Akapige spana.Huyo kama kusoma hataki hata usimpeleke VETA, mtafutie gereji akajifunze maisha huko. Au mtafute fundi ujenzi mkabidhi afundishwe kazi apige na vibarua vya zege.
Ndio, maana kama mtu hapendi kusoma Veta ataenda kuchezea hela tu.Akapige spana.
VETA siku hizi hawapokei Tena course ndefu mtoto ambaye hajamaliza sekondari na kufauluHuyo kama kusoma hataki hata usimpeleke VETA, mtafutie gereji akajifunze maisha huko. Au mtafute fundi ujenzi mkabidhi afundishwe kazi apige na vibarua vya zege.
VETA hawawezi mpokea course ndefu fupi za upishi,udereva nk aweza PATA Lakini umakenika,ujenzi nk hapati huyo wanataka form four mwenye ufauluNdio, maana kama mtu hapendi kusoma Veta ataenda kuchezea hela tu.
Hizi course za udereva si huwa zina mitihani ili kupata cheti na leseni? Kama hataki kusoma atatoboa kweli?VETA siku hizi hawapokei Tena course ndefu mtoto ambaye hajamaliza sekondari na kufaulu
Hiyo aende tu course fupi kama udereva wa magari au bodabida Kisha badala ya kupoteza Hela kusomesha kamnunulie bodaboda atajijua mwenyewe huko bodaboda haifiki hata milioni mbili nunua mpe achana naye
Wamuache kwanza hadi akitaka somaHuyo kama kusoma hataki hata usimpeleke VETA, mtafutie gereji akajifunze maisha huko. Au mtafute fundi ujenzi mkabidhi afundishwe kazi apige na vibarua vya zege.
Hakuna mitihani mtihani ni practical wa kuendesha tu na kujua alama za barabarani tu Huwa hakuna wa kuandikaHizi course za udereva si huwa zina mitihani ili kupata cheti na leseni? Kama hataki kusoma atatoboa kweli?
Mleta mada kasema hataki Shule kabisa ushauri ulenge uelekeo huo wa asiyetaka shuleMwambie aende QT miaka 2 umemaliza tayari 4m4 halafu ndio aende veta
Leseni bahasha Yako tu muhimu ujue TU alama za barabaraniHizi course za udereva si huwa zina mitihani ili kupata cheti na leseni? Kama hataki kusoma atatoboa kweli?
Hapo labda ataweza kama hamna ya kuandikaHakuna mitihani mtihani ni practical wa kuendesha tu na kujua alama za barabarani tu Huwa hakuna wa kuandika
Kuna watu watakuona umeandika ujinga Ila huu ndio ukweli veta ni chuo cha ufundi sasa mtu hataki kusoma unampeleka chuo akabebeshwe madaftari tena wewe beba msogeze kwa mafundi wa mtaani aanze kuchukua ujuzi kidogo kidogo na kuzoeshwa kwa wateja akizoea basi anafungua workshop yake maisha yanaendeleaHuyo kama kusoma hataki hata usimpeleke VETA, mtafutie gereji akajifunze maisha huko. Au mtafute fundi ujenzi mkabidhi afundishwe kazi apige na vibarua vya zege.
Wanaandika Mzee wewe udereva umesoma wapi? Lazima uchukue noticeHakuna mitihani mtihani ni practical wa kuendesha tu na kujua alama za barabarani tu Huwa hakuna wa kuandika