Chukua hata Linglong tu kama ndo hvoOk coz gari yenywe muda mwingi ni town trip na kazini...safari ya mbali ni Arusha to Dar kwa mwaka mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Je linglong ni imara zaidi kuliko goodride??
Habari wapendwa,
Ninahitaji kubadilisha matairi ya gari size 195/70 R14
Ninaomba kufahamu uzuri na ubaya wa brands zifuatazo
1.YANA
2.APOLLO
3.JK TYRES
4.TRIANGLE
5.GOODRIDE
Bajeti yangu itaruhusu brands nilizoorodhesha ila unaweza kuongeza nyingine na kutoa ushauri..
Natangulisha shukrani..
Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana kwa mchango wako...umefafanua vizuri sanaMkuu amani!
Sasa mimi sio fundi wala sio mtaalam sana wa hivi vitu ila naweza kupatia uzoefu wangu wa kuwa na magari kadhaa na kutumia tairi tofauti tofauti.
Kwa maoni yangu, ununuzi wa tairi hutegemea na mfuko wako, matumizi yako, interest/prestige yako.
1. Sasa basi kama gari yako ni kwa matumizi ya town trips tu, nakuhakikishia tairi yeyote mpya inatosha kwa matumizi hayo na itakufaa kwa muda mrefu tu. Hivyo waweza nunua yeyote kati ya hizo. 100% Ok.
Ila kama matumizi yako una safari za mara chache za mbali tairi nyingi za bei nafuu zaweza kufaa kwa 75% ndani ya mwaka hivi.
Kama aina ya gari ni sedan, ambayo unatumia tu katika barabara nyingi za lami bado zipo sawa kwa kiwango kikubwa tu.
Kama gari yako ni suv na mara nyingi upo offroad basi kwa maoni yangu Bf Goodrich na Dunlop wana tairi nzuri sana kwa mahitaji hayo.
Kama una SUV na unapenda mwendo kasi kwa maoni yangu hakuna tairi nzuri kuzidi Michellin. Ni nyepesi na ni imara yaani kasi no ya kufa mtu.
2. Mfuko wako - Kama pesa yako ni ya kuunga,
Kwa sedan tairi ulizozitaja zote ni nzuri ila goodride ni best.
Kwa SUV, Linglong ana tairi nzuri kama utakuwa offroad sana.
Ila kama pesa ni ya kutosha tairi bora kwa suv offroad ni Bf Goodrich na kwa mwendo ni Michellin ila uwe na pesa ya kutosha.
3. Prestige - Kuna watu hawataki tairi zenye majina madogo so wanataka majina makubwa ikiwa ni sehemu ya hadhi.
Kama upo kundi hili nunua matairi yenye majina makubwa kama niliyoyataja, la hasha nunua hayo ambayo hayafahamiki lakini yanaweza kukufaa.
Mwisho: Lipo suala la uimara, ukweli ni kwamba tairi mpya ni mpya tu hata iwe na jina gani. Unaweza kuitumia mwaka mzima bila kupata shida yeyote. Nina maanisha kuwa tairi nyingi mpya ni reliable.
Ila zipo nyingine ni imara zaidi na zina ubora zaidi katika mazingira fulani fulani na hapo ndipo bei zinatofautiana.
Naomba kuwasilisha.
Ukimya nao ni jibu mkuuDaah....tutaifikia kweli ile nchi ya viwanda kwa uwepo wa watu kama wewe...???
Anyway. asanye kwa kuongeza coments
Sent using Jamii Forums mobile app
Zako unanunuaga kwa sh. ngapi mkuu?
Ubora wa tairi inategemea na matumizi ya gari yako.Habari wapendwa,
Ninahitaji kubadilisha matairi ya gari size 195/70 R14
Ninaomba kufahamu uzuri na ubaya wa brands zifuatazo
1.YANA
2.APOLLO
3.JK TYRES
4.TRIANGLE
5.GOODRIDE
Bajeti yangu itaruhusu brands nilizoorodhesha ila unaweza kuongeza nyingine na kutoa ushauri..
Natangulisha shukrani..
Sent using Jamii Forums mobile app
Je linglong ni imara zaidi kuliko goodride??
Mwanzo nilikuwa natumia YANA zipo vizuri sana...ila ndiyo zinaishia na madukani hapa Arusha hazipo kwa sasa wanadai haziwi imported tena TZ[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu pale Manjis kwa wale wahindi..wana tairi aina nyingi sana.Mkuu Boeing 747 , naulizia hizi tyre hapo Arusha: GOODYEAR (Efficient Grip), 185/65/15/ 88H. Made in South Africa.
Zinapatikana hapo Arusha?
Zipo vizuri nazo hazina shida ila upatikanaji wake ndo wa shidaWakuu, vipi kuhusu KUMHO? Zipo vema?
Blacklion ndo level za goodride na linglongNunua blacklion
Naunga mkono hoja.Mkuu funga Dunlop kama wewe ni mtu wa safari sana
Kuhusu goodride haina shida nayo iko vizuri ila haiwezi kuifikia dunlop kwa ubora
Bf goodrich ni bora zaidi ya tyre zote ila shida ni moja wamewekeza zaidi kwenye magari makubwa mfano rav4, harrier, na kuendelea
Umeitaja YANA hii siku hizi hazipo hapa bongo kiwanda kimefungwa kwahyo kama ikitokea umeipata basi utaikuta ni ya mwaka 2010
Mkuu funga Dunlop kama wewe ni mtu wa safari sana
Kuhusu goodride haina shida nayo iko vizuri ila haiwezi kuifikia dunlop kwa ubora
Bf goodrich ni bora zaidi ya tyre zote ila shida ni moja wamewekeza zaidi kwenye magari makubwa mfano rav4, harrier, na kuendelea
Umeitaja YANA hii siku hizi hazipo hapa bongo kiwanda kimefungwa kwahyo kama ikitokea umeipata basi utaikuta ni ya mwaka 2010
Feki hakuna na Dunlop zote lazima waoneshe hivyo vitu vyote muhimu nahisi hukutazama vizuri mkuuKuna hizi Dunlop size ndogo (made by Sumitomo - South Africa), na feki zipo?
Hawajaandika rating ya TRACTION wala TREADWEAR wala TEMPERATURE.
Pia haioneshi side ipi ni INSIDE or OUTSIDE. Niliziogopa!
Lakini kuna Dunlop same size (made by Appollo - South Africa) zinadisplay sidewall readings zote muhimu including TREADWEAR, TRACTION, TEMPERATURE.
Hilo lipoje mkuu?
Mimi mtu wa long trips mara kwa mara, kilometer 980+ kila mwezi. As such, siwezi kamwe kufunga tyre ambayo haioneshi TEMPERATURE rating yake.
Cc: Boeing 747