Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Feedback zitakuja ngoja watu tutulie tujue hata pakuazima moto
Ebana feedback muhimu babalai, si unajua tena motivation kwa ambao bado wako nyuma, naona kimya kingi hata amasa hamna tena.
 
Ebana feedback muhimu babalai, si unajua tena motivation kwa ambao bado wako nyuma, naona kimya kingi hata amasa hamna tena.
Ni kweli...
Sema kutoa feedback wakati hauna hata miezi unaweza kuongopa. Ndiyo yale utaulizwa maswali unashindwa kujibu unaambiwa upo kwa mtogole. Tuwe wavumilivu.[emoji4]
 
Ni kweli...
Sema kutoa feedback wakati hauna hata miezi unaweza kuongopa. Ndiyo yale utaulizwa maswali unashindwa kujibu unaambiwa upo kwa mtogole. Tuwe wavumilivu.[emoji4]
Ahahah.. Ni kweli arifu, Fanya kufamiliarize kwanza mazingira kisha utujuze baada ya kuwa na info zote,
 
Wakuu vipi kuhusu maisha ya istanbul, Turkey?
Kazi zinapatikana huko?

Sent from my SM-T561 using JamiiForums mobile app
 
Europe kumekua kugumu sana kuingia siku hizi, ninaona wadada wengi wanaopata mwaliko wa miezi sita wanaingia online dating wakifika nchi hiyo kwani ni rahisi kukutana na mhusika wakati ukiwa pale, wakishaonana dinner mbili tatu anamweleza kuwa amekuja for visiting na inabidi arudi bongo. Kama date amekolea basi atamfuata bongo na mambo yanaendelea kutoka pale.
Nenda marekani mzee Don the Trump kafuta visa unaingia bila visa miezi sita
 
Europe kumekua kugumu sana kuingia siku hizi, ninaona wadada wengi wanaopata mwaliko wa miezi sita wanaingia online dating wakifika nchi hiyo kwani ni rahisi kukutana na mhusika wakati ukiwa pale, wakishaonana dinner mbili tatu anamweleza kuwa amekuja for visiting na inabidi arudi bongo. Kama date amekolea basi atamfuata bongo na mambo yanaendelea kutoka pale.
naomba ushauri if you are familiar with japan
 
jamani naomba ushauri nataka kwenda japan for a while then ni sehemu gani katika nchi ya japan ni nzuriiiiiiii zaidi mimi nina miaka 25 na nina hold bsc in computer science please naomba ushauriiiiiiii wenu

Mkuu huu uzi unazo taarifa nyingi kuhusu Japan Na sehemu nyingi tofauti duniani.
Tafadhali soma.Watu wengi waliuliza maswali yako Na wataalamu wakayajibu.
 
Back
Top Bottom