Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko ndiyo kwenye hela sasa mdogo wangu kwa mtaji wa 2m ulio naoMtu wa kati kwenye kilimo niliiwaza pia ila kwa Sasa nmechelewa labda msimu ujao maazao yamepanda na unajua naweza kununua saiz kufika sokon unakuta yameshuka bei tena
Ndio mkuuu nais hii biashara ya uwakala wa Pesa itafaa maana kidogo Ina risk ndogo kwa SasaHuko ndiyo kwenye hela sasa mdogo kwa mtaji wa 2m ulio nao
Angalia jinsi ya kuizungusha hiyo hela sSa hivi isipotee ikifika msimu ingia shamba kawe mtu wa kati
Utaletewa mkuu, vipo ila afya yake nadhani itakua ya ovyo sana.Wapi huko wanauza kitoto cha nguruwe elf 30?
Nileteeni vya 3m viwe mia
Sawa ila biashara inayolipa kwa sasa ni biashara yamazao ndio utatoka ukipatia sehemu nzuri yenye rotuba na mahindi , maharage yanalipa sana hata karoti, ila mahindi hutofilisikaKwasasa nipo Songea ila nimemaliza Chuo juzi Kat hapa udsm pale ila Nia yangu ni kuanza hrkt za maisha Dar
Sasa unataka kwenda dar ukifanikiwa, utarudi kufanya kilimo hiko na kuachana na biashara Yako.Inatakiwa kuwa na Kaz Inayoweza kuzalisha Pesa ya kujikim maana nkisema nianze saiz ad kuanza kupata maazao yake ni kuanzia miez minne na kukaaa nyumban kusibil miez minne ntakukuta nikiangukia mule mule kuwa tegemez mpango wa Maswala ya nyuki nnao ila natafta kitu cha kuniwezesha kujikim
Kusoma usome wewe, kuendesha waendeshe wengine mkuu. Kilimo Cha simu hakijawahi kumtoa mtu. Ila Fanya uwezavyo utumie taaluma Yako uliyoipata udsmKilimo kinaendeshwa ata Nikiwa mbal wasimamiz wapo
Dar kuuza mazao ni sawa na ni centre nzuri haiusiani na yeye kwenye biashara hiiSasa unataka kwenda dar ukifanikiwa, utarudi kufanya kilimo hiko na kuachana na biashara Yako.
Hii biashara ikojeKama uko location nzuri fungua Grocery utuuzie Windhoek zilizochakachuliwa na Wachina wa Kibaha
Utapata faida
Siyo yote mkuu anabaki na kama 500k hiviUnataka kulipwa kamishen yote mkuu [emoji28]
Kabisa mkuu kikubwa location tuMillion 2 inaweza kuzalisha 800k simply every month?
Kabisa mkuu kikubwa location tu
Kwa mtaji huo, akulipe laki tatu?Naposema Stress free namanisha kwamba fedha yako kwa asilimia kubwa haina risk ya kupotea compared to other biznes ambao unaweza kununua product ukakuta price ime depreciate ukala loss ama kufilisi mtaji wote kabisa.
Kwa case ya Uwakala ni kiasi tu cha wewe kuwa makini na miamala usije pigwa kwa miamala hewa basi. Mleta mada ukiwa tayari nipo tayari uniajiri kwa malipo ya 300k tu per month nikufanyie kazi yako kwa uhakika zaidi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwaka UHU utatoboa kwenye biashara ya electronics mkuu mwaka UHU.