Ushauri: Mdee na wenzake wafungue shauri waombe Mahakama Kuu izuie jaribio la kuwafuta Ubunge

Ushauri: Mdee na wenzake wafungue shauri waombe Mahakama Kuu izuie jaribio la kuwafuta Ubunge

So wewe waona utaratibu haukufuatwa? Tatizo Watanzania tumekuwa waumini wa siasa chafu badala ya siasa safi ndo mana tunapigamakitaimu kufikia malengo chanya ya jamii ya wanadamu. Watu wengi wanaikataa siasa safi ambayo ni mojawapo ya mambo ya kutufanya tuendelee. Mtu mzima unakuta anashabikia uovu badala ya wema, giza badala ya nuru, inasikitisha sana. Mtu muungwana hata rafiki yake akikosea atamwambia ukweli na adui yake akifanya jema haoni ukakasi kukiri hivyo.
 
Na wakifungua shauri hilo wanashinda, sheria inawapa wao credit kwasababu CDM wameshindwa kuprove kama orodha hiyo imeghushiwa kwa namna gani.
Wamefukuzwa uanachama sababu ya kukiuka party position kuhusiana na matokeo ya 2020!! Wala hawajafukuza wabunge!

Sasa Sheria inasema huwezi ukawa mbunge kama haujadhaminiwa na chama. So kama huna kadi ya chama bungeni hupaswi kuingia.

Hayo ya ubunge hayahusiani na uanachama wao
 
Halima si mjinga kiasi hicho,hawezi kwenda Mahakamani anajua akienda huko atawaingiza Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi na Bunge mahali pagumu.

Waliomsaidia kutenda uovu lazima wana uwezo wa kumwambia sasa basi. Mungu wa Chato hayupo kupindisha sheria na kuvunja katiba.

Ngongo kwa sasa Uganda.
kwa tarifa za uhakika ni kwamba wapo mahakamani muda huu
 
Katiba ya Chadema lazima ifanyiwe marekebisho, Ina matatizo makubwa, tunahitaji katiba mpya ya Chadema kwanza, kabla ya katiba ya nchi, hiki chama kina uonevu sana, na kina unyanyasaji wa kijinsia
Karekebisheni katiba ya ccm yenu kwanza
 
Huo uhuni akaueleze tena kwa evidence sio maneno matupu, ukizingatia kura zilikuwa za wazi.
Kura za wazi ila sio huru,kura huwa ni siri ya mpiga kura.

Je unapowalazimisha wajumbe kupiga kura za wazi mbele ya waliowalipa posho kuja Dar es salaam.
Unategemea nini?

Wakati huo uongozi umeishataja hadharani unachokitaka?

Kuna kupiga kura hapo?

Hapo chadema inathibitisha UHUNI wake.
 
Zama zimeisha,mabinti wadogo,ila walicheza karata vibaya
Nawashauri watulie kwa sasa hata miezi mitatu. Then waandike barua ya kutambua kosa lao na waombe msamaha waombe warudishwe chamani. Aache kulopoka lopoka
 
Back
Top Bottom