Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

Inatakiwa kuwa na Kaz Inayoweza kuzalisha Pesa ya kujikim maana nkisema nianze saiz ad kuanza kupata maazao yake ni kuanzia miez minne na kukaaa nyumban kusibil miez minne ntakukuta nikiangukia mule mule kuwa tegemez mpango wa Maswala ya nyuki nnao ila natafta kitu cha kuniwezesha kujikim
Chief mbn miez minne ni muda mchache
Nshawah pitia scenario kama hyo yako.....nliend kupoteza pesa....my target was nikuze mtaj unfortunately mambo yakaenda kombo.....nkajifunzaga since then
Anyway ni ushaur tu dogo
 
Kijana,

ninazungumza haya from experience ya miaka 5 sasa katka mazngra tofaut tofaut

Uwakala hakikisha unategeshea location vingnevyo n biashara kichaa kuwah kuwapo dunian kamishen zake n 36,50,100,120,240,320,480,720,625,1200 kubwa zaid n 2500 hapo mtu katoa 1M+ hvyo utahtajika kufanya miamala mingi

Wakat flan kwa hyo 2M nmewah kupata kamishen zaid ya 800/900 monthly.

Hvyo capital itafata zingatia location

Napo kimsing biashara yeyote n location tu,itakua polepole

Ukikosea location utajkuta unaambilia laki au laki na nusu mwez mzima pengne hata isfke.

Anza na lain zote 4 tigopesa halopesa mpesa airtelmoney.
je kwa huo mtaji wake itatosha kweli
 
je kwa huo mtaji wake itatosha kweli

Kwa mtaji huo 2M iwe nje ya kodi ya frem/kibanda na lain na makorokoro mengne tosha sana kuanzia kikubwa location tu iwe imechangamgamka

Vingnevyo kwa biashara ya uwakala hyo capital ya 2M si ajabu akapata kamishen ya chin ya laki 2 kwa lain zote location ikiwa mbovu.niaminin mm!

Lkn kwa upande mwnigne naweza nisztaje ila kuna biashara nying ndgo ndgo za mtaji wa chin ya 500,0000 na ukapata .zaid ya 20k kwa siku…

tatizo vijana ikiwemo mm tunapenda biashara smart,za hadhi/elimu zetu,zisizo cha kuchafuka,biashara ya kusifiwa n kaz nzur ila ukwel n kuwa wapo wauza matunda njian,wachoma mishkaki,wachoma maind wanakunja zaid ya 20k dairly ilihali tulio kwenye frem tunastruggle kizchiz

Hizi biashara za kwnye mafrem tunajitahd tu lkn running cost n nying na bado TRA na municpal hawajapta kukagua leseni
 
Chief mbn miez minne ni muda mchache
Nshawah pitia scenario kama hyo yako.....nliend kupoteza pesa....my target was nikuze mtaj unfortunately mambo yakaenda kombo.....nkajifunzaga since then
Anyway ni ushaur tu dogo
Shukran mkuu
 
Kwa mtaji huo 2M iwe nje ya kodi ya frem/kibanda na lain na makorokoro mengne tosha sana kuanzia kikubwa location tu iwe imechangamgamka

Vingnevyo kwa biashara ya uwakala hyo capital ya 2M si ajabu akapata kamishen ya chin ya laki 2 kwa lain zote location ikiwa mbovu.niaminin mm!

Lkn kwa upande mwnigne naweza nisztaje ila kuna biashara nying ndgo ndgo za mtaji wa chin ya 500,0000 na ukapata .zaid ya 20k kwa siku…

tatizo vijana ikiwemo mm tunapenda biashara smart,za hadhi/elimu zetu,zisizo cha kuchafuka,biashara ya kusifiwa n kaz nzur ila ukwel n kuwa wapo wauza matunda njian,wachoma mishkaki,wachoma maind wanakunja zaid ya 20k dairly ilihali tulio kwenye frem tunastruggle kizchiz

Hizi biashara za kwnye mafrem tunajitahd tu lkn running cost n nying na bado TRA na municpal hawajapta kukagua leseni
Mkuu sijasema nachagua Kaz ila nilikuja kupata mawazo kwa wazoefu nipe mawazo mkuu
 
Anzisha mradi simple wa supu ya kuku kienyeji na mbuzi hiyo unapiga usubuhi na jion,,, hrf mchana unapiga ugari pande nyama choma vzr miksa mbwembwe zote vionjo! Mzeee ? Ukifanikiwa Hilo utakimbia pesa mwenyewe,, Kila siku watu wanakula ,,boresha biashara Kwa ubunifu wa Hali ya juu! Ishu ya pili ukipata eneo ambalo ni kitaa kilichochangamka anzisha jiko zuri Kwa usafi wa Hali ya juu hapo unapika mboga mboga aina tofaut kwa mitindo tofaut au Kwa oda ya mteja,,, wamama wengi sas hiv wavivu vijana kibao utapiga pesa! Idea nyingi tunakosa mitaji na sapot
 
Naposema Stress free namanisha kwamba fedha yako kwa asilimia kubwa haina risk ya kupotea compared to other biznes ambao unaweza kununua product ukakuta price ime depreciate ukala loss ama kufilisi mtaji wote kabisa.

Kwa case ya Uwakala ni kiasi tu cha wewe kuwa makini na miamala usije pigwa kwa miamala hewa basi. Mleta mada ukiwa tayari nipo tayari uniajiri kwa malipo ya 300k tu per month nikufanyie kazi yako kwa uhakika zaidi.
Yani biashara ya uwakala kwa mtaji wa 2M kisha kwa kuanza tu aanze na mtu anaelipwa mshahara 300k, kwa revenue gani? Labda kama wewe ndio uwe mnufaika wa hiyo biashara, sio yeye.
 
Mtaji kiasi gani utafaa ili wewe ujilipe 300k na tulipe kodi ya pango na mimi mwenye mtaji nipate faida isiyopungua 300k
Kaka Ukitaka uhakika kabisa we Weka M3 kama ipo hiyo Pesa Unaipata Niamini mimi. Na hapo inakuwa bado haijachanganya bro, ikichanganya utapata hela nzuri sana
 
Naposema Stress free namanisha kwamba fedha yako kwa asilimia kubwa haina risk ya kupotea compared to other biznes ambao unaweza kununua product ukakuta price ime depreciate ukala loss ama kufilisi mtaji wote kabisa.

Kwa case ya Uwakala ni kiasi tu cha wewe kuwa makini na miamala usije pigwa kwa miamala hewa basi. Mleta mada ukiwa tayari nipo tayari uniajiri kwa malipo ya 300k tu per month nikufanyie kazi yako kwa uhakika zaidi.
Miamala hewa inakuwaje mkuu?
 
Back
Top Bottom