Ushauri: Matairi ya gari

Ushauri: Matairi ya gari

Feki hakuna na Dunlop zote lazima waoneshe hivyo vitu vyote muhimu nahisi hukutazama vizuri mkuu

Mkuu, trust me. Kwa macho yangu nimekagua sana carefully na kushuhudia Dunlop 185/65/15 ya South Africa (made by Sumitomo) hazina kabisa rating ya TREADWEAR wala TEMPERATURE wala TRACTION.

Ilinishangaza sana! Muuzaji akasema kuwa eti size hiyo tu (185) Dunlop hawawekagi hizo ratings tajwa.

Nilizunguka kwa sellers wengine watatu tofauti, kote hali ni ile ile. Tairi haioneshi TEMPERATURE wala TRACTION wala TREADWEAR ratings.

Nikaelekezwa niende kwa NAS Tyres ltd kwamba ndiyo Authorized Dealer wa Dunlop kwa kanda hiyo. Nas tyres wakanambia hawauzi rejareja. Wakanilink na agent wao aliyepo pale pale mjini. Nikaenda kwa agent, akanambia nisubiri lisaa limoja tyre zitakuwa tayari. Tyres zilipofika, ni vile vile... hazina rating ya temperature wala TREADWEAR wala TRACTION. Dunlop 185/65/15 by Sumitomo South Africa.

Nikaenda Autoexpress garage... wakawa hawana hizo tyre.

Nikaghaili na kuachana nazo!!

Ilikuwa ni Mwanza. Nilikuwa nahitaji tyres 6 za Dunlop size tajwa.

So, nahisi kabisa Dunlop size 185/65/15 zilizopo Mwanza ni fekero!!

Mkuu, naomba nawe ulichunguze hili, specifically Dunlop za Sumitomo South Africa, size 185/65/15 zilizopo hapo dukani kwako, zinaonesha ratings za temperature na traction na treadwear?
 
Mkuu, trust me. Kwa macho yangu nimekagua sana carefully na kushuhudia Dunlop 185/65/15 ya South Africa (made by Sumitomo) hazina kabisa rating ya TREADWEAR wala TEMPERATURE wala TRACTION.

Ilinishangaza sana! Muuzaji akasema kuwa eti size hiyo tu (185) Dunlop hawawekagi hizo ratings tajwa.

Nilizunguka kwa sellers wengine watatu tofauti, kote hali ni ile ile. Tairi haioneshi TEMPERATURE wala TRACTION wala TREADWEAR ratings.

Nikaelekezwa niende kwa NAS Tyres ltd kwamba ndiyo Authorized Dealer wa Dunlop kwa kanda hiyo. Nas tyres wakanambia hawauzi rejareja. Wakanilink na agent wao aliyepo pale pale mjini. Nikaenda kwa agent, akanambia nisubiri lisaa limoja tyre zitakuwa tayari. Tyres zilipofika, ni vile vile... hazina rating ya temperature wala TREADWEAR wala TRACTION. Dunlop 185/65/15 by Sumitomo South Africa.

Nikaenda Autoexpress garage... wakawa hawana hizo tyre.

Nikaghaili na kuachana nazo!!

Ilikuwa ni Mwanza. Nilikuwa nahitaji tyres 6 za Dunlop size tajwa.

So, nahisi kabisa Dunlop size 185/65/15 zilizopo Mwanza ni fekero!!

Mkuu, naomba nawe ulichunguze hili, specifically Dunlop za Sumitomo South Africa, size 185/65/15 zilizopo hapo dukani kwako, zinaonesha ratings za temperature na traction na treadwear?
Ngoja nizikague nitakupa mrejesho mkuu
 
Fanya hivyo mkuu. Nasubiri mrejesho wako.
Aisee!! Kweli Dunlop ya Sumitomo hawaandiki hivyo vitu
20210405_104422.jpg
View attachment 1743876
 
Aisee!! Kweli Dunlop ya Sumitomo hawaandiki hivyo vituView attachment 1743877View attachment 1743876

Yes mkuu. Inashangaza kwanini hawaandiki hizo ratings. Hizo marking ni lazima ziwepo. Ni 'standard' requirement kwenye utengenezaji wa tyre.

Dunlop ya Appollo - South Africa wanaandika kila kitu.

Hata hizi tyre lonya lonya za kichina wanaandika marking zote.

Hii Dunlop ya Sumitomo sina imani nayo kwa long trip za mara kwa mara... kusaga lami kutwa nzima kilomita 980 halafu hujuwi temperature rating ya tyre. Ni majanga!!!!
 

Halafu wauzaji wengi wa tyre hawajuwi hata hizo markings. Wanajua kuangalia size tu, basi!!

Ukiwauliza kuhusu load index, speed index, au temperature rating, hawakuelewi kabisa!!

Kwa mtu wa long trip za kilomita nyingi, ni muhimu mno kufahamu uwezo wa tyre yako kuhimili joto (msuguano wa tyre na lami). Yaani ni issue ya kuzingatia sana!! Ila kama ni mtu wa town trips tu za hapa na pale, sio inshu.
 
Halafu wauzaji wengi wa tyre hawajuwi hata hizo markings. Wanajua kuangalia size tu, basi!!

Ukiwauliza kuhusu load index, speed index, au temperature rating, hawakuelewi kabisa!!

Kwa mtu wa long trip za kilomita nyingi, ni muhimu mno kufahamu uwezo wa tyre yako kuhimili joto (msuguano wa tyre na lami). Yaani ni issue ya kuzingatia sana!! Ila kama ni mtu wa town trips tu za hapa na pale, sio inshu.
Hii inatokana na wateja wengi kutokujua hivyo vitu yani wateja hawatuulizi hivyo vitu na laiti kama wangekuwa wanatuuliza basi wasingekosa majibu
 
Halafu wauzaji wengi wa tyre hawajuwi hata hizo markings. Wanajua kuangalia size tu, basi!!

Ukiwauliza kuhusu load index, speed index, au temperature rating, hawakuelewi kabisa!!

Kwa mtu wa long trip za kilomita nyingi, ni muhimu mno kufahamu uwezo wa tyre yako kuhimili joto (msuguano wa tyre na lami). Yaani ni issue ya kuzingatia sana!! Ila kama ni mtu wa town trips tu za hapa na pale, sio inshu.
185/70/R14 Hazijaandika
195/70/R14 Hazijaandikwa
195/65/R15 Hazijaandikwa
205/65/R15 Hazijaandikwa
205/55/R16 Hazijaandikwa
215/60/R16 Hazijaandikwa
Hizi zote ni Dunlop chini ya Sumitomo rubber south africa
 
185/70/R14 Hazijaandika
195/70/R14 Hazijaandikwa
195/65/R15 Hazijaandikwa
205/65/R15 Hazijaandikwa
205/55/R16 Hazijaandikwa
215/60/R16 Hazijaandikwa
Hizi zote ni Dunlop chini ya Sumitomo rubber south africa

Kumbe. Sawa mkuu
 
185/70/R14 Hazijaandika
195/70/R14 Hazijaandikwa
195/65/R15 Hazijaandikwa
205/65/R15 Hazijaandikwa
205/55/R16 Hazijaandikwa
215/60/R16 Hazijaandikwa
Hizi zote ni Dunlop chini ya Sumitomo rubber south africa

Ukipata Dunlop 185/65/15 iliyoandikwa markings zote, unistue mkuu nikuchangie.

Pia Goodyear 185/65/15 nayo imekuwa adimu sana. Dar nzima nimekosa hii tyre!!
 
Ukipata Dunlop 185/65/15 iliyoandikwa markings zote, unistue mkuu nikuchangie.

Pia Goodyear 185/65/15 nayo imekuwa adimu sana. Dar nzima nimekosa hii tyre!!
Good year ipo 195/65/R15
 
Mkuu funga Dunlop kama wewe ni mtu wa safari sana
Kuhusu goodride haina shida nayo iko vizuri ila haiwezi kuifikia dunlop kwa ubora
Bf goodrich ni bora zaidi ya tyre zote ila shida ni moja wamewekeza zaidi kwenye magari makubwa mfano rav4, harrier, na kuendelea
Umeitaja YANA hii siku hizi hazipo hapa bongo kiwanda kimefungwa kwahyo kama ikitokea umeipata basi utaikuta ni ya mwaka 2010
Tatizo la Dunlop hakuna mwendo mule
 
Feki hakuna na Dunlop zote lazima waoneshe hivyo vitu vyote muhimu nahisi hukutazama vizuri mkuu
Im not sure, mimi kwa sasa nina Dunlop made in S.Africa.....naona ina derails zote kwenye side wall..

I think pia kuna Dunlop za Japan mbazo ni ghali kidogo kuliko Hizi za S.Africa
 
Mkuu, trust me. Kwa macho yangu nimekagua sana carefully na kushuhudia Dunlop 185/65/15 ya South Africa (made by Sumitomo) hazina kabisa rating ya TREADWEAR wala TEMPERATURE wala TRACTION.

Ilinishangaza sana! Muuzaji akasema kuwa eti size hiyo tu (185) Dunlop hawawekagi hizo ratings tajwa.

Nilizunguka kwa sellers wengine watatu tofauti, kote hali ni ile ile. Tairi haioneshi TEMPERATURE wala TRACTION wala TREADWEAR ratings.

Nikaelekezwa niende kwa NAS Tyres ltd kwamba ndiyo Authorized Dealer wa Dunlop kwa kanda hiyo. Nas tyres wakanambia hawauzi rejareja. Wakanilink na agent wao aliyepo pale pale mjini. Nikaenda kwa agent, akanambia nisubiri lisaa limoja tyre zitakuwa tayari. Tyres zilipofika, ni vile vile... hazina rating ya temperature wala TREADWEAR wala TRACTION. Dunlop 185/65/15 by Sumitomo South Africa.

Nikaenda Autoexpress garage... wakawa hawana hizo tyre.

Nikaghaili na kuachana nazo!!

Ilikuwa ni Mwanza. Nilikuwa nahitaji tyres 6 za Dunlop size tajwa.

So, nahisi kabisa Dunlop size 185/65/15 zilizopo Mwanza ni fekero!!

Mkuu, naomba nawe ulichunguze hili, specifically Dunlop za Sumitomo South Africa, size 185/65/15 zilizopo hapo dukani kwako, zinaonesha ratings za temperature na traction na treadwear?
Mkuu nimechunguza yangu, Ni kweli hizo details hazipo zote...[emoji847][emoji847][emoji38]

Yangu ni Made in South Africa basiii...hakuna sijui Made by Sumitomo au Apollo..

Kwa sababu zinakaribia kumaliza maisha, nitazivua wakati wowote....

Nadhani u.eleta changamoto nzuri, watu tuwe makini zaidi kwenye chaguzi za tairi..

Kuna matairi mengine ni maalumu kwa nchi za baridi
IMG_20210405_131334.jpg
IMG_20210405_130628.jpg
 
Mkuu nimechunguza yangu, Ni kweli hizo details hazipo zote...[emoji847][emoji847][emoji38]

Yangu ni Made in South Africa basiii...hakuna sijui Made by Sumitomo au Apollo..

Kwa sababu zinakaribia kumaliza maisha, nitazivua wakati wowote....

Nadhani u.eleta changamoto nzuri, watu tuwe makini zaidi kwenye chaguzi za tairi..

Kuna matairi mengine ni maalumu kwa nchi za baridi
View attachment 1744043View attachment 1744044

Nahisi kuna uchakachuaji kwenye hizi tyre zinazoingizwa soko la Africa. Mchina anafanya magumashi yake.

Kwenye uzalishaji wa tyre, duniani kote, manufacturer anatakiwa aoneshe details zote muhimu kwenye tairi: Year of manufacture; speed & load index; ratings of Temperature/Traction/Treadwear; Certification symbol, n.k. Hizi ni standard requirements, ni lazima zidisplay kwenye tyre.
 
Mkuu nimechunguza yangu, Ni kweli hizo details hazipo zote...[emoji847][emoji847][emoji38]

Yangu ni Made in South Africa basiii...hakuna sijui Made by Sumitomo au Apollo..

Kwa sababu zinakaribia kumaliza maisha, nitazivua wakati wowote....

Nadhani u.eleta changamoto nzuri, watu tuwe makini zaidi kwenye chaguzi za tairi..

Kuna matairi mengine ni maalumu kwa nchi za baridi
View attachment 1744043View attachment 1744044

Mkuu,

IMG_20210405_140350.jpg
 
Jaribu pale Manjis kwa wale wahindi..wana tairi aina nyingi sana.

Mkuu, nikushukuru.

Nimewasiliana na hao Manjis Arusha. Wanazo tyre ninazohitaji: GOODYEAR 'Efficient Grip' 185/65/15 made in South Africa.

Thanks mkuu
 
Back
Top Bottom