Location unayo??Naposema Stress free namanisha kwamba fedha yako kwa asilimia kubwa haina risk ya kupotea compared to other biznes ambao unaweza kununua product ukakuta price ime depreciate ukala loss ama kufilisi mtaji wote kabisa.
Kwa case ya Uwakala ni kiasi tu cha wewe kuwa makini na miamala usije pigwa kwa miamala hewa basi. Mleta mada ukiwa tayari nipo tayari uniajiri kwa malipo ya 300k tu per month nikufanyie kazi yako kwa uhakika zaidi.
Anza na voda, tigo na airtel japo tigo wamesitisha kutoa laini uwe makini kama utapata mtu wa kukuuzia matapeli ni wengi.Hii idea imekaaa Safi mkuu hapo naweza anza na lain ngap
Ipo mkuuLocation unayo??
Chukua ushauri wowote ufaao,Uza nguo. Ila kwanini usihame mkoa. Why everybody talks about Dar
Nasisitiza mkuu,Naombeni ushauri Wakuu nina mtaji wa milioni 2 naitaji kufanya biashara Dar es Salaam, ni biashara gani itayonifanya niweze kupata faida.
Mkuu,Kivip mkuu maana mm niko songea ila nimemaliza Chuo udsm mwaka uhu nataka hrkt za maisha nkaanzie dar
🤣🤣🤣Zaidi ya 100billion ipo kwenye mzunguko kila siku ndani ya huo mkoa.
Nashauri kila mtu aende Dar,hata mimi nipo njiani
Biashara za kitoto hizi kibanda umiza na PSKibanda umiza Kama anasehemu kabisa sawa lakini Kama ndio ajenge kwa makuti standard haitoshi
Mimi Kuna jamaa huku amejenga Banda la makuti of standard kabisa na tv tatu za nchi 55, imemlia 7m
Sema siku hakuna Mechi ni mwendo wa ps tu yaani itamlipa tu
Umepanda Basi ganiZaidi ya 100billion ipo kwenye mzunguko kila siku ndani ya huo mkoa.
Nashauri kila mtu aende Dar,hata mimi nipo njiani
Vp mkuu umeshapata muongozo au uje hapa pweza tufungue mawazo. Ideas na maono ya biashara yanapatikana bar only. Imagine umepoa na mtoto mzuri halafu wana wanaangusha ideas mbali mbali lazima utoboe.Naombeni ushauri Wakuu nina mtaji wa milioni 2 naitaji kufanya biashara Dar es Salaam, ni biashara gani itayonifanya niweze kupata faida.
Kwasasa nipo Songea ila nimemaliza Chuo juzi Kat hapa udsm pale ila Nia yangu ni kuanza hrkt za maisha DarMaswali mawili tu .
1. Wewe ni unaishi mazingira gani halafu halafu ushauriwe .
Maana huwezi fanya mazao na huku umekulia ushuwani lazima ufungue biashara ya wakala wa kutoa pesa
Umesoma kozi gani pale coaf mkuu?Ndio nimemaliza mwaka uhu nimesema college moja pale unaitwa coaf
Hayo maswali ni mawili? Au hilo la pili aje PM ili umtenganishe na hizo Milioni 2Maswali mawili tu .
1. Wewe ni unaishi mazingira gani halafu halafu ushauriwe .
Maana huwezi fanya mazao na huku umekulia ushuwani lazima ufungue biashara ya wakala wa kutoa pesa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pesa hapo itapepea kama upepo nashukur watu wa jamii forum ni vichwaVp mkuu umeshapata muongozo au uje hapa pweza tufungue mawazo. Ideas na maono ya bishara yanapatikana bar only. Imagine umepoa na mtoto mzuri alafu wana wanaangusha ideas mbali mbali lazima utoboe