Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

Mtu wa kati kwenye kilimo niliiwaza pia ila kwa Sasa nmechelewa labda msimu ujao maazao yamepanda na unajua naweza kununua saiz kufika sokon unakuta yameshuka bei tena
Huko ndiyo kwenye hela sasa mdogo wangu kwa mtaji wa 2m ulio nao

Angalia jinsi ya kuizungusha hiyo hela sSa hivi isipotee ikifika msimu ingia shamba kawe mtu wa kati
 
Kwasasa nipo Songea ila nimemaliza Chuo juzi Kat hapa udsm pale ila Nia yangu ni kuanza hrkt za maisha Dar
Sawa ila biashara inayolipa kwa sasa ni biashara yamazao ndio utatoka ukipatia sehemu nzuri yenye rotuba na mahindi , maharage yanalipa sana hata karoti, ila mahindi hutofilisika
 
Inatakiwa kuwa na Kaz Inayoweza kuzalisha Pesa ya kujikim maana nkisema nianze saiz ad kuanza kupata maazao yake ni kuanzia miez minne na kukaaa nyumban kusibil miez minne ntakukuta nikiangukia mule mule kuwa tegemez mpango wa Maswala ya nyuki nnao ila natafta kitu cha kuniwezesha kujikim
Sasa unataka kwenda dar ukifanikiwa, utarudi kufanya kilimo hiko na kuachana na biashara Yako.
 
Jaribu Hii Boss naweza kukusaidia
 
Naposema Stress free namanisha kwamba fedha yako kwa asilimia kubwa haina risk ya kupotea compared to other biznes ambao unaweza kununua product ukakuta price ime depreciate ukala loss ama kufilisi mtaji wote kabisa.

Kwa case ya Uwakala ni kiasi tu cha wewe kuwa makini na miamala usije pigwa kwa miamala hewa basi. Mleta mada ukiwa tayari nipo tayari uniajiri kwa malipo ya 300k tu per month nikufanyie kazi yako kwa uhakika zaidi.
Kwa mtaji huo, akulipe laki tatu?

Umenifanya nitilie shaka hata mchango wako kwenye mada hii [emoji3]
 
Back
Top Bottom