Pre GE2025 Ushauri: Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo namba 3 hiyo 3 hiyo 3 hiyo 3! Chumamamayozakombwawee
 

1. Ukisikia ndoto za mchana ndiyo hizi.

2. Ndoto za hivi ni za kina kibwetere huko.

3. Sisi baka au awaye yote CCM huko anatuhusu nini?

4. Muhimu kwetu ni hapa:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

5. CCM si rangi, unaweza kuwa CCM bila kujijua na bila kujali wadhifa wako popote.
 
Kajidhalilisha..na ukute lina watoto kabisa wanaliita mama!

1. Yako humu kundini:



2. Machawa ya kulipwa ya yule bwana.

3. Bila yeye mkono hauendi kinywani.

4. Hapo protege kaguswa, yamefura kwa hasira.

5. Yanadhani Chadema ni Mali binafsi.

6. Eti kuwa yenyewe ni Chadema zaidi kuliko wengine.

Bure kabisa.
 
Pia Mbowe aliwakwamisha viongozi wa Sauti ya Watanzania, huyu jamaa ana laana shujaa
 
Kwani Erythrocyte anasemaje?
 
KwaninE
Ahahahahaha!
 
Kila jambo na wakati wake, kitabu kimesomeka kwa utulivu na kukielewa, namanisha kulitakiwa kutulia na kuusoma mchezo wa ccm, kwa kipindi kile kujitoa kwenye maridhiano hakukua na tija yoyote , ni mda sasa kusonga mbele mbwai mbwai ,hakuna sababu ya hoja yako
 
Naunga mkono. Hoja zako siyo personal zimejikita kwenye accountability which is part and parcel ya democracy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…