makondekoujiji
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 384
- 499
Hivi hii ya mtu wa kati imekaaje?Unafanyaje?Mtu wa kati kwenye kilimo niliiwaza pia ila kwa Sasa nmechelewa labda msimu ujao maazao yamepanda na unajua naweza kununua saiz kufika sokon unakuta yameshuka bei tena
Mkuu hebu nifute matongotongo hii ipoje?Huko ndiyo kwenye hela sasa mdogo kwa mtaji wa 2m ulio nao
Angalia jinsi ya kuizungusha hiyo hela sSa hivi isipotee ikifika msimu ingia shamba kawe mtu wa kati
Anzisha mradi simple wa supu ya kuku kienyeji na mbuzi hiyo unapiga usubuhi na jion,,, hrf mchana unapiga ugari pande nyama choma vzr miksa mbwembwe zote vionjo! Mzeee ? Ukifanikiwa Hilo utakimbia pesa mwenyewe,, Kila siku watu wanakula ,,boresha biashara Kwa ubunifu wa Hali ya juu! Ishu ya pili ukipata eneo ambalo ni kitaa kilichochangamka anzisha jiko zuri Kwa usafi wa Hali ya juu hapo unapika mboga mboga aina tofaut kwa mitindo tofaut au Kwa oda ya mteja,,, wamama wengi sas hiv wavivu vijana kibao utapiga pesa! Idea nyingi tunakosa mitaji na sapot
Hata wabunge wa Nkasi wanaishi na kfanya shughuli zao Dar. Nkasi wanaenda kuomba kura tu.Usijiroge kuondoka Dar labda kama unataka kulima,asikudsnganye mtu ,dar ndio mwanzo wa mrija mkuu wa fedha na ndio mjini kwingine kote vijijini.
Biashara za watu wavivu ma wanaotakatisha pesa ila sio ya kumtoa mtu kimaisha.Kijana,
ninazungumza haya from experience ya miaka 5 sasa katka mazngra tofaut tofaut
Uwakala hakikisha unategeshea location vingnevyo n biashara kichaa kuwah kuwapo dunian kamishen zake n 36,50,100,120,240,320,480,720,625,1200 kubwa zaid n 2500 hapo mtu katoa 1M+ hvyo utahtajika kufanya miamala mingi
Wakat flan kwa hyo 2M nmewah kupata kamishen zaid ya 800/900 monthly.
Hvyo capital itafata zingatia location
Napo kimsing biashara yeyote n location tu,itakua polepole
Ukikosea location utajkuta unaambilia laki au laki na nusu mwez mzima pengne hata isfke.
Anza na lain zote 4 tigopesa halopesa mpesa airtelmoney.
KweliKwa mtaji huo 2M iwe nje ya kodi ya frem/kibanda na lain na makorokoro mengne tosha sana kuanzia kikubwa location tu iwe imechangamgamka
Vingnevyo kwa biashara ya uwakala hyo capital ya 2M si ajabu akapata kamishen ya chin ya laki 2 kwa lain zote location ikiwa mbovu.niaminin mm!
Lkn kwa upande mwnigne naweza nisztaje ila kuna biashara nying ndgo ndgo za mtaji wa chin ya 500,0000 na ukapata .zaid ya 20k kwa sikuβ¦
tatizo vijana ikiwemo mm tunapenda biashara smart,za hadhi/elimu zetu,zisizo cha kuchafuka,biashara ya kusifiwa n kaz nzur ila ukwel n kuwa wapo wauza matunda njian,wachoma mishkaki,wachoma maind wanakunja zaid ya 20k dairly ilihali tulio kwenye frem tunastruggle kizchiz
Hizi biashara za kwnye mafrem tunajitahd tu lkn running cost n nying na bado TRA na municpal hawajapta kukagua leseni
NIPE NAMBA TUWASILIANE BOSSBiashara ya nguo za mtumba
Kama una mtaji wa kuanzia laki 7+ na unahitaji kupata faida kuanzia laki 3+ per month njoo inbox tuongee biashara ya nguo za mtumba nitakuelezea ukikubali tutafanyawww.jamiiforums.com
Unaweza kunipa mrejesho ? Ulifanikiwa biashara ya kufanya?Naombeni ushauri Wakuu nina mtaji wa milioni 2 nahitaji kufanya biashara Dar es Salaam, ni biashara gani itayonifanya niweze kupata faida.
Hongera sana.Nilianza na 1.7M kwa sasa naingiza 120k kila wiki
Biashara za kitoto hizi kibanda umiza na PS
Pamoja na wale wauza movies
View attachment 2913093kila wiki ukiwa na uhakika wa kukunja hiyo amount una shida gani..pata picha una ofisi mbili au tatu.
Unafanya hiyo kitu?
Fungua duka la mahitaji ya nyumbani wengine wanaita duka la mangi.Naombeni ushauri Wakuu nina mtaji wa milioni 2 nahitaji kufanya biashara Dar es Salaam, ni biashara gani itayonifanya niweze kupata faida.
Sasa hapo kilichomlia hela ni hizo TV 3Kibanda umiza Kama anasehemu kabisa sawa lakini Kama ndio ajenge kwa makuti standard haitoshi
Mimi Kuna jamaa huku amejenga Banda la makuti of standard kabisa na tv tatu za nchi 55, imemlia 7m
Sema siku hakuna Mechi ni mwendo wa ps tu yaani itamlipa tu
Amemaliza udsm mwaka uhu anataka hrkt za maisha akaanzie dar.Mkuu,
Una uhakika kuwa umemaliza UDSM mwaka UHU??