Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uko location nzuri fungua Grocery utuuzie Windhoek zilizochakachuliwa na Wachina wa KibahaNaombeni ushauri Wakuu nina mtaji wa milioni 2 naitaji kufanya biashara Dar es Salaam, ni biashara gani itayonifanya niweze kupata faida.
Ulipiga kamishen 800k?Kijana,
ninazungumza haya from experience ya miaka 5 sasa katka mazngra tofaut tofaut
Uwakala hakikisha unategeshea location vingnevyo n biashara kichaa kuwah kuwapo dunian kamishen zake n 36,50,100,120,240,320,480,720,625,1200 kubwa zaid n 2500 hapo mtu katoa 1M+ hvyo utahtajika kufanya miamala mingi
Wakat flan kwa hyo 2M nmewah kupata kamishen zaid ya 800/900 monthly.
Hvyo capital itafata zingatia location
Napo kimsing biashara yeyote n location tu,itakua polepole
Ukikosea location utajkuta unaambilia laki au laki na nusu mwez mzima pengne hata isfke.
Anza na lain zote 4 tigopesa halopesa mpesa airtelmoney.
Kibanda umiza Kama anasehemu kabisa sawa lakini Kama ndio ajenge kwa makuti standard haitoshiNenda pembezoni mwa jiji....fungua duka genge...pombe za kienyeji....mishkaki....kibanda umiza.....na chennji inabaki m+
Ulipiga kamishen 800k?
Unanipa funzo kubwa Sana mkuuYah,nilikua stand ya daladala nafanya miamala ikifka saa12 naanza kufuta hapo kufunga saa4 usku kaz ilkua inapgwa kuanzia tarehe 1 had 31[emoji28] haina mapumzko
Miamala midgomidgo ndio unahela hiyo mikubwa kama huna mtaji n kichefuchefu tu
Mtu akitoa 200k kamishen 1200 akitoa 10k kamishen 300 sasa si bora upge hyohyo
Ilkua tigo kamishen 300 had 400
Mpesa 150 had 200(voda wanakamishen za kishenz sana)
Airtel 200
Halopesa 100
Anza na mbili, Airtel na tigo kwa town zinafanya poa hizo... Then bdae utaongezs vodaHii idea imekaaa Safi mkuu hapo naweza anza na lain ngap
Vip kuhusu Lipa namba nayoYah,nilikua stand ya daladala nafanya miamala ikifka saa12 naanza kufuta hapo kufunga saa4 usku kaz ilkua inapgwa kuanzia tarehe 1 had 31[emoji28] haina mapumzko
Miamala midgomidgo ndio unahela hiyo mikubwa kama huna mtaji n kichefuchefu tu
Mtu akitoa 200k kamishen 1200 akitoa 10k kamishen 300 sasa si bora upge hyohyo
Ilkua tigo kamishen 300 had 400
Mpesa 150 had 200(voda wanakamishen za kishenz sana)
Airtel 200
Halopesa 100
Naposema Stress free namanisha kwamba fedha yako kwa asilimia kubwa haina risk ya kupotea compared to other biznes ambao unaweza kununua product ukakuta price ime depreciate ukala loss ama kufilisi mtaji wote kabisa.Swala stress free sio kwel,kila biashara Kuna kipind utaptia stress hata iwe imekomaa kias gan
Tafuta pesa mkuu...! Wewe hauli una wauzia wanao kulaaa...Imani mkuu
Kwamba ni kuajiri na utakuwa unalipa 300k per monthNaposema Stress free namanisha kwamba fedha yako kwa asilimia kubwa haina risk ya kupotea compared to other biznes ambao unaweza kununua product ukakuta price ime depreciate ukala loss ama kufilisi mtaji wote kabisa.
Kwa case ya Uwakala ni kiasi tu cha wewe kuwa makini na miamala usije pigwa kwa miamala hewa basi. Mleta mada ukiwa tayari nipo tayari uniajiri kwa malipo ya 300k tu per month nikufanyie kazi yako kwa uhakika zaidi.
Kwamba ni kuajil na utakua unalipwa 300k per month
Wapi huko wanauza kitoto cha nguruwe elfu 30?Fuga nguruwe utakuja kunishukuru baadae...!
Nunua Nguruwe wadogo au wakubwa majike ili yakuzalie
Kitoto 30,000/- mpaka 50,000/-
Anza na 10 au 20, alafu majibu utayapata!
Dodoma na SingidaWapi huko wanauza kitoto cha nguruwe elf 30?
Nileteeni vya 3m viwe mia