatulia fresh hapa nilipo
Hahahahaaahaaa mkuu ww hutaki mchumba bali unataka njia na njia ni kuhost then unatengeneza connection

Kwa nini unadhani nimesema ww uhitaji mchumba ww unataka njia ww nia yako ni kufika Denmark na Sweden so siwezi kukutafutia mtoto wa kimalta akainvest mapenzi na rasilimali zake kwako kumbe ww una akili zako za kwenda kwingine ukaja kuzingua wazungu wana true love si huko mna fake love so unapomfanyia uhuni unamweka ktk wakati mgumu kihisia tena kwa kipindi kirefu
 
mkuu Izzo mimi ni verified host ninatumia Airbnb kupokea wageni.nina nyumba ya vyumba vitano na usafiri wa uhakika.naomba unifikirie
Ulisha fanya kazi hyo kwa kipindi gani?
kama ni mzoefu kweli maana mambo ya ujanja ujanja wa Watanganyika na uongo uongo ndio yamefanya passport ya bongo kutoka free visa nchi 153 mwaka 1961-1980 kupungua mpaka nchi zisizozidi 71 tena zote za kijinga kijinga yenye maana ni Hong Kong na Malaysia tu

Kama kweli naweza kukuunganisha kwani unaweza kufanya hata biashara wao kila kichwa kila siku anatoa dola mia kila siku kwa mwaka wanaweza kuja mpaka 30 au zaidi ya hapo

Bt hapa tuna Project yetu tunaifanya tunataka mpaka kufikia mwaka 2025 vijana karibu 100 au zaidi wawe wameshatoka Tanganyika na wawe wanatuma dola tu huko makwao kwani wenzetu chanzo kimojawapo cha nchi kupata fedha za kigeni ni kupitia raia wao waliopo nje

So hii si biashara bali tuna mipango

Prishaz
 
Daby nina mpango wa kwenda INDIA kuzisaka.je utaniunganisha na huyo agent anifanyie visa yangu na mwanangu ana mwaka mmoja?thanks in advance
Kwa maelezo ya Jamaa anadeal na ulaya saana ila kwa msaada nitajaribu kumuuliza then nikujulishe.

BTW, kuna group ambapo kuna agents na wahitaji misaada if you're interested pm hawa watu wakuunge
ganja gal tombstone Eng Mose @Dr Adams @Wembee
 
Hahahahaaahaaa mkuu ww hutaki mchumba bali unataka njia na njia ni kuhost then unatengeneza connection

Kwa nini unadhani nimesema ww uhitaji mchumba ww unataka njia ww nia yako ni kufika Denmark na Sweden so siwezi kukutafutia mtoto wa kimalta akainvest mapenzi na rasilimali zake kwako kumbe ww una akili zako za kwenda kwingine ukaja kuzingua wazungu wana true love si huko mna fake love so unapomfania uhuni unamweka ktk wakati mgumu kihisia tena kwa kipindi kirefu
Haha kweli mkuu nisije nikambwaga mtoto wa watu bureee... nitakuharibia cv.
 
Ulisha fanya kazi hyo kwa kipindi gani?
kama ni mzoefu kweli maana mambo ya ujanja ujanja wa Watanganyika na uongo uongo ndio yamefanya passport ya bongo kutoka free visa nchi 153 mwaka 1961-1980 kupungua mpaka nchi zisizozidi 71 tena zote za kijinga kijinga yenye maana ni Hong Kong na Malaysia tu

Kama kweli naweza kukuunganisha kwani unaweza kufanya hata biashara wao kila kichwa kila siku anatoa dola mia kila siku kwa mwaka wanaweza kuja mpaka 30 au zaidi ya hapo

Bt hapa tuna Project yetu tunaifanya tunataka mpaka kufikia mwaka 2025 vijana karibu 100 au zaidi wawe wameshatoka Tanganyika na wawe wanatuma dola tu huko makwao kwani wenzetu chanzo kimojawapo cha nchi kupata fedha za kigeni ni kupitia raia wao waliopo nje

So hii si biashara bali tuna mipango

Prishaz
Mkuu izzo uko sawia sana hapa ni mkakati maalum wa namna ya kutoka kupitia option no2. Na hicho ndio kipaumbele chetu kwa sasa (sio uselfish kweli huu🙁)
Daby waweza kutana na mrembo wa Malta ukasahau habari za scandnavia ujue...
 
Mkuu izzo uko sawia sana hapa ni mkakati maalum wa namna ya kutoka kupitia option no2. Na hicho ndio kipaumbele chetu kwa sasa (sio uselfish kweli huu🙁)
Daby waweza kutana na mrembo wa Malta ukasahau habari za scandnavia ujue...

Haaha Prishaz tena mrembo wa kutafutiwa duuh. Unaweza letewa kitu roho haitaki.

BTW, mimi nataka nifie sweden au Denmark
 
mkuu Izzo mimi ni verified host ninatumia Airbnb kupokea wageni.nina nyumba ya vyumba vitano na usafiri wa uhakika.naomba unifikirie
Itakuwa sawa sana kama mkuu izzo ukifanya mazungumzo na hyu verified host ili ujihakikishie usalama wa hawa wageni. Itakuwa poa kama watu wanawapata hao wageni kutoka kwa huyu mdau.
 
Izzo ondoa hofu mkuu.ndio kazi yangu hiyo nasukuma siku.japo siku hizi wageni wamepungua sana kutokana na kodi nyingi na kero kwa wageni.si unajua bongo ni ngumu sana ukiwa huna kazi na una familia.
Bongo roho za mashetani sana
Nafkiri wakati wa uumbaji kuna kinipande kadogo karoho ya shetani ilidondokea bongo
 
Back
Top Bottom