Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ndugu zangu Watanganyika ni muhimu kama huna degree coz kupata White - collar job kwanza ni ngumu kama bado ujapata PR so unaweza kuanza na kazi ndogo ndogo lakini zinalipa vizuri (pay is good) jifunzeni Construction Work , QS's, Carpenter, Painter, Plumber trust me hz kazi zipo nying sana na malipo ni mazuri sana

Kingine kuna hii kitu ambao wengi hawajui lakni ni bonge la dili inaitwa Occupational safety and health ni bonge la dili kwani unafanya kazi sehemu yeyote na kazi huwezi kukosa
Nitakuja kuwapa ujanja wa kusoma hii course online na chuo ambacho kipo chini ya U.S. Department of Labor (DOL) na kama ukimaliza hapo unasoma PROFESSIONAL TRAINING PROGRAMS ukitoka hapo course ni miezi 6 mpaka mwaka ukitoka hapo unapata kazi sehemu yeyote duniani kuanzia kwenye makampuni makubwa , viwanda,taasisi na kwenye sector ya mafuta na gesi watu wengi naona wanakwenda kusoma vitu ambayo watu wengi wanasoma siku ikitokea wametangaza ajira interview inafanyika uwanja wa taifa kwa jinsi mlivyo wengi tatizo tumefungwa ufahamu tumeshindwa kutumia milango sita ya ufahamu nyinyi mnafundishwa kuna milango 5 wenzenu wanafundiswa ni milango sita mpaka 9

Mpaka sasa hv chuo hiki kuna watu laki 3 ndio wamesoma hapa sasa jiulize duniani kuna makampuni mangapi,kuna viwanda vikubwa vingapi kuna nchi ngapi wanachimba gesi na mafuta hakuna kampuni yeyote utakayopeleka cheti cha chuo hiki ukakosa kazi duniani kwani wanafunzi wake wote wapo kwenye data base anachofanya ni kuingia kwenye data base na kuingiza namba zako tu anaona kila kitu so huwezi kufake hata kidogo

Taasisi hii ndio inasimamia maswala ya Safety na Health duniani makampuni na mashirika yote makubwa yanasimamiwa na taasisi hii ambayo iko chini ya U.S. Department of Labor (DOL)

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Thanks mkuu.
 
What's more special in what's up group than this forum? Sijaona umuhimu wa kuhamishia mambo huko?? Ni kujitenga kusikokuwa na tija .

Sio kila member anataka kujulikana ama mawasiliano yake kuwa wazi kwa sababu mbali mbali ikiwepo usalama binafsi.

Kuna mengi yanawezekana kusemwa hapa kwa jukwaa kuliko uko what's up.

Sitegemei matokeo mazuri zaidi kupitia kwa group la whatsup tofauti na hapa kwa huu uzi. Mkiwa kwa group ni members waliojiunga tu ndio mnaoshea lakini hapa yeyote anaweza kuchangia mada kwa muda atakaoona unafaa yeye kufanya hivyo.

Haiwezekani members wote wenye uhitaji huo wa kwenda nje na kupata taarifa wakajiunga.

Group la what's up linaweza kuanzishwa kwa jambo fulani linalohusisha watu wachache tu....pia sio lazima kwani pm inaweza kutumika kufanya hayo yote na sio kama ilivyo apa kwa huu uzi.

Ni mtazamo wangu tu nakubali kupingwa na kukosolewa kwa manufaa ya wengi.

Huu Uzi una viewers zaidi ya 2K then mnafungua group ambalo maximum no ni 256 kwa nini msi share hayo mambo apa kwa huu uzi ili watu wengi zaidi wafaidike????[emoji290] [emoji289] [emoji288]
Wazo zuri je na hao wanaotaka PM unatoa ushauri gani kwao? Rejea huu uzi toka awali, tulianza vizuri sana Izzo alitueleza mambo mengi sana, akatokea mtu na maneno ya kuudhi Izzo akajitoa ndo hapo wazo la whatsapp likaja.
 
Nafikir hapa ni pazuri zaidi kuliko huko kwenye magroup ya watsap...
Hofu inakujaje huko kwenye whatsapp hapa tulikuwa tunaenda vizuri sana mpaka tukapewa plan ya kuhost wageni kujiandikisha ilikuwa tuanze hii April na June waje je unajua kilichotokea?
 
Mkuu uko sahihi sana sijui kwanini wa Tanzania wengi siku hizi wanapenda mno whatsup group! Na ni kitu gani kinafanya huko kwenye magroup iwe rahisi kuandikwa kuliko hapa

Wewe umekuta kila kitu kinajadiliwa hapa kwanini sasa hivi unang'ang'ana mjadala upelekwe whatsup group! Wengine hatupendi hizo whatsup group huoni kuwa utakuwa unatubania kujua mambo mengine tofauti na lengo la mwanzisha Uzi.
Kikubwa kinachohofiwa ni kipi? Rejea huu uzi toka post no 1 jibu la kuanzisha group la whatsapp utapata. Kuhusu PM zilikatazwa lakini hamsemi kuhusu hilo.
 
Wakuu hivi nikipata host wa kumfamfanyia kazi ya kujitolea in USA akanipa mwaliko wa miezi mitatu, itakapoisha ana uwezo wa kuniongezea mda wa kuendelea kuishi kule au sheria ya kule hairuhusu ???
 
Hofu inakujaje huko kwenye whatsapp hapa tulikuwa tunaenda vizuri sana mpaka tukapewa plan ya kuhost wageni kujiandikisha ilikuwa tuanze hii April na June waje je unajua kilichotokea?
Mkuu sijajua faida za watsap, utazoenda kupata mbali na utakazo pata hapa..., ? Ila syo mbaya nendeni ila I hope hapa ni mahari sahihi...kwa maoni yangu...
 
Mkuu sijajua faida za watsap, utazoenda kupata mbali na utakazo pata hapa..., ? Ila syo mbaya nendeni ila I hope hapa ni mahari sahihi...kwa maoni yangu...
Mkuu kilichopelekea kuanza kwa whatsapp ni kejeli, dharau na kuita waleta mada matapeli toka kwa baadhi ya wachangiaji, Nina imani yeyote anaejiamini kwa kauli na matendo yake mema Hana haja ya kujificha atakuja tu huko.
 
Mkuu sijajua faida za watsap, utazoenda kupata mbali na utakazo pata hapa..., ? Ila syo mbaya nendeni ila I hope hapa ni mahari sahihi...kwa maoni yangu...
Anza mwanzo kabisa utajua nini kilisababisha watu wafikirie kuanzisha grup la Whatssap. kwani kuna watu humu hawakuwa nania njema kwenye huu uzi. So watu wakaona kwakuwa si wote wenye nia njema humu bora kuepukana nao kwa njia hiyo na njia pekee ni kuunda grup la..........
 
Wakuu hivi nikipata host wa kumfamfanyia kazi ya kujitolea in USA akanipa mwaliko wa miezi mitatu, itakapoisha ana uwezo wa kuniongezea mda wa kuendelea kuishi kule au sheria ya kule hairuhusu ???
tourist visa ya US hata ukiomba week2 utapewa ya mwaka mzima, ipo hivyo. sema ukisema utakaa week2 then ukakaa miezi 12 na ukarudi bongo siku ukienda omba tena unaweza usipewe....ongea na host wako atakupa info zaidi....
 
Anza mwanzo kabisa utajua nini kilisababisha watu wafikirie kuanzisha grup la Whatssap. kwani kuna watu humu hawakuwa nania njema kwenye huu uzi. So watu wakaona kwakuwa si wote wenye nia njema humu bora kuepukana nao kwa njia hiyo na njia pekee ni kuunda grup la..........
Poa mkuu, japo nilikuwepo tangu mwanzo..., niliamin ni changamoto tuu..., ila syo mbaya...
 
Mkuu kilichopelekea kuanza kwa whatsapp ni kejeli, dharau na kuita waleta mada matapeli toka kwa baadhi ya wachangiaji, Nina imani yeyote anaejiamini kwa kauli na matendo yake mema Hana haja ya kujificha atakuja tu huko.

Mkuu Zogoo da khama umenena vyema.
Sijui wengi Au wachache ambao hatupendi kujiunga kwenye magroup ya WhatsApp.
Ukiangalia ktk hili jukwaa mpaka Sasa hatuwaoni wale wenye dharau na kejeli.Wengi wamechangia kutoka Japan Na sehemu tofauti.
Vilevile kaka Izzo ametoa Maelezo Kwa mmoja wetu ambaye anakwenda Japan.Sisi wote tumejifunza mambo manne kuhusu Watu wa nchi za Asia.Kama wote tungekuwa kwenye group wangapi wangeyajua hayo.
Muhimu katika huu uzi unachunguza CV za Watu ambao wana nia ya kutoka au la.
Ni rahisi kuwasaidia wenye nia ya kweli.
 
Saf
tourist visa ya US hata ukiomba week2 utapewa ya mwaka mzima, ipo hivyo. sema ukisema utakaa week2 then ukakaa miezi 12 na ukarudi bongo siku ukienda omba tena unaweza usipewe....ongea na host wako atakupa info zaidi....
Asante mkuu nimeelewa sasa baada ya miezi 12 kuisha anaweza kuniombea tena mingine 12 au zaidi???? Pia mda huo wa miezi 12 naweza kupiga kazi hela ???? au sheria hairuhusu ???
 
Saf

Asante mkuu nimeelewa sasa baada ya miezi 12 kuisha anaweza kuniombea tena mingine 12 au zaidi???? Pia mda huo wa miezi 12 naweza kupiga kazi hela ???? au sheria hairuhusu ???
sheria zao haziruhusu tourists kufanya kazi, kama wenyeji wako ni wajanja waweza faaanya kazi kwa watu wanaowaamini, maana kuna hofu ya kudhurumiwa ukakosa pa kuripoti maana hukutakiwa fanya hizo kazi.
 
Mkuu Zogoo da khama umenena vyema.
Sijui wengi Au wachache ambao hatupendi kujiunga kwenye magroup ya WhatsApp.
Ukiangalia ktk hili jukwaa mpaka Sasa hatuwaoni wale wenye dharau na kejeli.Wengi wamechangia kutoka Japan Na sehemu tofauti.
Vilevile kaka Izzo ametoa Maelezo Kwa mmoja wetu ambaye anakwenda Japan.Sisi wote tumejifunza mambo manne kuhusu Watu wa nchi za Asia.Kama wote tungekuwa kwenye group wangapi wangeyajua hayo.
Muhimu katika huu uzi unachunguza CV za Watu ambao wana nia ya kutoka au la.
Ni rahisi kuwasaidia wenye nia ya kweli.
Issue ya what's app group iliibuka baada ya jamaa mmoja (though iligundulika ni tapeli) kujaribu kupoteza lengo la thread hii, so ili tuweze kutambuana (maana humu tunatumia fake ID's) na kuepusha udanganyifu ikaonekana its better kukutana pia huko kwa what's app group.
 
Issue ya what's app group iliibuka baada ya jamaa mmoja (though iligundulika ni tapeli) kujaribu kupoteza lengo la thread hii, so ili tuweze kutambuana (maana humu tunatumia fake ID's) na kuepusha udanganyifu ikaonekana its better kukutana pia huko kwa what's app group.

Mkuu Saplaiz
Toka uzi ulivyo anzishwa Na Mkuu Lusungo sijaondoka Ktk hili jukwaa.Hata wafitini walivyo chafua hali ya hewa Na Mkuu Izzo akasita kuendelea Na programs hivyo vyote nimevisoma.Kwa bahati nzuri tu wafitini wameweza kutusaidia kuwaona WaTanzania wengi NI wakarimu,wazalendo Na hawana roho za Kwa nini.Kwa wanao taka kuwa kwenye magroup ni sawa tu:
 
Back
Top Bottom