Ndugu zangu Watanganyika ni muhimu kama huna degree coz kupata White - collar job kwanza ni ngumu kama bado ujapata PR so unaweza kuanza na kazi ndogo ndogo lakini zinalipa vizuri (pay is good) jifunzeni Construction Work , QS's, Carpenter, Painter, Plumber trust me hz kazi zipo nying sana na malipo ni mazuri sana
Kingine kuna hii kitu ambao wengi hawajui lakni ni bonge la dili inaitwa Occupational safety and health ni bonge la dili kwani unafanya kazi sehemu yeyote na kazi huwezi kukosa
Nitakuja kuwapa ujanja wa kusoma hii course online na chuo ambacho kipo chini ya U.S. Department of Labor (DOL) na kama ukimaliza hapo unasoma PROFESSIONAL TRAINING PROGRAMS ukitoka hapo course ni miezi 6 mpaka mwaka ukitoka hapo unapata kazi sehemu yeyote duniani kuanzia kwenye makampuni makubwa , viwanda,taasisi na kwenye sector ya mafuta na gesi watu wengi naona wanakwenda kusoma vitu ambayo watu wengi wanasoma siku ikitokea wametangaza ajira interview inafanyika uwanja wa taifa kwa jinsi mlivyo wengi tatizo tumefungwa ufahamu tumeshindwa kutumia milango sita ya ufahamu nyinyi mnafundishwa kuna milango 5 wenzenu wanafundiswa ni milango sita mpaka 9
Mpaka sasa hv chuo hiki kuna watu laki 3 ndio wamesoma hapa sasa jiulize duniani kuna makampuni mangapi,kuna viwanda vikubwa vingapi kuna nchi ngapi wanachimba gesi na mafuta hakuna kampuni yeyote utakayopeleka cheti cha chuo hiki ukakosa kazi duniani kwani wanafunzi wake wote wapo kwenye data base anachofanya ni kuingia kwenye data base na kuingiza namba zako tu anaona kila kitu so huwezi kufake hata kidogo
Taasisi hii ndio inasimamia maswala ya Safety na Health duniani makampuni na mashirika yote makubwa yanasimamiwa na taasisi hii ambayo iko chini ya U.S. Department of Labor (DOL)
kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike