Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

Naposema Stress free namanisha kwamba fedha yako kwa asilimia kubwa haina risk ya kupotea compared to other biznes ambao unaweza kununua product ukakuta price ime depreciate ukala loss ama kufilisi mtaji wote kabisa.

Kwa case ya Uwakala ni kiasi tu cha wewe kuwa makini na miamala usije pigwa kwa miamala hewa basi. Mleta mada ukiwa tayari nipo tayari uniajiri kwa malipo ya 300k tu per month nikufanyie kazi yako kwa uhakika zaidi.
Location unayo??
 
Kibanda umiza Kama anasehemu kabisa sawa lakini Kama ndio ajenge kwa makuti standard haitoshi

Mimi Kuna jamaa huku amejenga Banda la makuti of standard kabisa na tv tatu za nchi 55, imemlia 7m

Sema siku hakuna Mechi ni mwendo wa ps tu yaani itamlipa tu
Biashara za kitoto hizi kibanda umiza na PS

Pamoja na wale wauza movies
 
Maswali mawili tu .
1. Wewe ni unaishi mazingira gani halafu halafu ushauriwe.

Maana huwezi fanya mazao na huku umekulia ushuwani lazima ufungue biashara ya wakala wa kutoa pesa
 
Naombeni ushauri Wakuu nina mtaji wa milioni 2 naitaji kufanya biashara Dar es Salaam, ni biashara gani itayonifanya niweze kupata faida.
Vp mkuu umeshapata muongozo au uje hapa pweza tufungue mawazo. Ideas na maono ya biashara yanapatikana bar only. Imagine umepoa na mtoto mzuri halafu wana wanaangusha ideas mbali mbali lazima utoboe.
 
Maswali mawili tu .
1. Wewe ni unaishi mazingira gani halafu halafu ushauriwe .

Maana huwezi fanya mazao na huku umekulia ushuwani lazima ufungue biashara ya wakala wa kutoa pesa
Kwasasa nipo Songea ila nimemaliza Chuo juzi Kat hapa udsm pale ila Nia yangu ni kuanza hrkt za maisha Dar
 
Vp mkuu umeshapata muongozo au uje hapa pweza tufungue mawazo. Ideas na maono ya bishara yanapatikana bar only. Imagine umepoa na mtoto mzuri alafu wana wanaangusha ideas mbali mbali lazima utoboe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pesa hapo itapepea kama upepo nashukur watu wa jamii forum ni vichwa
 
Back
Top Bottom