Kijana,
ninazungumza haya from experience ya miaka 5 sasa katka mazngra tofaut tofaut
Uwakala hakikisha unategeshea location vingnevyo n biashara kichaa kuwah kuwapo dunian kamishen zake n 36,50,100,120,240,320,480,720,625,1200 kubwa zaid n 2500 hapo mtu katoa 1M+ hvyo utahtajika kufanya miamala mingi
Wakat flan kwa hyo 2M nmewah kupata kamishen zaid ya 800/900 monthly.
Hvyo capital itafata zingatia location
Napo kimsing biashara yeyote n location tu,itakua polepole
Ukikosea location utajkuta unaambilia laki au laki na nusu mwez mzima pengne hata isfke.
Anza na lain zote 4 tigopesa halopesa mpesa airtelmoney.